Faida na hasara za kujenga nyumba yenye flat roof

Faida na hasara za kujenga nyumba yenye flat roof

Maana yake unapenda sana hasara? waulize yaliyotupata...just think kuezua nyumba yote na kupiga bati mpya ina gharimu kiasi gani tena ukiwa umeingizwa mkenge ukajengea haya mabati ya chuma chakavu toka Mlandizi ndio kabisaa baada ya miaka mitatu ukiwa ndani ya nyumba unaweza chungulia ndege ya Emirates inapita juu ya paa lako bila taabu

[emoji16][emoji16][emoji16]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Flat roof ni nzuri. Unatumia mabati machache na mbao chache. Gharama inaweza kuwa robo ya roof ya kawaida.View attachment 806560
Tofari zitatumika mara mbili ya nyumba yenye roof ya kawaida,maana yake gharama za roofing zinahamia kwenye tofali na cement,hakuna unafuu,kuna vitu vingi sana kwenye hiyo nyumba ya hiden.niko nasimamia ujenzi wa nyumba kama hii,inahitaji bajeti kubwa kuliko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maana yake unapenda sana hasara? waulize yaliyotupata...just think kuezua nyumba yote na kupiga bati mpya ina gharimu kiasi gani tena ukiwa umeingizwa mkenge ukajengea haya mabati ya chuma chakavu toka Mlandizi ndio kabisaa baada ya miaka mitatu ukiwa ndani ya nyumba unaweza chungulia ndege ya Emirates inapita juu ya paa lako bila taabu
Miaka mitatu atakuwa keshapata Hela nyingi. Hapa Uzi Unazungumzia kupunguza Gharama.
 
Huyo atakua ana hardware vaa u kiwanda cha mabati naona biashara itasua mana flat roof hazili mabati mengi..so anona anaweza anza kuchoma mahindi kama flat roof ziki take over.


#MaendeleoHayanaChama.
Unatumia nguvu kubwa kuponda,unasahau kuwa kila mtu na mapenzi yake. Wewe unaona ya hovyo wengine wanaona ndio bora.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tofari zitatumika mara mbili ya nyumba yenye roof ya kawaida,maana yake gharama za roofing zinahamia kwenye tofali na cement,hakuna unafuu,kuna vitu vingi sana kwenye hiyo nyumba ya hiden.niko nasimamia ujenzi wa nyumba kama hii,inahitaji bajeti kubwa kuliko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huwa mnaongea tu hata hesabu rahisi huwezi kufanya. Tofali zinaongezwa kozi mbili au tatu tu. Kwahio nyumba ya kawaida ina kozi ngapi hadi kuongeza kozi mbili au tatu iwe mara mbili ya tofali zote?!
 
Hivi huwa mnaongea tu hata hesabu rahisi huwezi kufanya. Tofali zinaongezwa kozi mbili au tatu tu. Kwahio nyumba ya kawaida ina kozi ngapi hadi kuongeza kozi mbili au tatu iwe mara mbili ya tofali zote?!
[emoji23][emoji23] eti kozi mbili,mfumo wa hiyo nyumba ukianzia kwenye msingi,mpaka ufike juu, gharama yake ni kubwa sana,zingekuwa nyingi mitaani.mfumo pekee wa kukinga maji una gharama ,nimeona umeandika wanachimbia mabomba ukutani,nikacheka,chemba zake zinakula tofali idadi sawa na nyumba ya kawaida ya chumba na sebule.halafu hawafungi guter kwenye hiden ujue....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23] eti kozi mbili,mfumo wa hiyo nyumba ukianzia kwenye msingi,mpaka ufike juu, gharama yake ni kubwa sana,zingekuwa nyingi mitaani.mfumo pekee wa kukinga maji una gharama ,nimeona umeandika wanachimbia mabomba ukutani,nikacheka,chemba zake zinakula tofali idadi sawa na nyumba ya kawaida ya chumba na sebule.halafu hawafungi guter kwenye hiden ujue....

