Faida na hasara ya kumiliki gari ya kutembelea

Faida na hasara ya kumiliki gari ya kutembelea

Kwanza tuanze na faida.

Sio siri kumiliki gari kunaimarisha hadhi yako hapo kitaani kwako. Unaonekana wa tofauti mwenye hadhi ya juu. Si ajabu watu wakamwacha mjumbe au balozi wa mtaa wakaja kwako wakidai eti uwasaidie pesa au kusuluhisha migogoro yao.

Unaonekana una fedha na uwezo hata kama ni apeche alolo.

Unaonekana mwenye furaha na amani hata kama kiukweli kwa ndani una huzuni ya moyo na masikitiko.

Unaonekana mwenye kujiamini hata kama ukweli haiko ivo.

Hasara kubwa ya kuwa na gari ya kutembelea ni hii hapa.

Gari ya kutembelea haiingizi pesa yoyote badala yake inakutaka utumie pesa yako kwa ajili ya kununua mafuta, spea na kugharamia matengenezo mbalimbali.

Kifupi kama una pesa ya mawazo au pesa yako ni ya ngama ni heri uachane kabisa kufikiria kumiliki gari au vinginevo nunua gari ya biashara ikuizingie pesa.
Tanzania tu Gari ndio Anasa, nchi za wenzetu Gari ni zawadi ya Mtoto kuingia high school (Miaka 15) Halafu mwigulu anatuambia sisi ni nchi tajiri ndio maana tunakopesheka.
 
Wasio na gari wanatisha wenye ndoto za kumiliki gari na wanawashangaza wanaomiliki gari.

Kifupi ni kwamba gari unaweza kumiliki kwenye ngazi yoyote ya kipato. Muhimu ni kumiliki gari ya kipato chako.

Gari ni muhimu na hitaji la lazima kwa dunia ya sasa.
 
I recommend to everyone here jamii forum kama mnatak muwe na gari
Go wa nissan march
Go for Toyota duty
 
Wasio na gari wanatisha wenye ndoto za kumiliki gari na wanawashangaza wanaomiliki gari.

Kifupi ni kwamba gari unaweza kumiliki kwenye ngazi yoyote ya kipato. Muhimu ni kumiliki gari ya kipato chako.

Gari ni muhimu na hitaji la lazima kwa dunia ya sasa.
Labda kwa mikoan au vijiji ,kwa town magari yako unawez kukod kama umelazmk kwa Safar ya dharula
 
Unajuliza, sina gari sasa extra ya laki 6 mpaka laki tisa ambayo gari ilikiwa inaimeza nilipokuwa nalo ikowapi? Huna. Bora kuwa na hilo gari tu maana uwepo wake ndo unaifanya akili ifikirie wapi utapata pesa ya mafuta na service.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Hatari sana but tusubiri upande wa pili nao tusikie ilikuaje.
 
Uko sawa mkuu, gari ya usafiri binafsi unatakiwa angalau kila siku uwe na uwezo wa kupata faida ya TSH 100k kutoka kwenye miradi yako vinginevyo ukitegemea kukopa, mshahara kununua na kiendeshea gari utahangaika sana, muda mwingi gari utalipaki kwa kukosa spares, matengenezo oils na mafuta
Faida ya laki moja kwa siku?
Utasubiri mwisho utakufa, hela utaziacha
 
Karibuni telegram group la Mazda CX-5 ili upate maarifa na uelewa juu kutoka Kwa wamiliki wa hapa bongo
 
Kwanza tuanze na faida.

Sio siri kumiliki gari kunaimarisha hadhi yako hapo kitaani kwako. Unaonekana wa tofauti mwenye hadhi ya juu. Si ajabu watu wakamwacha mjumbe au balozi wa mtaa wakaja kwako wakidai eti uwasaidie pesa au kusuluhisha migogoro yao.

Unaonekana una fedha na uwezo hata kama ni apeche alolo.

Unaonekana mwenye furaha na amani hata kama kiukweli kwa ndani una huzuni ya moyo na masikitiko.

Unaonekana mwenye kujiamini hata kama ukweli haiko ivo.

Hasara kubwa ya kuwa na gari ya kutembelea ni hii hapa.

Gari ya kutembelea haiingizi pesa yoyote badala yake inakutaka utumie pesa yako kwa ajili ya kununua mafuta, spea na kugharamia matengenezo mbalimbali.

Kifupi kama una pesa ya mawazo au pesa yako ni ya ngama ni heri uachane kabisa kufikiria kumiliki gari au vinginevo nunua gari ya biashara ikuizingie pesa.
Tusipangiane matumizi, acha minutes ila kuna watu wanateseka kwa Mimi kulimiliki
 
WEKA WI-FI, WEKA WI-FI, HUU SIO MDA TENA WA KUWAZA KUISHIWA NA DATA, ROUTER NI BEI NDOGO TU!

⚫KWENYE BISASHARA YAKO WEKA WI-FI

⚫KWENYE SHULE WEKA WI-FI

⚫KANISANI WEKA WI-FI

⚫KAZINI WEKA WI-FI
⚫KWENYE KAMPUNI WEKA WI-FI

⚫NYUMBANI KWAKO WEWE NA FAMILIA YAKO WEKA WI-FI

⚫CHUONI WEKA WI-FI

⚫UNA SECURITY CAMERA FUNGA WI-FI

⚫SEHEM ZINGINE AMBAZO SIJAZITAJA WEKA WI-FI

TUMIA DATA UNLIMITED, YANI BILA KUWAZA KUA GB ZITAISHA?

NJOO NIKUPE ROUTER ZENYE UWEZO MKUBWA TECNOLOJIA YA 5G SPEED HADI 200mbps, NA UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO !

MKOA WOWOTE ULIPO HUDUMA INAKUFIKIA NDANI YA MDA MFUPI

GHARAMA NI NAFUU SANA, ( pia laini pekeyake bila router nakuwezeshea bando unlimited kwa bei poa )
NICHEKI: 0717700921
 
Ukiwa na gari ya kutembelea, hakikisha una kamradi kadogo kwa ajili ya kuendesha hilo gari. Huo mradi ni kwa ajili ya gari tu! Hapo utafurahi kumiliki gari.
 
Back
Top Bottom