CCM itapata pigo kuuuuubwa sana pigo moja tu pigo takatifu pigo lililonyooka kabla ya uchaguzi mkuu ujao
MiMi nasemea uchaguzi unaofata
Rate ya Nccr kufa ni kubwa
Mlishapitwa na wakati.
Huenda mtoa mada amelewa, ukiwa na akili timamu huwezi andika utumbo kiasi hiki! Nazidi kuamini mtaji wa ccm ni vilazer kama hawa! Lini Ccm imeanza kuwa na mapenzi na upinzani 'wa kweli'?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaona jinsi unavyojitambulisha?
Wewe ulikuwa na miaka mingapi?Nccr mageuzi walitisha sana enzi hizo
Mbatia ongoza chama vyema kirudi kwenye ubora wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Nccr mageuzi walitisha sana enzi hizo
Mbatia ongoza chama vyema kirudi kwenye ubora wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli sijaelewa kamwe, kumbe kelele zote hizo kuwa chama kikuu cha upinzani Na sio tawala.Kwahio kipaumbele chenu ni kuwa chama Kikuu cha Upinzani na sio Kuchukua usukani ?
Mkuu kama ccm haijaharibika pamoja Na kuwa Na mwenyekiti asiye mwanasiasa Jpm, sembuse cdm?
Nipo hapa corner bar na rafiki yangu tunapata Bia yetu moja hapa na rafiki yangu anadai kuwa tokea lini CCM wameanza kupenda vyama vya upinzani hapa nchini kama siyo unafiki!Nyie Watoto wa juzi mtaijulia wapi Nccr mageuzi? Hiki Ndio chama bora cha upinzani kuwahi kutokea
Sent using Jamii Forums mobile app
Alisifiwa sana Mrema na TLP yake,wakaona haibebeki!Sasa wamehamia NCCR kutest mitambo!Neno Zuri Sana Ukiona MwanaCCM anakisifia Chama Cha Upinzani Kama huyu Jamaa gundua chama hicho ni Dhaifu na Hakina Madhara yoyote kwa Wababe wa CCM. Chama Cha upinzani Nyakati Hizi bado tu ni CHADEMA. Hiyo NCCR unayoisifiaTunajua ni CCM- b
Pale kada wa CCM anapochagua chama kikuu cha upinzani kiwe kipi π π π π π π π !Chadema umeshindwa kutekeleza majukumu yake kama chama kikuu cha upinzani, hakitufai Kabisa
Nccr mageuzi watafanya jambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Watetezi wa CCM mitandaoni ni mbumbumbu!Huenda mtoa mada amelewa, ukiwa na akili timamu huwezi andika utumbo kiasi hiki! Nazidi kuamini mtaji wa ccm ni vilazer kama hawa! Lini Ccm imeanza kuwa na mapenzi na upinzani 'wa kweli'?
Sent using Jamii Forums mobile app