Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 5,039
- 6,253
Hapana, yaan heightKuta ziweje mkuu, au zinakuwa nene zaidi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, yaan heightKuta ziweje mkuu, au zinakuwa nene zaidi?
Mshamba huyo jamaa! Hii nyumba ikiwa imejengwa kwenye uwanja mzuri wenye nafasi ikafanyiwa finishing kama ilivyokusudiwa na landscaping ya maana mbona unaweza rudi kwako saa 11 jioni kila siku! Ni hizo pesa tuAcha kupiga Ramli mkuu, kama headroom ikiwa kubwa basi inapendeza mbona[emoji28]View attachment 807273View attachment 807274View attachment 807275View attachment 807276View attachment 807277
Hahah hio style si itakuwa kama kasiri😂 mi naona ziwiane tu na vioo viwe vingi lazma nyumba iwe kaliHapana, yaan height
Hapo nimekupata mkuu, hivi hizo fito tatu nyeusi hapo mbele kwenye hio nyumba ya kwanza inakuwa ni mbao au mnasimamisha za zege!
ZegeHapo nimekupata mkuu, hivi hizo fito tatu nyeusi hapo mbele kwenye hio nyumba ya kwanza inakuwa ni mbao au mnasimamisha za zege!
Jamaa wanazingua binafsi sijawahi kuwa na mchecheto na nyumba kama ilivyo sasa na hasa baada ya kuona aina hizi za nyumba wanaziita contemporized house design! Za kinyama sana.Hii kwako haipendezei? Ama kweli uzuri upo machoni kwa mtu!
![]()
Picha tafadhali. Tuelewe vizuri zaidiKama ni swala la kubana matumizi jenga paa msumbiji type
Haipendezi, paa liwe wastani tuKama mimi ambavyo nachukia nyumba yenye paa refu kuliko boma lenyewe
Watu walikandia hivi hivi, "Change is inevitable" mara oh gari za vilema blah blah leo kiko wapi!Unanikumbusha waka gari zenye Auto transmission zilipoanza kuingia.
Watu walikandia hivi hivi, "Change is inevitable" mara oh gari za vilema blah blah leo kiko wapi!
Anyways, hivi conversion inawezekana kwa nyumba yenye pitched roof kwenda yenye flat roof?
Inawezekana,ila itabidi kuwekwe njia za kutoa maji kwenye roof kushuka chini.Watu walikandia hivi hivi, "Change is inevitable" mara oh gari za vilema blah blah leo kiko wapi!
Anyways, hivi conversion inawezekana kwa nyumba yenye pitched roof kwenda yenye flat roof?
Kuta hakikisha zinapigwa white cement ya uhakika na rangi weather guard ya uhakika.Wakuu naombeni turudi kwenye huu uzi
Mi naomba kujulishwa material ya huku kwenye kuta za nje nitumie rangi au nini ambayo haitabanduka kirahisi?
Pia naomba kujua niweke kozi ngapi za tofali toka kwenye lenta mpaka juu ili kuleta muonekano mzuri?
Ntashukuru kwa msaada wenu.
Huwa hakuna kuingia kwenye dari. Hakikisha umeziba vizuri wadudu kama panya wasiingie.Design hizi ni nzuri lakini naomba nieleweshwe je distance kati ya ceiling board na bati kwa ndani ikoje? Je inaweza kuwa na nafasi kiasi cha mtu/fundi kuingia pale ukarabati unapohitajika? mathalan fundi wa umeme au kufanya usafi au kuua wadudu kama panya wanaotanbaa juu ya dari? Au hapo fundi itambidi àcrow ili kuweza kuingia ndani ya ceiling?
Kule unapoona bati zimelala kuna gutter. Inaweza kuwa ya zege au bati gumu. Ya zege life guarantee, bati inalalia hapo inamwagika maji yanashushwa chini na pipe kubwa zinazochimbiw nusu along the wall nusu nje inazibwa na plaster inaibukia chini mwisho wa msingi. Mtu haoni maji yanatokea wapi.Ila kama hio ulioweka mchoro wake inabidi uweke na mabomba ya kutolea maji maana mvua ikipiga hapo maji yanajaa juu ya roof kama swimming pool
Ukiweka zege the whole idea of saving money/cost cutting goes to the drain.sasa si bora uweke zege tu na halafu hapo juu utakua umepata uwanja wa kutumia na kufanyia mambo mengine.
Nyumba ya KAWAIDA baada ya ring beam unazungusha kozi tatu,hii ni kozi tano mpaka sita. So kuna ongezeko la kozi 2-3. Nafikiri unajua bei ya mbao na mabati.Ana hoja ya msingi. Mzunguko wa tofali unaongeza gharama.
Unatakiwa kucheza na rangi na ule urembo wa kuta ili nyumba ipendeze. Kingine madirisha yawe makubwa ya kuvutia. Color coordination nayo muhimu sanaKuta ziweje mkuu, au zinakuwa nene zaidi?