Faida na hasara za kujenga nyumba yenye flat roof

Faida na hasara za kujenga nyumba yenye flat roof

Binafsi najua flat inachukua bati chache na mbao chache ila ikiinuka inakula mbao nyingi na bati nyingi.
 
Binafsi huwa nashauri Pitched roof, flat roof ina madhara makubwa kwa nyumba kuliko pitched, posibility ni kubwa ya kuwa na penetration ya rain water kwenye kuta hivyo inasababisha fungus katika kuta, matumizi ya waterproofing membrane yanaweza kuongeza gharama pia, mfano huwezi kuchoma bitumen membrane juu ya bati ya gauge 30 au 32 na hata gauge 28 haishauriwi sana.
Mpaka hapa nilichokielewa mimi ni kwamba unaweza ukajenga nyumba kwa style ya flat roof ila still gharama zote utakazozikimbia huku kwenye pitched roof ukakutana nazo huko.

So mfano nyumba yako ambayo ulitamani kuezekwa kwa paa la kuinuka kwa cost ya 10mill ukaja kwenye flat ukafanyiwa 8.5/9mill hakuna ulichookoa mie naona na nadhani labda kama mtu umeamua tu kuchagua style fulani ila kusema unafanya kupunguza gharama hakuna kitu kama hiko.
 
Mpaka hapa nilichokielewa mimi ni kwamba unaweza ukajenga nyumba kwa style ya flat roof ila still gharama zote utakazozikimbia huku kwenye pitched roof ukakutana nazo huko.

So mfano nyumba yako ambayo ulitamani kuezekwa kwa paa la kuinuka kwa cost ya 10mill ukaja kwenye flat ukafanyiwa 8.5/9mill hakuna ulichookoa mie naona na nadhani labda kama mtu umeamua tu kuchagua style fulani ila kusema unafanya kupunguza gharama hakuna kitu kama hiko.
Uko sahihi kabisa mkuu............. Ni mapenzi ya mtu tu, ila technically pitched roof ni best kuliko flat roof
 
Bati za gauge ngapi ndio zinafaa kwa flat roof?
Kwa nyumba zetu hizi za kawaida Gauge 28 mkuu,
Gauge 26 kwa majengo makubwa yale ya serikali,
Gauge 30 kwa vibanda labda cha mtaani maana bati inakua nyepesi
 
Hizo shida zote mnazosema kabla ya kuweka hii roof zimezingatiwa. Nikuulize hizi pitched roof hakuna ambazo huwa zinavuja? Sababu ni nini? Obvious ni makosa ya fundi. Kwahio hata hizi fundi anakuwa makini na anajua changamoto yake.

Gutter inayokwa humu sio kama hizo mnazoweka kukinga maji ya mvua. Inawekwa gutter kubwa na bomba kubwa sasa hilo bomba kuziba labda uweke kipande cha tofali.
Waambie kuna gutter za Zege (concrete gutter)
 
Flat roof hazipendezi kwenye nyumba za kawaida zisisokuwa ghorofa!
Acha kupiga Ramli mkuu, kama headroom ikiwa kubwa basi inapendeza mbona[emoji28]
IMG-20180525-WA0058.jpg
IMG-20180628-WA0056.jpg
IMG-20180701-WA0010.jpg
IMG-20180501-WA0062.jpg
IMG-20171221-WA0026.jpg
 
Hii fasion inarud kwa kasi, ila ikiisha fasion hutaona mbaya. Kwa mfano vent za kwenye bati sasa zimeisha fasion
Sio ishu unaweza badili mtindo badae ukitaka. Kwenye ujenzi hakishindikani kitu.
 
Waambie kuna gutter za Zege (concrete gutter)
Concrete gutter huwa haiwezi kuziba mkuu?
Msingi wa hoja yangu kuhusu kufanya maintenance ya gutter ni endapo kama ndege au mijusi imepeleka takataka zinazoweza kuziba hiyo gutter
 
Flat roof ni nzuri changamoto ni kwamba inahitaji finishing ya uhakika, garden nzuri kuzunguka nyumba otherwise itaonekana kama jumba lililoachwa na waarabu.
Teh teh teh. Linakuwa kama kasri. Halafu hili lina gharama zake pia hawajui tu. Yani kwa mtu maskini hiii ni mbaya. Wala haipendezi. Wanaoweka hii naona wengi ni wale wanaojenga ghorafa angalau la flow moja ndo inapendeza lakini kwa nyumba ya kawaida walaa halifai.
 
Halafu matofali mzunguko mzima na gata za zege huoni kama mtu anakuwa hakuna anachokimbia. Gharama zinarudi pale pale tu.


Kama ishu ni design sawa lakini kwa swala la gharama sikubaliani nalo.
Wenzako wanasema inaokoa gharama wewe umekazana kupinga bila hoja za maana, wabongo ni shida aisee. Kama ni ujenzi unaopunguza material kama mbao huoni unasaidia pia kwenye uhifadhi wa mazingira
 
Concrete gutter huwa haiwezi kuziba mkuu?
Msingi wa hoja yangu kuhusu kufanya maintenance ya gutter ni endapo kama ndege au mijusi imepeleka takataka zinazoweza kuziba hiyo gutter
Concrete gutter yenye upana wa futi moja inaziba vipi? Bomba za kushusha maji chini ni 4'' linaziba vipi? Au kuna watu watakuwa wanatupia matofali?
 
Back
Top Bottom