Faida ya kuishi duniani ni ipi kama tulizaliwa ili tufe?

Faida ya kuishi duniani ni ipi kama tulizaliwa ili tufe?

Immortality na Mortality sio viumbe mkuu.. unaweza ukagugo kama huelewi.

Inawezekana kabisa this is beyond your comprehension ndio maana unaona ni shit. Utakuwa unafanya vema sana kama utaweza kudigest hii idea. Anyways, ukitulia na kuthink through this ni rahisi sana kukubaliana na mm

Kama Mungu alimuumba Adam na Hawa katika state ya kifo, then tunaweza kuconlude pia kwamba Kifo ni uumbaji wa Mungu. And you will be doctrinally incorrect
🤣Hivi mnajua kifo nini biological...kifo sio mdudu wa kumweka na kumtoa kifo ni process...huwezi sema Mungu aliumba binadamu kama alivyo saa hivi with all the organs and systems with all the dying cells and reborn cells halafu useme hamna kifo. Lakini mababu walijua life ni kama maji kwenye ndoo unahamisha tu kwenye ndoo nyingine ndo shida ilipoanzia hapo
 
Neno ‘Nothing’ Nii katika ukomo wa uelewa wa five senses. Kinaweza kuwepo lakini haimaanishi ni ‘nothing’

Five senses zinaweza kung’amua as ‘Nothing’ na inaweza kuwa sawa kabisa kwa muktadha huo.

I hope unaelewa.
🤣🤣🤣🤣Basi Babu Christmas is real yupo nje ya 5 Senses zetu... Haya bishana na Mimi..muabudu Babu Christmas basi
 
Mimi ni mkristo na nina amini katika kuishi kufa na ufufuo.
Ufufuo kwa uzima wa milele au kwa dharau ya milele.
Ila nilitamani kwa mujibu wa maelezo yako nijue
Makusudi ya Mungu ni mwanadamu aishi milele?
Na kama jibu ni ndiyo je makusudi ya Mungu yanashindwa?
Na kama jibu ni hapana,
Ni kwa nini basi tusikubali kuwa kile kinachotokea kuishi , kufa na kifufuka ndiyo yalikuwa makusudi yake kwa mapenzi yake ya kujua mwisho tokea mwanzo?
Zingatia kuwa Mungu
Anajua yote
Ana uwezo wote
Na yupo mahali pote.
🤣Ufufuke uende wapi acha tamaa
 
Hapana Mwandishi alielewa wazi kabisa kwamba Mungu haishi katika mawingu.

Alitumia mawingu kama kielelezo kufundisha mambo ya rohoni.

Kumbuka kadamnasi yake ilikuwa haiwezi kuelewa kwa ufasaha mambo ya rohoni. Hivo kama mwandishi na mwalimu ilimpasa kutumia vielelezo kama mawingu, matunda, miti n.k ili kufundisha mambo yasiyoonekana yaani mambo ya rohoni
🤣We unajuaje haya ..mwandishi alikwambia au... shida wakristo mkiona tatizo kwenye Biblia mnakimbilia kumlaumu mwandishi sijui Mara ye binadamu Mara lugha ya picha...ye kakuambia hivyo kwa Nini uassume, huoni ukileta hizi assumptions ndo unasababisha more division coz kila mtu atakuja na lugha yake ya picha ehe tutamsikiliza nani Sasa kila mtu mwalimu wa kiroho
 
[emoji1787]We unajuaje haya ..mwandishi alikwambia au... shida wakristo mkiona tatizo kwenye Biblia mnakimbilia kumlaumu mwandishi sijui Mara ye binadamu Mara lugha ya picha...ye kakuambia hivyo kwa Nini uassume, huoni ukileta hizi assumptions ndo unasababisha more division coz kila mtu atakuja na lugha yake ya picha ehe tutamsikiliza nani Sasa kila mtu mwalimu wa kiroho

Basi kumbe basi nyoka alizungumza na Eva live live[emoji1787][emoji1787]

Tafuta mwalimu bro
 
[emoji1787]Hivi mnajua kifo nini biological...kifo sio mdudu wa kumweka na kumtoa kifo ni process...huwezi sema Mungu aliumba binadamu kama alivyo saa hivi with all the organs and systems with all the dying cells and reborn cells halafu useme hamna kifo. Lakini mababu walijua life ni kama maji kwenye ndoo unahamisha tu kwenye ndoo nyingine ndo shida ilipoanzia hapo

Wewe ndo unajua leo kuna dying cells and reborn cells. Hayo ni matokeo ya uharibifu wa dhambi.

