hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
AiseeeChangamoto finishing...otherwise its gonna look like a warehouse.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeChangamoto finishing...otherwise its gonna look like a warehouse.
Mpaka hapa nilichokielewa mimi ni kwamba unaweza ukajenga nyumba kwa style ya flat roof ila still gharama zote utakazozikimbia huku kwenye pitched roof ukakutana nazo huko.Binafsi huwa nashauri Pitched roof, flat roof ina madhara makubwa kwa nyumba kuliko pitched, posibility ni kubwa ya kuwa na penetration ya rain water kwenye kuta hivyo inasababisha fungus katika kuta, matumizi ya waterproofing membrane yanaweza kuongeza gharama pia, mfano huwezi kuchoma bitumen membrane juu ya bati ya gauge 30 au 32 na hata gauge 28 haishauriwi sana.
Uko sahihi kabisa mkuu............. Ni mapenzi ya mtu tu, ila technically pitched roof ni best kuliko flat roofMpaka hapa nilichokielewa mimi ni kwamba unaweza ukajenga nyumba kwa style ya flat roof ila still gharama zote utakazozikimbia huku kwenye pitched roof ukakutana nazo huko.
So mfano nyumba yako ambayo ulitamani kuezekwa kwa paa la kuinuka kwa cost ya 10mill ukaja kwenye flat ukafanyiwa 8.5/9mill hakuna ulichookoa mie naona na nadhani labda kama mtu umeamua tu kuchagua style fulani ila kusema unafanya kupunguza gharama hakuna kitu kama hiko.
Kwa nyumba zetu hizi za kawaida Gauge 28 mkuu,Bati za gauge ngapi ndio zinafaa kwa flat roof?
Asante.Kwa nyumba zetu hizi za kawaida Gauge 28 mkuu,
Gauge 26 kwa majengo makubwa yale ya serikali,
Gauge 30 kwa vibanda labda cha mtaani maana bati inakua nyepesi
Waambie kuna gutter za Zege (concrete gutter)Hizo shida zote mnazosema kabla ya kuweka hii roof zimezingatiwa. Nikuulize hizi pitched roof hakuna ambazo huwa zinavuja? Sababu ni nini? Obvious ni makosa ya fundi. Kwahio hata hizi fundi anakuwa makini na anajua changamoto yake.
Gutter inayokwa humu sio kama hizo mnazoweka kukinga maji ya mvua. Inawekwa gutter kubwa na bomba kubwa sasa hilo bomba kuziba labda uweke kipande cha tofali.
Acha kupiga Ramli mkuu, kama headroom ikiwa kubwa basi inapendeza mbona[emoji28]Flat roof hazipendezi kwenye nyumba za kawaida zisisokuwa ghorofa!
Nimewaambia bossWaambie kuna gutter za Zege (concrete gutter)
Unanikumbusha waka gari zenye Auto transmission zilipoanza kuingia.Usithubutu
Wengi wa mafundi paa wetu inawasumbua
Unless una mpango wa kuhama kila mvua za masika na vuli zitakapopiga
Sio ishu unaweza badili mtindo badae ukitaka. Kwenye ujenzi hakishindikani kitu.Hii fasion inarud kwa kasi, ila ikiisha fasion hutaona mbaya. Kwa mfano vent za kwenye bati sasa zimeisha fasion
Concrete gutter huwa haiwezi kuziba mkuu?Waambie kuna gutter za Zege (concrete gutter)
Teh teh teh. Linakuwa kama kasri. Halafu hili lina gharama zake pia hawajui tu. Yani kwa mtu maskini hiii ni mbaya. Wala haipendezi. Wanaoweka hii naona wengi ni wale wanaojenga ghorafa angalau la flow moja ndo inapendeza lakini kwa nyumba ya kawaida walaa halifai.Flat roof ni nzuri changamoto ni kwamba inahitaji finishing ya uhakika, garden nzuri kuzunguka nyumba otherwise itaonekana kama jumba lililoachwa na waarabu.
Halafu matofali mzunguko mzima na gata za zege huoni kama mtu anakuwa hakuna anachokimbia. Gharama zinarudi pale pale tu.Acha kupiga Ramli mkuu, kama headroom ikiwa kubwa basi inapendeza mbona[emoji28]View attachment 807273View attachment 807274View attachment 807275View attachment 807276View attachment 807277
Wenzako wanasema inaokoa gharama wewe umekazana kupinga bila hoja za maana, wabongo ni shida aisee. Kama ni ujenzi unaopunguza material kama mbao huoni unasaidia pia kwenye uhifadhi wa mazingiraHalafu matofali mzunguko mzima na gata za zege huoni kama mtu anakuwa hakuna anachokimbia. Gharama zinarudi pale pale tu.
Kama ishu ni design sawa lakini kwa swala la gharama sikubaliani nalo.
Concrete gutter yenye upana wa futi moja inaziba vipi? Bomba za kushusha maji chini ni 4'' linaziba vipi? Au kuna watu watakuwa wanatupia matofali?Concrete gutter huwa haiwezi kuziba mkuu?
Msingi wa hoja yangu kuhusu kufanya maintenance ya gutter ni endapo kama ndege au mijusi imepeleka takataka zinazoweza kuziba hiyo gutter