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe una akili fupi ngoja nikufundishe kama darasa la Kwanza. Nyumba ya kawaida inakuwa na kozi 9 au kumi kabla ya mkanda wa juu. Then zinafuata kozi tatu ndio unaezeka. Zenye hidden roof baada ya hizo kozi tatu za mwisho zinaongezeka mbili au tatu tu. Sasa hizo tofali mara mbili zinatoka wapi?
Gutter....una akili fupi unadhani gutter niliyozungumzia ni Ile ya kukusanya maji pembeni ya bati. Jifunze gutter ni neno pana usikariri.
 
Wewe una akili fupi ngoja nikufundishe kama darasa la Kwanza. Nyumba ya kawaida inakuwa na kozi 9 au kumi kabla ya mkanda wa juu. Then zinafuata kozi tatu ndio unaezeka. Zenye hidden roof baada ya hizo kozi tatu za mwisho zinaongezeka mbili au tatu tu. Sasa hizo tofali mara mbili zinatoka wapi?
Gutter....una akili fupi unadhani gutter niliyozungumzia ni Ile ya kukusanya maji pembeni ya bati. Jifunze gutter ni neno pana usikariri.
Dah aisee... poa poa mkuuu[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani sijui nisubiri uzi wake kama mtauanzisha?!
Binafsi sipendezwi na madirisha ya Alluminium sababu yanafunguka nusu na hivyo kufanya Mwanga unaoingia ndani kuwa hafifu na kubaki giza kwa ndani.
Sipendi mchana kuwasha taa ndani napenda kuwe na mwanga wa asili wa mchana kama uliopo nje.

Je kwa ushauri badala yake kama yatumike madirisha design gani?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani sijui nisubiri uzi wake kama mtauanzisha?!
Binafsi sipendezwi na madirisha ya Alluminium sababu yanafunguka nusu na hivyo kufanya Mwanga unaoingia ndani kuwa hafifu na kubaki giza kwa ndani.
Sipendi mchana kuwasha taa ndani napenda kuwe na mwanga wa asili wa mchana kama uliopo nje.

Je kwa ushauri badala yake kama yatumike madirisha design gani?


Sent using Jamii Forums mobile app
Weka
1.Mbao(yenye vioo) yanayofunguka yote mawili
2.Weka uPVC muonekano kama aluminium ila ni plastic ngumu yana bei mara mbili au zaidi ya aluminium.
3.Weka aluminium yanayofunguka yote mawili. Yaani yawekewe bawaba badala ya ku-slide
 
Weka
1.Mbao(yenye vioo) yanayofunguka yote mawili
2.Weka uPVC muonekano kama aluminium ila ni plastic ngumu yana bei mara mbili au zaidi ya aluminium.
3.Weka aluminium yanayofunguka yote mawili. Yaani yawekewe bawaba badala ya ku-slide



Asante sana,
Umenipa mwanga wa pakuanzia.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini hapo pa alluminium yawekewe bawabu badala ya ku slide nimekuelewa ,
Lakini naona kama madirisha yatakuwa makubwa ie. 2M na kuendelea itakuwa ni rahisi na salama kufanya hivyo?

Nazani kwa madirisha madogo ni sawa ila kwa makubwa yaweza vunjika au?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo option 1 ni more preferable kwangu though nasikia mbao bei ghali sana,
Nchi yetu ina miti ya mbao nyingi lakini sijui kwa nini products za mbao na mbao zenyewe bei ghali sana.
Nasikia mambo ya vibali ndiyo sababu ya yote hayo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana,
Umenipa mwanga wa pakuanzia.


Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_20200525-130952.png
 
Lakini hapo pa alluminium yawekewe bawabu badala ya ku slide nimekuelewa ,
Lakini naona kama madirisha yatakuwa makubwa ie. 2M na kuendelea itakuwa ni rahisi na salama kufanya hivyo?

Nazani kwa madirisha madogo ni sawa ila kwa makubwa yaweza vunjika au?


Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweka partition katikati.
 
Back
Top Bottom