Faida ya Kikwete ni zipi kwenye uangalizi wake wa chaguzi za nchi nyingine?

Faida ya Kikwete ni zipi kwenye uangalizi wake wa chaguzi za nchi nyingine?

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Faida ya Kikwete ni zipi kwenye uangalizi wake wa chaguzi za nchi nyingine? Huyu mzee ni wa ajabu sana akienda huko Kenya na mataifa mengine anajifanya ni wa kisasa na ni mtu wa demokrasia. Akirudi Nyumbani ni kujifungia Dodoma na wana CCM na hakuna demokrasia yeyote kwa manufaa ya tumbo lake na familia yake. Hawa ndiyo wale ambao ni bora wasingekuwepo
 
Faida ya Kikwete ni zipi kwenye uangalizi wake wa chaguzi za nchi nyingine? Huyu mzee ni wa ajabu sana akienda huko Kenya na mataifa mengine anajifanya ni wa kisasa na ni mtu wa demokrasia. Akirudi Nyumbani ni kujifungia Dodoma na wana CCM na hakuna demokrasia yeyote kwa manufaa ya tumbo lake na familia yake. Hawa ndiyo wale ambao ni bora wasingekuwepo

Mzee Mnafiki sana yule. Alichokiongea kule Dodoma ni dhahiri hastahili hiyo heshima anayopewa huko nje.
 
Faida ya Kikwete ni zipi kwenye uangalizi wake wa chaguzi za nchi nyingine? Huyu mzee ni wa ajabu sana akienda huko Kenya na mataifa mengine anajifanya ni wa kisasa na ni mtu wa demokrasia. Akirudi Nyumbani ni kujifungia Dodoma na wana CCM na hakuna demokrasia yeyote kwa manufaa ya tumbo lake na familia yake. Hawa ndiyo wale ambao ni bora wasingekuwepo
Mtu mzima hovyo
 
Faida ya Kikwete ni zipi kwenye uangalizi wake wa chaguzi za nchi nyingine? Huyu mzee ni wa ajabu sana akienda huko Kenya na mataifa mengine anajifanya ni wa kisasa na ni mtu wa demokrasia. Akirudi Nyumbani ni kujifungia Dodoma na wana CCM na hakuna demokrasia yeyote kwa manufaa ya tumbo lake na familia yake. Hawa ndiyo wale ambao ni bora wasingekuwepo
Hakuna mtu mpuuzi kama huyu dogo, hafai hata kutajwa. Jamaa ni muuaji ila anajifanya mtu wa watu na wajinga wanahisi ni mshikaji kweli kumbe hamna kitu.
 
CCM imejaa mbumbumbu. Yaani wanaburuzwa na mwanamke wa kuja!!? Mmeuona uchaguzi wa mfano kule Chadema?
Abdul Suluhu 'Kibaka wa Mama' anakuona ujuwe, usishangae watu wakaja nyumbani kwako usiku huu kukujulia hali.
 
Faida ya Kikwete ni zipi kwenye uangalizi wake wa chaguzi za nchi nyingine? Huyu mzee ni wa ajabu sana akienda huko Kenya na mataifa mengine anajifanya ni wa kisasa na ni mtu wa demokrasia. Akirudi Nyumbani ni kujifungia Dodoma na wana CCM na hakuna demokrasia yeyote kwa manufaa ya tumbo lake na familia yake. Hawa ndiyo wale ambao ni bora wasingekuwepo
Unafiki katika ubora.
 
Back
Top Bottom