Nasubiri.....
Hili nalijua tangu zamani. Ndiyo maana niliyo yaandika yanabaki kuwa ukweli mpaka unapo kufa.Mjinga ni aliyekuzaa na kukunyonyesha
Unathibitishaje jinsia ya mtu kwenye maandishi? Hayo ni maandishi hata kwenye kanga yapo,View attachment 1664511
Ushahidi 2 :
Kila siku unakiri ya kuwa wewe ni mwanamke na picha zako huthibitisha hilo(Unazo tuwekea humu) kadhalika unayo yaandika yanathibitisha hilo.
Ushahidi 3 :
Huu utakuja kuwaambia umma mwenyewe, ikitokea tukakutana mimi na wewe man to man.
Ushahidi 4 :
Kuliweka wazi jambo ambalo liko wazi ni kuzua tatizo lingine bali ni kuihujumu akili.
Ushahidi 5 :
Usiweke chakula juu ya chakula kingine.
Ushahidi 6 :
Tuthibitishie kama wewe si Mwanamke.
Poa.Dini bhana..zinafanya watu tunakuwa mazezeta.
Unathibitishaje jinsia ya mtu kwenye maandishi? Hayo ni maandishi hata kwenye kanga yapo,
Picha zangu unajuaje kama ni zangu?
Bado hujathibitisha kama mimi ni 'Bibie'
Jaribu tena.
Sababu ushahidi wa kwanza ni ushahidi wa nafsi yako. Kinyume chake tuthibitishie ya kuwa wewe ni katika sisi.Unathibitishaje jinsia ya mtu kwenye maandishi? Hayo ni maandishi hata kwenye kanga yapo,
Sababu huwa unasema ni wewe. Au huwa unatudanganya bibie ? Na kwanini utudanganye ?Picha zangu unajuaje kama ni zangu?
Tuthibitishie ya kuwa wewe ni mimi ? Ukiweza mimi nafunga hii ID na wewe utakuwa shahidi wa hili.Bado hujathibitisha kama mimi ni 'Bibie'
Mimi kazi yangu nimemaliza. Kilichobaki ni wewe ukanushe ya kuwa si bibie.Jaribu tena.
Itakua we Ni mmoja Kati ya hao miaAkili yako tu... mimi nilikuwa mlevi, mcheza kamari na mvuta sigara lkn niliposema naacha nikaacha na sasa ni mchamungu tu.
Ndio maana ikawa dunia yakheee,Haaa duniani kuna vituko, yaani ujiandike mwanamke wakati mwanaume? Uweke picha za mwanamke ukijitambulisha hivyo kumbe mwanaume?? Acha utani bhna mrembo
Huyu niliwahi kumuomba awe mke wa tatu alikataa ila hakukanusha ya kuwa yeye si Mwanamke.Haaa duniani kuna vituko, yaani ujiandike mwanamke wakati mwanaume? Uweke picha za mwanamke ukijitambulisha hivyo kumbe mwanaume?? Acha utani bhna mrembo
Mimi sio bibie,Sababu ushahidi wa kwanza ni ushahidi wa nafsi yako. Kinyume chake tuthibitishie ya kuwa wewe ni katika sisi.
Sababu huwa unasema ni wewe. Au huwa unatudanganya bibie ? Na kwanini utudanganye ?
Tuthibitishie ya kuwa wewe ni mimi ? Ukiweza mimi nafunga hii ID na wewe utakuwa shahidi wa hili.
Mimi kazi yangu nimemaliza. Kilichobaki ni wewe ukanushe ya kuwa si bibie.
nikiona mtu anaacha kuvuta bangi huwa namdharau, kama upo karibu yangu naweza hata kukunasa kofi. unaache bange kwa mfano?....eboo!!.Unga,betting,pombe,sigara,nyapu, punyeto na ushabiki wa mpira Ni ngumu Sana kuacha!!