Lakini haikuwa hivo tangu mwanzo. Mathayo 19:8
 
Mungu alifanya vyema sana kuweka kifo (mwisho) kwa binadamu.
Bila kifo watu wangepelekeana moto kwa mparange mchana kweupe tena unaweza ukashikwa kwa nguvu na kulawitiwa na hakuna pa kushitaki.
 
Hujanieleza roho ni kiti gan, maybe ni mtu mwingine.

Hapo umeleta ushahidi wa kifungu mtunzi akielezea watu wenye moyo mzito ambao kwanza haiendani na muktadha.
Hiyo inaitwa bible falacy.

Ujue mtindo na dhima ya fasihi yoyote ile huwa inabaki kwa mtunzi mwenyewe.
Unaweza kunieleza nini kimekufanya kudhani kuwa mwandishi alipokuwa akisema mbingu hakumaanisha mwisho wa uono hapo kwenye mawingu (firmament) na ukachukulia kuwa alikuwa anatumia kama mifano tu eti kisa wana mioyo mizito?

Unadhani kwanini mwandishi aliamua kutumia lugha hiyo kwa watu wale ilihali kitabu alikuwa anakitunga kwa ajili ya kusomwa hadi zama kama hizi!?

Tuelewane tu, huu ni ukweli usiopingika Ukisoma kwa uelewa na action unajua kabisa kuwa Mungu yuko juu tena ni kwenye mawingu.

Wajenzi wa mnara wa babeli walitaka kumuona Mungu, sasa jamaa alikuwa mawinguni akapelekewa taarifa kuwa watu wake wanataka kumfikia,
Sasa jamaa huyo wa mawinguni akastuka akaja kukwamisha project.

Inamaana walifikia height gani ya kujenga mnara huo hadi jamaa astuke!?

Hii ni moja ya hadithi ukisoma kwa uelewa unajua kabisa kuwa huyu Mungu anaishi juu hapo kwenye tu kwenye mawingu.

Embu niambie sasa Nini kimekufanya wewe kujua kuwa mbingu hakumaanisha ni hapo mawinguni tu?

[emoji23][emoji23][emoji23]

We jamaa una unga mwingi kinoma.

Kwamba mnara wa babeli walitaka kwenda kumwona Mungu mawinguni[emoji23][emoji23]

Our theology are worldly apart.

Kadiri unavozidi kujibu unazidi kuexpose your illiteracy in God’s doctrine

Kwa ufupi hawakutaka kujenga kwenda mbinguni huko anakoishi Mungu. Ndio ujue nina maana njema tu ninapokwambia unahitaji mwalimu

Kwa kuwa uko katika mode ya ubishi hata nikikuelezea kwa mapana yake bado utakataa.

Version ya theology uliyonayo ni KITUKO

Na ndio ninakuelewa kwa nini huamini kama kuna Mungu.

Kwa unga huo lazima uishie kuwa Atheist

Tafuta mwalimu ndugu smotor.
 
Tafuta biblia zilizo halali utajua maana ya Tunda, achana na hizo nakala za kihuni walizotafsiri VATICAN kwa kuficha ficha mambo kwa maslahi yao.

Mtu wa kwanza hakuitwa Adam wala mkewe hakuitwa eve maana hawakuwa na asili ya Uzungu, pili hawakuishi huko walikotuaminisha hawa wachungaji na wanasayansi uchwara.

Tatu Tunda maana yake ilikuwa ni maarifa/Neno la ujuzi wa kutambua mambo fulani hapa dunian, na Mti ulito toa hayo matunda ni Malaika ambao waliishi dunian na walikuwa na mission zao hapa hapa dunian.

