Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Nimekuletea faida chache za kunywa maji nusu saa kabla haujala chakula ni muhimu kuzingatia mida ambayo huwa unapata Milo yako kila siku
Kuywa maji nusu lita kabla ya kula chakula inasaidia kuleta hamu ya kula
Kunywa maji nusu lita kabla ya kula inasaidia kupunguza matatizo tumbo kujaa ya gesi na vidonda vya tumbo
Mmeng'enyo wa chakula
Jambo lingine la muhimu unapomaliza kula tulia dk 15 ndio unywe maji inasaidia kuweka mwili kuwa imara zaidi kupambania na magonywa acha ule utaratibu mbovu wakula chakula huku ukishushia na maji
Unavyojenga nyumba kufanya iwe imara zaidi ni lazima uhakikishe Ile sument imejichanganya na mchanga kabla haujaweka maji
Hivyo hivyo ata unavyojenga mwili ni lazima chakula kijichanganye vizuri tumboni kabla haujanywa maji kuanza kufanya digestion
Kuywa maji nusu lita kabla ya kula chakula inasaidia kuleta hamu ya kula
Kunywa maji nusu lita kabla ya kula inasaidia kupunguza matatizo tumbo kujaa ya gesi na vidonda vya tumbo
Mmeng'enyo wa chakula
Jambo lingine la muhimu unapomaliza kula tulia dk 15 ndio unywe maji inasaidia kuweka mwili kuwa imara zaidi kupambania na magonywa acha ule utaratibu mbovu wakula chakula huku ukishushia na maji
Unavyojenga nyumba kufanya iwe imara zaidi ni lazima uhakikishe Ile sument imejichanganya na mchanga kabla haujaweka maji
Hivyo hivyo ata unavyojenga mwili ni lazima chakula kijichanganye vizuri tumboni kabla haujanywa maji kuanza kufanya digestion