Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Inageuka swimming pool
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Inageuka swimming pool
Tofali moja bei gani? Mfano ninayoweka mimi tofali zimeongezeka kozi mbili (matofali 350) hizo ni 350,000/- na mkanda juu. Sasa badala ya bati kama 100 hivi nitatumia bati zisizozidi 50(Naokoa bati 50 bei gani hio?)! Kwenye mbao ndio kabisaaaaaa! Bado unaona tofali zilizoongezeka zinaathiri?Halafu matofali mzunguko mzima na gata za zege huoni kama mtu anakuwa hakuna anachokimbia. Gharama zinarudi pale pale tu.
Kama ishu ni design sawa lakini kwa swala la gharama sikubaliani nalo.
Hii kwako haipendezei? Ama kweli uzuri upo machoni kwa mtu!Teh teh teh. Linakuwa kama kasri. Halafu hili lina gharama zake pia hawajui tu. Yani kwa mtu maskini hiii ni mbaya. Wala haipendezi. Wanaoweka hii naona wengi ni wale wanaojenga ghorafa angalau la flow moja ndo inapendeza lakini kwa nyumba ya kawaida walaa halifai.
Siku hizi naona nyumba zenye kuonekana paa zimepitwa na wakati napenda sana nyumba zenye paa za kufichwa.Hii kwako haipendezei? Ama kweli uzuri upo machoni kwa mtu!
![]()
Nimeelewa ufafanuzi wako. Lakini sijui kwani nyumba ikifichwa paa halafu iwe ya kawaida( si ghorofa) naona haivutii.Hii kwako haipendezei? Ama kweli uzuri upo machoni kwa mtu!
![]()
Mkuu, asante saana.Design ya namna hii ni nzuri.
A. Faida :-
bati na mbao ni chache.
Nzuri kimazingira.
Ni vigumu kuezuliwa na Upepo.
Kwa kiasi inaongeza ukubwa wa nyumba.
Unasaidia katika uvunaji wa maji ya mvua.
B. Hasara:-
Isijengwe palipo na miti mirefu.
Huitaji uangalizi hasa katika usafi juu ya papa.
Huitaji mfumo imara wa kupitisha maji ya mvua.
Ni rafiki kwa wanyama na ndege.
Ni lazima uwe na ngazi ya kufikia paa (usafi /ukarabati).
Huitaji umaliziaji mzuri kwa nje.
Huitaji headroom kubwa ili kupunguza Jotoridi ndani ya nyumba.
Kujenga nyumba ya namna hakupunguzi gharama za Ujenzi kwani nafuu ya kitu fulani huongeza gharama ya kitu kingine.
Hata hivyo Flat roof (0-10 degree slopes) kama ikijengwa kwa zege manufaa yake ni mengi zaidi kuliko kupaua kwa bati.
[emoji23][emoji23][emoji23]Inageuka swimming pool
Kama mimi ambavyo nachukia nyumba yenye paa refu kuliko boma lenyeweNimeelewa ufafanuzi wako. Lakini sijui kwani nyumba ikifichwa paa halafu iwe ya kawaida( si ghorofa) naona haivutii.
Ni kweli paa likiwa refu sana linaboa. Paa liwe wastani.Kama mimi ambavyo nachukia nyumba yenye paa refu kuliko boma lenyewe
Mkuu, picha ya pili kutoka juu, juu kabisa ya nyumba ni nini hiko?Acha kupiga Ramli mkuu, kama headroom ikiwa kubwa basi inapendeza mbona[emoji28]View attachment 807273View attachment 807274View attachment 807275View attachment 807276View attachment 807277
Mimi nimejifunza mengi saana na nimeona ni kweli kabisa gharama zapungua, sijui wanaopinga wanapinga kitu gani.Wenzako wanasema inaokoa gharama wewe umekazana kupinga bila hoja za maana, wabongo ni shida aisee. Kama ni ujenzi unaopunguza material kama mbao huoni unasaidia pia kwenye uhifadhi wa mazingira
Ila Mkuu si waweza kuweka tofali tupu juu bila bati?Tofali moja bei gani? Mfano ninayoweka mimi tofali zimeongezeka kozi mbili (matofali 350) hizo ni 350,000/- na mkanda juu. Sasa badala ya bati kama 100 hivi nitatumia bati zisizozidi 50(Naokoa bati 50 bei gani hio?)! Kwenye mbao ndio kabisaaaaaa! Bado unaona tofali zilizoongezeka zinaathiri?
Labda kama ipo chini sana ama sio kubwa.Nimeelewa ufafanuzi wako. Lakini sijui kwani nyumba ikifichwa paa halafu iwe ya kawaida( si ghorofa) naona haivutii.
Kivipi?Ila Mkuu si waweza kuweka tofali tupu juu bila bati?
Mkuu mbona kawaida tuWatu mna majibu jamani [emoji23][emoji23]
good🙄Flat roof ni nzuri. Unatumia mabati machache na mbao chache. Gharama inaweza kuwa robo ya roof ya kawaida.View attachment 806560
Joto linategemea Na headroom ya nyumba yenyewe Na openings Na wala sio roof typeFlat roof, kama utakuwa unaamanisha paa ambalo halijainuka sana.
Faida.
-utatumia material chache hasa mbao ila
Hasara
- tegemea corrosion ya bati baada ya mda
- kama ukiwa mikoa yenye joto tegemea ndani kutakuwa na joto sana
Poor design mzee flat inakua imefunguka Kwa nyuma hapo au uweke sehem ya kutolea maji tofaut Na hapo hyo roof itageuka kua swimming poolMzee hapo mvua ikinyesha inakuaje??