Faida na hasara za kujenga nyumba yenye flat roof

Faida na hasara za kujenga nyumba yenye flat roof

Nyumba za hivi huku kwetu zinaonekana dunk sana mjengo mkubwa ukipaua hivi unaonekena u.ejenga slope ya watu Wa chini kabisa maana ufahari upon kwenye bati.
Pia wataona kama mskiti ...jengo la serekali....


Yote hayo ni mitazamo ya watu.
Vp kudumu kwa bati maana Ni lazima uweke below 10 nyuz ....uchafu unatua...unyevu....kutu vp
Huo mjengo ni wa hovyo kama yalivyokuwa maslope ya zamani ya waarabu na wahindi. Super roof ndio habari ya mjini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyumba gani hivyo. Hovyooo
Hii kwako haipendezei? Ama kweli uzuri upo machoni kwa mtu!
img-20180628-wa0056-jpg.807274

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwonekano huo wa hovyo. Labda kwako wewe
Joto linategemea Na headroom ya nyumba yenyewe Na openings Na wala sio roof type

Pitched roof Na flat Roof tofauti wake ni Kwenye material tu pitched roof inakula material ya Mengi (mbao misumali, bati capping etc), gharama kubwa ya uezekaji etc

Flat roof hvyo vyote hapo inaweza kua nusu tu hapo

Matumizi
Pitched roof inatumika zaidi Kwa maeneo ambayo barafu zinaanguka mfn Russia Japan, Korea etc

Lkn pia inaweza kutumika Kwa sehem zenye mvua nyingi ili ku-drain faster maji ya mvua

Ila pia inaweza kutumika Kwa matumizi ya kawaida tu hasa kwetu hapa.

Flat roof ni delicate Sana haiitaji hzo bughuza kabisa ila by appearance ina muonekano mzuri Sana na inaleta nakshi
Mfan View attachment 807811

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We tembea na plan yako mzee ulisha panga na ukajua kila kitu initially ulitakiwa ufikirie unataka roof ya aina gani way back japo huja chelewa chamsingi ww fanya kinacho kupendeza
Wanajamvi nahitaji ushauri,

Nimedunduliza nakaribia kuvunja kibubu cha ujenzi wa nyumba. nimeshachorewa ramani na makadirio ya gharama. leo kwa shauku kubwa nimemuonyesha ramani boss wangu akanishangaa kwanini nimechora ramani yenye paa la gharama kubwa namna hiyo😵 akaniambia flat roo ingegharimu robo tu ya gharama zote za paa hili (ramani yangu ina paa la kawaida tu).

Amenistua kwasababu mchora ramani alinihakikishia hii ramani ni ya nyumba nafuu kabisa.

Sasa wadau nisaidieni mawazo kw ayeyote anaejuaa faida na hasara za kujenga nyumba yenye flatroof kabla sijabadilisha mawazo nikaingia mkenge.

Natanguliza shukrani za dhati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyumba gani hivyo. Hovyooo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo fasheni itaondoka kwa kasi ya 4G

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo mjengo ni wa hovyo kama yalivyokuwa maslope ya zamani ya waarabu na wahindi. Super roof ndio habari ya mjini

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo fasheni itaisha sasa hivi kama ilivyoisha msumbiji. Mimi ningekuwa yeye ningejenga tu super roof.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unatumia nguvu kubwa kuponda,unasahau kuwa kila mtu na mapenzi yake. Wewe unaona ya hovyo wengine wanaona ndio bora.
 
Unatumia nguvu kubwa kuponda,unasahau kuwa kila mtu na mapenzi yake. Wewe unaona ya hovyo wengine wanaona ndio bora.
Mzee baba baada ya kimya cha muda mrefu humu jamvini naona finally umejitokeza ukiwa tayari kabisa kwa ajili yaku-party hapo kesho kwny Corona day,hahah.

Nakuzingua aisee.
 
Napenda sana flatroof


Sent from my iPhone using JamiiForums

Maana yake unapenda sana hasara? waulize yaliyotupata...just think kuezua nyumba yote na kupiga bati mpya ina gharimu kiasi gani tena ukiwa umeingizwa mkenge ukajengea haya mabati ya chuma chakavu toka Mlandizi ndio kabisaa baada ya miaka mitatu ukiwa ndani ya nyumba unaweza chungulia ndege ya Emirates inapita juu ya paa lako bila taabu
 
Maana yake unapenda sana hasara? waulize yaliyotupata...just think kuezua nyumba yote na kupiga bati mpya ina gharimu kiasi gani tena ukiwa umeingizwa mkenge ukajengea haya mabati ya chuma chakavu toka Mlandizi ndio kabisaa baada ya miaka mitatu ukiwa ndani ya nyumba unaweza chungulia ndege ya Emirates inapita juu ya paa lako bila taabu
Itakuwa hukupata mtaalam wa kuezeka. For the past eight years nimekuwa nikiishi kwenye contempo house Kama inayojadiliwa hapa sijakumbana na kuvuja wala dalili Kama iyo. Fundi wako alikuwa NI maiko?
 
Watanzania walio wengi huwa wanaogopa mabadiliko, sio kwa nyumba tu hata magari, siasa technology na kila kitu, mtu anaweza kushupaza shingo mara ooh hii design ni mbaya mara ooh itapotea, nani kakwambia kuna style ya myumba iliyowahi kudumu, zinakuja zinapita .Me binafsi ni mpenzi wa majengo hayo na kwa sasa naijenga nikiipaua ntashea na nyinyi. Kwa ambao mmtembelea mji wa Dubai nadhani mnaelewa hzi nyumba zilivyopendezesha mji huo.
 
Back
Top Bottom