Mtu wa kwanza alipewa ONYO asiwasiliane na hao malaika wala kuwaomba wampe/wamwambie Habari za maarifa waliyonayo ambayo walukatazwa kuyajua maana yalikuwa nje ya uelewa wao(Tunda).

Baada ya kuumbwa kwa mwanamke ambaye biblia za uongo zinamuita eva/hawa huyu hakuumbwa kwa udongo kama Adam bali aliumbwa kutokana na Imagination+mawazo ya Adamu kuhusu uwepo wa kiumbe kitakachofanana nayeye kitakachomtoa upweke hivyo eva aliumbwa kwa staili hii.

Kwakuwa Eva hakuwa na Uelewa sawa ama nguvu sawa na adamu bali alishawishika na kiumbe ambacho biblia zenu zinasema ni nyoka(Dragon) ambaye ndiye alimshawishi eva na eva ndiye wa kwanza kuyasikiliza maarifa ya wale malaika walioambiwa wasiyasikie na baadae akamueleza Adam, hapa ndipo chanzo cha maovu kilipoanza.

Adam hakufa kama tunavyodanganywa bali alipewa laana kwa wazawa wake na hata eva hakufa tafuta ktk biblia yako hutoona maala wanaeleza hili jambo zaid ya kudanganya kuwa adam alikufa na umri wa miaka fulan which is nonsense.

Unatakiwa ujuwe kuwa Adam mission yake aliyoletwa dunian ilikuwa ni kuongeza idadi ya malaika waliosaliti ambao idadi yao ilitakiwa kuwa replaced na wana wa adam atakao wazaa na mkewe maana Adamu nae kabla ya kuumbiwa mwili alikuwa ni sehemu ya malaika, baada ya anguko la shetan na wenzie ndipo ikaja sababu ya adamu kushushwa dunian na akafanyiwa mwili ili aweze kuendeleza uumbaji wa malaika wapya(wanadamu).

Idadi inayotakiwa kwa wana wa adamu kureplace idadi ya malaika waliosaliti mbingu inajulikana na huenda ikatimia muda ukifika.

Shida za dunia hazitokwisha na hizo raha mnazotamani hazitopatikana maana huyo kiumbe anaeitwa shetan hataki idadi ya wana wa adamu itimie maana ikitimia na ule mwisho utafika na hukumu kwa shetan na wafuasi wake itafika.

Shetan si mjinga kuwapotosha watu na kuwafanya wamsaliti Muumba ili tu idadi isifikie na malengo ya shetani kuutawala ulimwengu yaendelee uku idadi ya wana wa adamu ikiendelea kudhorota na anguko la wengi liwepo.

Tutafute elimu nje ya box, Hilo kanisa la kizungu la Katolic wakishirikiana na madhehebu yote na dini zote hawa ndio wahuni nambari moja waliopotosha Biblia ya kweli kwa kufuta baadhi ya vitabu na vingine kuvipotosha kwa kuedit na kuweka uongo mwingi maana hawa wote wako chini ya shetan kuhakikisha wana wa Adamu hatuijui kweli na hatuifikii ile idadi inayotakiwa kureplace jeshi la shetani.

Tuendeleeni kushabikia mamipira, maushenzi ya kubishiana dini ya nani ndio sahihi, kuuwana sisi kwa sisi, kujadiri uwepo wa Mungu na ujinga mwingne tunajichelewesha sisi wenyewe
Mkuu tupe bas malink tupate madini
 
Habari zenu,

Natumaini wote wazima.

Huwa najiuliza swali hili kila siku. Na jibu sijawahi kupata, sasa kuna umuhimu gani wa kuishi duniani hali ya kuwa utakufa?

Biblia inasema kuwa Adamu na Hawa walikula tunda pale edeni eti ndo sababu tunakufa. Ina maana kuwa kifo hakikuwa kabla ya kula lile tunda na hata sijui nitunda gani hilo, biblia imetuficha kutupa ukweli.

Sasa kifo na tunda linahusiana na nini? kama MUNGU hakutaka Adam na Hawa wale lile tunda yanini aliliweka kwenye bustani ya edeni? majaribio mengine bana.

Hilo tunda lina ubaya gani? Kitu umekiumba kwanini ukataze kisiliwe? Biblia imetudanganya hapo.

