Kitumburee
Senior Member
- Jan 31, 2012
- 142
- 88
Wanajamvi nahitaji ushauri,
Nimedunduliza nakaribia kuvunja kibubu cha ujenzi wa nyumba. Nimeshachorewa ramani na makadirio ya gharama. Leo kwa shauku kubwa nimemuonyesha ramani boss wangu akanishangaa kwanini nimechora ramani yenye paa la gharama kubwa namna hiyo😵 akaniambia flat roo ingegharimu robo tu ya gharama zote za paa hili (ramani yangu ina paa la kawaida tu).
Amenistua kwasababu mchora ramani alinihakikishia hii ramani ni ya nyumba nafuu kabisa.
Sasa wadau nisaidieni mawazo kw ayeyote anaejuaa faida na hasara za kujenga nyumba yenye flatroof kabla sijabadilisha mawazo nikaingia mkenge.
Natanguliza shukrani za dhati
Nimedunduliza nakaribia kuvunja kibubu cha ujenzi wa nyumba. Nimeshachorewa ramani na makadirio ya gharama. Leo kwa shauku kubwa nimemuonyesha ramani boss wangu akanishangaa kwanini nimechora ramani yenye paa la gharama kubwa namna hiyo😵 akaniambia flat roo ingegharimu robo tu ya gharama zote za paa hili (ramani yangu ina paa la kawaida tu).
Amenistua kwasababu mchora ramani alinihakikishia hii ramani ni ya nyumba nafuu kabisa.
Sasa wadau nisaidieni mawazo kw ayeyote anaejuaa faida na hasara za kujenga nyumba yenye flatroof kabla sijabadilisha mawazo nikaingia mkenge.
Natanguliza shukrani za dhati