Kati ya watu 100 anatokaga huko mmoja tu
Bora bangi hata
Nimekupa swali rahisi sana, lakini hujalijibu na nina jua huwezi kujibi mpaka unakufa.Mimi sio bibie,
Wanawake wananiita 'bwana wangu'
Aiweke hapa sote tujiunge aiseeNitumie link nijiumge na hiyo casino ya mbele
Ila mkuu kwa jinsi unavyoshindwa kuwathibitishia,ndio wanazidi kujiongezea point!Mimi sio bibie,
Wanawake wananiita 'bwana wangu'
Utapeli gani mkuu mi naona mbona wanazipenda sanaDubu ni mashine zile za kichina zenye utapeli na wizi mkubwa.
Zimejaa Tanzania kila kona serikali imekaa kimya
Hebu nifundishe na mimi mkuu. Sometimes nakuwa na kiasi fulani humu kwa simu,niwe najaa huko. Ila sihitaji ile beting ya mikeka ya timu. Huko kumenishindaMimi ni mlevi wa online CASINO hasa kutoka play Master na Meridian bet.
Nimeanza kuzicheza 2018 hivi.
Nilizikuta tu mtandaoni bila kuelekezwa na mtu, nikajiunga na kuanza kucheza kwa dau dogo dogo la mia mia ila sasa hivi nacheza dau kubwakubwa.
Faida nilizozipata ni hizi;
1. Muda wa kufanya uzinzi umepungua. Niko busy na gamble.
2. Kwenye utafutaji pesa sina masihara
3. Point nambari 2 imenipelekea kujenga kwa haraka na kununua vyombo vya moto(usafiri).
4. Nimekuwa nikiwasaidia ndugu, marafiki na wazazi kwenye mambo ya pesa kwani kila nikipata pesa nyingi kidogo naona kama nimepata bure.
Hasara nilizozipata;
1.Uraibu. nimefikia hatua mpaka nisipocheza casino sina raha. Mpaka kazini niko ofisini nacheza casino.
2. Sometimes napoteza pesa nyingi nilizozipata kwenye mishe zingine au nilizozipata kwenye mshahara au posho.
3.Kujamiiana kwangu ni adimu. Kujamiiana ni ile ya kushare mambo mbalimbali na jamii na si kufanya sex.
4. Akili yangu na mtazamo wangu vinaniambia maisha ni bahati kitu ambacho si kweli.
5. Wito wangu wa mambo ya kiroho unadidimia.
Nilipanga niache 30 Nov 2020, nimeshindwa. Nilipanga niache 31. December yaani leo nimeshindwa pia. Ila wife ananiambia nisiache kwakuwa anaona pesa ndani hazikauki. Mimi sitaki hii hali maana ni ulevi kamili.
Siku nikipata pesa nyingi huko casino nitaacha rasmi.
Niombeeni nizipate ili niache
Bangi haina uraibu mkuu unless labda unavuta mixer! Sio sawa na hayo makamari ambayo mtu hawezi acha akikosa pesa auze hata masofanikiona mtu anaacha kuvuta bangi huwa namdharau, kama upo karibu yangu naweza hata kukunasa kofi. unaache bange kwa mfano?....eboo!!.
unless iwe umeshauriwakwa na daktari wako.
Nimekwambia thibitisha kua mimi ni 'Bibie'Nimekupa swali rahisi sana, lakini hujalijibu na nina jua huwezi kujibi mpaka unakufa.
Tuthibitishie ya kuwa wewe ni Mwanaume.
Au twende kwa mtindo huu. Mimo katika vitu ambavyo huwa navitamani sana, nahisi kama nimewahi kukwambia natamani sana uwe mke wangu wa nne, hakika nitafurahi sana.
Yaani mimi Ustadh Zurri/Jurjani nakupenda wewe bibie, leo hii watu wajue.
Nithibitishie mimi ni Ke,Ila mkuu kwa jinsi unavyoshindwa kuwathibitishia,ndio wanazidi kujiongezea point!
Na mwisho wakuu tunaeza amini we KE ukashangaa Pm imejaa
Jitahidi uwathibitishie we dume la mbegu[emoji1787]
Mimi siko huko mkuu🤣Nithibitishie mimi ni Ke,
Nipo hapa nasubiri