Faida na hasara za kujenga nyumba yenye flat roof

Faida na hasara za kujenga nyumba yenye flat roof

Halafu matofali mzunguko mzima na gata za zege huoni kama mtu anakuwa hakuna anachokimbia. Gharama zinarudi pale pale tu.


Kama ishu ni design sawa lakini kwa swala la gharama sikubaliani nalo.
Tofali moja bei gani? Mfano ninayoweka mimi tofali zimeongezeka kozi mbili (matofali 350) hizo ni 350,000/- na mkanda juu. Sasa badala ya bati kama 100 hivi nitatumia bati zisizozidi 50(Naokoa bati 50 bei gani hio?)! Kwenye mbao ndio kabisaaaaaa! Bado unaona tofali zilizoongezeka zinaathiri?
 
Teh teh teh. Linakuwa kama kasri. Halafu hili lina gharama zake pia hawajui tu. Yani kwa mtu maskini hiii ni mbaya. Wala haipendezi. Wanaoweka hii naona wengi ni wale wanaojenga ghorafa angalau la flow moja ndo inapendeza lakini kwa nyumba ya kawaida walaa halifai.
Hii kwako haipendezei? Ama kweli uzuri upo machoni kwa mtu!
img-20180628-wa0056-jpg.807274
 
Design ya namna hii ni nzuri.
A. Faida :-
bati na mbao ni chache.
Nzuri kimazingira.
Ni vigumu kuezuliwa na Upepo.
Kwa kiasi inaongeza ukubwa wa nyumba.
Unasaidia katika uvunaji wa maji ya mvua.
B. Hasara:-
Isijengwe palipo na miti mirefu.
Huitaji uangalizi hasa katika usafi juu ya papa.
Huitaji mfumo imara wa kupitisha maji ya mvua.
Ni rafiki kwa wanyama na ndege.
Ni lazima uwe na ngazi ya kufikia paa (usafi /ukarabati).
Huitaji umaliziaji mzuri kwa nje.
Huitaji headroom kubwa ili kupunguza Jotoridi ndani ya nyumba.

Kujenga nyumba ya namna hakupunguzi gharama za Ujenzi kwani nafuu ya kitu fulani huongeza gharama ya kitu kingine.

Hata hivyo Flat roof (0-10 degree slopes) kama ikijengwa kwa zege manufaa yake ni mengi zaidi kuliko kupaua kwa bati.
Mkuu, asante saana.
 
Wenzako wanasema inaokoa gharama wewe umekazana kupinga bila hoja za maana, wabongo ni shida aisee. Kama ni ujenzi unaopunguza material kama mbao huoni unasaidia pia kwenye uhifadhi wa mazingira
Mimi nimejifunza mengi saana na nimeona ni kweli kabisa gharama zapungua, sijui wanaopinga wanapinga kitu gani.
 
Tofali moja bei gani? Mfano ninayoweka mimi tofali zimeongezeka kozi mbili (matofali 350) hizo ni 350,000/- na mkanda juu. Sasa badala ya bati kama 100 hivi nitatumia bati zisizozidi 50(Naokoa bati 50 bei gani hio?)! Kwenye mbao ndio kabisaaaaaa! Bado unaona tofali zilizoongezeka zinaathiri?
Ila Mkuu si waweza kuweka tofali tupu juu bila bati?
 
Flat roof, kama utakuwa unaamanisha paa ambalo halijainuka sana.

Faida.
-utatumia material chache hasa mbao ila

Hasara
- tegemea corrosion ya bati baada ya mda
- kama ukiwa mikoa yenye joto tegemea ndani kutakuwa na joto sana
Joto linategemea Na headroom ya nyumba yenyewe Na openings Na wala sio roof type

Pitched roof Na flat Roof tofauti wake ni Kwenye material tu pitched roof inakula material ya Mengi (mbao misumali, bati capping etc), gharama kubwa ya uezekaji etc

Flat roof hvyo vyote hapo inaweza kua nusu tu hapo

Matumizi
Pitched roof inatumika zaidi Kwa maeneo ambayo barafu zinaanguka mfn Russia Japan, Korea etc

Lkn pia inaweza kutumika Kwa sehem zenye mvua nyingi ili ku-drain faster maji ya mvua

Ila pia inaweza kutumika Kwa matumizi ya kawaida tu hasa kwetu hapa.

Flat roof ni delicate Sana haiitaji hzo bughuza kabisa ila by appearance ina muonekano mzuri Sana na inaleta nakshi
Mfan
FB_IMG_1531080153800.jpg
 
Back
Top Bottom