Jamani hata kwa akili ya kawaida kweli upande mazao yako shambani halafu ukataze familia yako kula kweli inakuja? Biblia imeficha ukweli.

Hivi kweli uzae watoto wako alafu uje kuwauwa kisa hawajakutii au hawajafanya utakacho??

Kama tuliumbwa ili tufe ina faida gani kuishi duniani. MUNGU angetuuliza kila mmoja kama utakubali kuishi ili uje kufa baadae kuliko kutufanyia umafia kama huu.

Mtu unahangaika kutafuta maisha kwa kila hali hata mda mwingine hupati milo yako vizuri ili kujibana upate maisha manzuri, sasa unafanya yote ya nini wakati utakufa?

Mambo haya yanachanganya kichwa sana.
Binafsi najua duniani tumekuja kupiga pepa moja tu ukipass basi mambo ni safi huko Rohoni.

Pepa lenyewe:Maisha ya binadamu wote hayalingani hvyokila mtu anawajibu wa kutafuta namna ya kucover up maeneo ya maisha ya binadamu mwenzie yanayomiss,mfano.Umetoka home umekula umeshiba na mfukoni unaakiba kama 3000 hiv unapita maeneo unaona kuna mtu au unajua kabsa mtu fulan atakuwa hajatia chochote tumboni siku hyo na hana uhakika kbs wa kula ukaenda ukampa 2000 ukabakiwa 1000,yule yy akala akamshukuru Mungu pengne hata akakubarik baada ya kuonyesha kujali kwako.Hapo unakuwa umetimiza jukumu lako la kuja duniani.

Sasa huo ndio ulipaswa uwe ni mfumo wa kila mtu popote duniani iwe ni katka masomo,makazi,matibabu,faraja na hata Ushauri pia isiwe inafanyika kwa maonyesho bali katka upendona ukijua kuwa ww pia utapenda usaidiwe bila kuvuta macho ya watu na kutaka sifa,au kusemasema na kutangaza baada ya kusaidia.Inakuwa ni silent na kimyakimya yaan inakuwa ni natural code kama salam tu.Ingewezekana kuwa hvyo basi mambo mengne yote magum yangekuwa rahisi[emoji16][emoji16][emoji16] ila sasa Kujisifu,kutaka sifa,uchoyo na ubinafsi,Ushindani na mashindano yasiyo na maana ndio jadi yetu.

Yesu mwenyewe alisema...AMRI KUU NAWAPENI UPENDO....Yesu Kristo alishatuvunjia Code kazi kwetu[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wewe ndo unajua leo kuna dying cells and reborn cells. Hayo ni matokeo ya uharibifu wa dhambi.

Lakini haikuwa hivo tangu mwanzo. Mathayo 19:8
🤣nani kakuambia kulikuwa Hamna kifo..mti wa uzima ulikuwepo wa Nini asa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

We jamaa una unga mwingi kinoma.

Kwamba mnara wa babeli walitaka kwenda kumwona Mungu mawinguni[emoji23][emoji23]

Our theology are worldly apart.

Kadiri unavozidi kujibu unazidi kuexpose your illiteracy in God’s doctrine

Kwa ufupi hawakutaka kujenga kwenda mbinguni huko anakoishi Mungu. Ndio ujue nina maana njema tu ninapokwambia unahitaji mwalimu

Kwa kuwa uko katika mode ya ubishi hata nikikuelezea kwa mapana yake bado utakataa.

Version ya theology uliyonayo ni KITUKO

Na ndio ninakuelewa kwa nini huamini kama kuna Mungu.

Kwa unga huo lazima uishie kuwa Atheist

Tafuta mwalimu ndugu smotor.
Unaelewavkuwa hujajibu nlichokuuliza!?

Umehubiri tu,
Na trick ulizokuja nazo hapo si za kimjadala, unataka kunihadaa kiakili.

