Hio classic. Ukipata Fundi mzuri utafurahia ila mfuko lazima utobokeGoogle Image Result for https://i.pinimg.com/originals/1e/15/4f/1e154f4e7d1ec74010086c4aa91e68af.jpg
Angalia hiyo link ,
Unasemea hiyo?
PRONDO [emoji115]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hio classic. Ukipata Fundi mzuri utafurahia ila mfuko lazima utoboke
Unaweza kuweka nondo ukiamua.Hiyo sampuli inaonesha hawajajengea Nondo dirishani naona inaweza kuwa high risk iwapo wezi watayabomoa hayo na PVC au ?
Nilizani walipaswa kujengea Nondo kwanza au siyo ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo utachoka, nimefuatilia namna unavyojadiliana naye nimegundua jambo moja.Wewe una akili fupi ngoja nikufundishe kama darasa la Kwanza. Nyumba ya kawaida inakuwa na kozi 9 au kumi kabla ya mkanda wa juu. Then zinafuata kozi tatu ndio unaezeka. Zenye hidden roof baada ya hizo kozi tatu za mwisho zinaongezeka mbili au tatu tu. Sasa hizo tofali mara mbili zinatoka wapi?
Gutter....una akili fupi unadhani gutter niliyozungumzia ni Ile ya kukusanya maji pembeni ya bati. Jifunze gutter ni neno pana usikariri.
Kufunguka nusu kwa dirisha liwe Aluminum, mbao au PVC ni aina ya utengenezaji wako.Jamani sijui nisubiri uzi wake kama mtauanzisha?!
Binafsi sipendezwi na madirisha ya Alluminium sababu yanafunguka nusu na hivyo kufanya Mwanga unaoingia ndani kuwa hafifu na kubaki giza kwa ndani.
Sipendi mchana kuwasha taa ndani napenda kuwe na mwanga wa asili wa mchana kama uliopo nje.
Je kwa ushauri badala yake kama yatumike madirisha design gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufunguka nusu kwa dirisha liwe Aluminum, mbao au PVC ni aina ya utengenezaji wako.
Kuna design mbalimbali za madirisha ya aluminium, haya yanayofunguka nusu Sliding Door ndio yamekuwa maarufu hapa TZ.
Lakini unaweza kuwa na aluminium windows inayofunguka dirisha lote hizi zinaitwa "casement Aluminum window.
Uchaguzi ni wako.
Ni nzuri kwa afya na kupunguza matumizi ya umeme kwenye taa na feni.Okey!
Mimi napenda hiyo ya dirisha kufunguka lote
Napenda mchana nisiwashe taa ili kupata mwanga na nuru yakutosha ya asili.
Sipendi giza
Napenda mchana nikiwa ndani kuwe na nuru ya asili kama ya nje.
Sasa bongo mafundi hodari wa kutengeneza madirisha ya alluminium ya kufunguka kote wapo wapi wenye uzoefu?
Maana siyo fundi atakaze kujifunzia kwenye kazi yangu, hiyo kwa kweli hapana.
Ni nzuri kwa afya na kupunguza matumizi ya umeme kwenye taa na feni.
Siyo nguvu kubwa. Toka fasheni hiyo imeingia watu wengi wala hawaishobokeiUnatumia nguvu kubwa kuponda,unasahau kuwa kila mtu na mapenzi yake. Wewe unaona ya hovyo wengine wanaona ndio bora.
Nimeona Makadirio na ujuzi wa weng hapa waliochangia na hasa walioponda wala hawajawahi kujenga chumba hata kimoja.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Acha ushamba hii design ipo siku nyingi sana ila washamba kama wewe ndio mnaona design mpya. Ipo na itaendelea kuwepo.Siyo nguvu kubwa. Toka fasheni hiyo imeingia watu wengi wala hawaishobokei
Labda wewe ndio hujawahi kujenga
Mimi ni foreman wa hizo nyumba,na currently niko kwenye ujenzi wa moja ya nyumba kama picha alivyotuma kule juu,tuheshimiane,nilimpuiza kule juu kwasababu yeye ndiye hajui,nikaona haina haja ya kubishana,naweza kukutumia picha hata kesho nikipata muda nikuelekeze,hizo nyumba nimesimamia ujenzi zaidi ya tatu,na nina miaka zaidi ya 10 kwenye field.mtafute mtu ambaye ameshajenga kama hiyo.atakueleza,sibishani na watu ambao kila kitu wao wanajua.Hapo utachoka, nimefuatilia namna unavyojadiliana naye nimegundua jambo moja.
Huyu mtu hajui chochote kuhusu ujenzi.
Kama anathubutu kusema utatumia matofali mara mbili zaidi ni wazi kuwa hajui chochote kuhusu ujenzi.
Watu wengi wapo huru kujadili hata mambo wasiyoyajua na huwa na confidence ya kutosha kabisa.
Acha ushamba hii design ipo siku nyingi sana ila washamba kama wewe ndio mnaona design mpya. Ipo na itaendelea kuwepo.
Na mda unavyoenda flat roof zinatake over sasa hivi maana mabati ya rangi yamekuwa mengi alafu gharama kubwa ukija kwenye mbao balaaa nani anataka huo ujinga ni flat roof tu mzee sasa ndio inabambaHuyo atakua ana hardware vaa u kiwanda cha mabati naona biashara itasua mana flat roof hazili mabati mengi..so anona anaweza anza kuchoma mahindi kama flat roof ziki take over.
#MaendeleoHayanaChama.
Sent using Jamii Forums mobile app