Faida ya Kikwete ni zipi kwenye uangalizi wake wa chaguzi za nchi nyingine? Huyu mzee ni wa ajabu sana akienda huko Kenya na mataifa mengine anajifanya ni wa kisasa na ni mtu wa demokrasia. Akirudi Nyumbani ni kujifungia Dodoma na wana CCM na hakuna demokrasia yeyote kwa manufaa ya tumbo lake na familia yake. Hawa ndiyo wale ambao ni bora wasingekuwepo
Mtu mzima hovyoFaida ya Kikwete ni zipi kwenye uangalizi wake wa chaguzi za nchi nyingine? Huyu mzee ni wa ajabu sana akienda huko Kenya na mataifa mengine anajifanya ni wa kisasa na ni mtu wa demokrasia. Akirudi Nyumbani ni kujifungia Dodoma na wana CCM na hakuna demokrasia yeyote kwa manufaa ya tumbo lake na familia yake. Hawa ndiyo wale ambao ni bora wasingekuwepo
CCM NI MAZUZUCCM imejaa mbumbumbu. Yaani wanaburuzwa na mwanamke wa kuja!!? Mmeuona uchaguzi wa mfano kule Chadema?
Hakuna mtu mpuuzi kama huyu dogo, hafai hata kutajwa. Jamaa ni muuaji ila anajifanya mtu wa watu na wajinga wanahisi ni mshikaji kweli kumbe hamna kitu.Faida ya Kikwete ni zipi kwenye uangalizi wake wa chaguzi za nchi nyingine? Huyu mzee ni wa ajabu sana akienda huko Kenya na mataifa mengine anajifanya ni wa kisasa na ni mtu wa demokrasia. Akirudi Nyumbani ni kujifungia Dodoma na wana CCM na hakuna demokrasia yeyote kwa manufaa ya tumbo lake na familia yake. Hawa ndiyo wale ambao ni bora wasingekuwepo
Abdul Suluhu 'Kibaka wa Mama' anakuona ujuwe, usishangae watu wakaja nyumbani kwako usiku huu kukujulia hali.CCM imejaa mbumbumbu. Yaani wanaburuzwa na mwanamke wa kuja!!? Mmeuona uchaguzi wa mfano kule Chadema?
Unafiki katika ubora.Faida ya Kikwete ni zipi kwenye uangalizi wake wa chaguzi za nchi nyingine? Huyu mzee ni wa ajabu sana akienda huko Kenya na mataifa mengine anajifanya ni wa kisasa na ni mtu wa demokrasia. Akirudi Nyumbani ni kujifungia Dodoma na wana CCM na hakuna demokrasia yeyote kwa manufaa ya tumbo lake na familia yake. Hawa ndiyo wale ambao ni bora wasingekuwepo