Pangua hoja wewe mwanatheology
 
Kwa mujibu wa biblia takatifu bustani ya Eden ilikuwepo hapa duniani Tena nchini Iraq Kati ya mto Tigris na Elufurati
 
Bustani ya Edeni ni hadithi iliyoelezwa katika dini ya Abrahamaiki, ikiwa ni pamoja na Uyahudi, Ukristo, na Uislamu. Katika hadithi hiyo, Bustani ya Edeni inaelezwa kama mahali pa kipekee ambapo Mungu aliweka wanadamu wa kwanza, Adam na Hawa (Eva), na ilikuwa ni paradiso kamili ya uzuri na neema.

Ni muhimu kutambua kwamba hadithi ya Bustani ya Edeni haielezi tukio la kihistoria ambalo linaweza kufikiwa kwa njia ya uchunguzi wa kisayansi au ramani. Badala yake, hadithi hiyo ina nia ya kutoa mafundisho ya kiroho na maadili kwa wafuasi wa dini hizo.

Inafaa kutambua pia kwamba kuna tofauti ndogo katika maelezo ya Bustani ya Edeni kati ya dini hizo tatu. Katika Biblia ya Kiebrania, ambayo inatumika katika Uyahudi na Ukristo, hakuna ufafanuzi wa kijiografia wa mahali ambapo Bustani ya Edeni ilikuwa. Katika Uislamu, kuna maelezo kidogo yanayotaja kwamba Bustani ya Edeni iko ardhini, lakini tena, hakuna habari ya kijiografia ya mahali hasa.

Katika mtazamo wa kisayansi, hakuna ushahidi wa kihistoria au kijiolojia unaounga mkono uwepo wa Bustani ya Edeni kama mahali halisi duniani. Hadithi hiyo inachukuliwa zaidi kama hadithi ya kidini yenye maana ya kiroho.

Kuhusu hadithi ya Adam na Eva kula tunda la mti wa katikati, ni sehemu ya hadithi ya Biblia inayojulikana kama Kitabu cha Mwanzo. Hadithi hiyo inafundisha kuhusu uasi wa kwanza wa binadamu dhidi ya amri ya Mungu. Kimsingi, inaelezea jinsi Adam na Eva walivunja agizo la Mungu la kutokula tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya. Hadithi hiyo inachukuliwa kama mfano wa jinsi dhambi iliingia ulimwenguni na kuleta matokeo yake kwa binadamu.

Ni muhimu kutambua kwamba hadithi hii inachukuliwa kwa njia ya kiroho na isiyokuwa ya kihistoria na wengi wa wafuasi wa dini hizo. Inasisitiza umuhimu wa kumtii Mungu na athari za kutotii amri zake.
 
Habari zenu,

Natumaini wote wazima.

Huwa najiuliza swali hili kila siku. Na jibu sijawahi kupata, sasa kuna umuhimu gani wa kuishi duniani hali ya kuwa utakufa?

Biblia inasema kuwa Adamu na Hawa walikula tunda pale edeni eti ndo sababu tunakufa. Ina maana kuwa kifo hakikuwa kabla ya kula lile tunda na hata sijui nitunda gani hilo, biblia imetuficha kutupa ukweli.

Sasa kifo na tunda linahusiana na nini? kama MUNGU hakutaka Adam na Hawa wale lile tunda yanini aliliweka kwenye bustani ya edeni? majaribio mengine bana.

Hilo tunda lina ubaya gani? Kitu umekiumba kwanini ukataze kisiliwe? Biblia imetudanganya hapo.

Jamani hata kwa akili ya kawaida kweli upande mazao yako shambani halafu ukataze familia yako kula kweli inakuja? Biblia imeficha ukweli.

Hivi kweli uzae watoto wako alafu uje kuwauwa kisa hawajakutii au hawajafanya utakacho??

Kama tuliumbwa ili tufe ina faida gani kuishi duniani. MUNGU angetuuliza kila mmoja kama utakubali kuishi ili uje kufa baadae kuliko kutufanyia umafia kama huu.

Mtu unahangaika kutafuta maisha kwa kila hali hata mda mwingine hupati milo yako vizuri ili kujibana upate maisha manzuri, sasa unafanya yote ya nini wakati utakufa?

Mambo haya yanachanganya kichwa sana.
[emoji38][emoji38]jamaa anahofu sana kuacha chips kuku
 
Back
Top Bottom