Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 5,039
- 6,253
Mkuu njoo pm tafadhaliHapo kwenye maintenance naomba ufafanue zaidi kwasababu zinatumika mbao na mabati kama nyumba nyingine sema hii roof inakuwa imefichwa na matofali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu njoo pm tafadhaliHapo kwenye maintenance naomba ufafanue zaidi kwasababu zinatumika mbao na mabati kama nyumba nyingine sema hii roof inakuwa imefichwa na matofali.
Aseee...bonge la gharamaNondo kawaida tuu, kuongeza kwa roof lazima ujue load kiasi gani inapokelewa katika foundation, pia hapo juu uweke slab
Flat roof ni nzuri changamoto ni kwamba inahitaji finishing ya uhakika, garden nzuri kuzunguka nyumba otherwise itaonekana kama jumba lililoachwa na waarabu.Wanajamvi nahitaji ushauri,
Nimedunduliza nakaribia kuvunja kibubu cha ujenzi wa nyumba. nimeshachorewa ramani na makadirio ya gharama. leo kwa shauku kubwa nimemuonyesha ramani boss wangu akanishangaa kwanini nimechora ramani yenye paa la gharama kubwa namna hiyo😵 akaniambia flat roo ingegharimu robo tu ya gharama zote za paa hili (ramani yangu ina paa la kawaida tu).
Amenistua kwasababu mchora ramani alinihakikishia hii ramani ni ya nyumba nafuu kabisa.
Sasa wadau nisaidieni mawazo kw ayeyote anaejuaa faida na hasara za kujenga nyumba yenye flatroof kabla sijabadilisha mawazo nikaingia mkenge.
Natanguliza shukrani za dhati
Siyo mtaalam wa hii kitu lakini nimeelewa kwamba roof za namna hii kama kuna miti karibu basi yale majani yake yanayopukutika yanaweza kujaa huko juu na mvua ikinyesha yakalowana yanaozesha paa. Pia wanyama na ndege wanaweza kuweka makazi yao na bila shaka wakajisaidia huko (mf. Paka) . Hivyo lazima kuwe na access ya kufika juu mara kwa mara ili kusafisha.Hapo kwenye maintenance naomba ufafanue zaidi kwasababu zinatumika mbao na mabati kama nyumba nyingine sema hii roof inakuwa imefichwa na matofali.
Changamoto finishing...otherwise its gonna look like a warehouse.Flat roof ni nzuri changamoto ni kwamba inahitaji finishing ya uhakika, garden nzuri kuzunguka nyumba otherwise itaonekana kama jumba lililoachwa na waarabu.
Hizo gutter zilizounganishwa na bomba ikitokea zimeziba Kwa kujaa uchafu na kutoruhusu maji kupita itakuwaje? Haziwezi kupelekea nyumba kupata shida hasa tatizo hilo likiwa la muda mrefu???Kuna gutter inatengenezwa inaunganishwa na bomba kutoka juu kwenda chini. Bomba zinachimbiwa ukutani zinaibukia chini level ya msingi.
AhahahahahhaahInageuka swimming pool
Mkuu Kunakua na pipe zinazosafirisha maji kuelekea chini mfano gorofa roof top zake nyingi iwe na slab au bati zinakua na matundu yenye pipe kwaiyo maji hayatuamiMzee hapo mvua ikinyesha inakuaje??
Gutter ya zege na bomba kubwa.Hizo gutter zilizounganishwa na bomba ikitokea zimeziba Kwa kujaa uchafu na kutoruhusu maji kupita itakuwaje? Haziwezi kupelekea nyumba kupata shida hasa tatizo hilo likiwa la muda mrefu???
There you go, Bob...Flat roof siku hizi hutii slab. Unatumia bati za kawaida tu
Thats what im talking about!
Kinakuwa kibwawa cha samaki hapo juuMzee hapo mvua ikinyesha inakuaje??
Aina hii ya roof, lazima inakua na pipe kwaajili ya kuvuna maji.Mzee hapo mvua ikinyesha inakuaje??
Huu ndio ujengaji nyumba kisasa, wale wa roof kama kibanda cha mbwa tubadilike. Nyumba ya style hio inaitwa contemporary house.Flat roof ni nzuri. Unatumia mabati machache na mbao chache. Gharama inaweza kuwa robo ya roof ya kawaida.View attachment 806560
ha kwa sababu…una roof ya banda la mbwa mzeeSijui kwanini nafaninisha nyumba zenye flat roof na KIBAMIA
This will be my next house aisee, napenda sana hii design mazee!