Huo ndio ukweli budget ya egypt asilimia kubwa inatoka usa kuwalinda hao mashoga ndio maana alivyoingia mursi ilifanywa hujuma mpk akaondolewa maana yule huo mkataba ungekufa na hamas wangekuwa na nguvu sana maana wangekuwa mizigo yao inapita tu misriHahahaha 😂😂😂😂
Mchambuzi kutoka tukuyu
Unajaza Server za Jf Kuanzisha uzi utumbo usio na kichwa wala miguu.Mgogoro wa, Israel na Palestine Una faida kwa taifa la Misri. Ukweli ni kwamba Misri ana mkataba wa kutoingilia huo mgogoro na anapata billions of dollars kama hongo from USA.
Ndiyo maana huoni Misri akihangaika sana na huo mgogoro. Kufa kufaana.
Kwa wale wenye maswali kwa nini Misri ananyamaza kimya kwenye mgogoro, huo hapo ndiyo ukweli. Watu wanaangalia maslahi.
US anatoa hela na misaada ya kiulinz na kijesh karibu nchi zote za mashariki ya kati. Zikiongozwa na hiyo familia ya SaudiMgogoro wa, Israel na Palestine Una faida kwa taifa la Misri. Ukweli ni kwamba Misri ana mkataba wa kutoingilia huo mgogoro na anapata billions of dollars kama hongo from USA.
Ndiyo maana huoni Misri akihangaika sana na huo mgogoro. Kufa kufaana.
Kwa wale wenye maswali kwa nini Misri ananyamaza kimya kwenye mgogoro, huo hapo ndiyo ukweli. Watu wanaangalia maslahi.
Ni kweli hata mm nina ushahidi misri uturuki na Pakistan majeshi yao huhongwa na marekan ili wawe nyutro kwenye baadhi ya migogoro yenye maslahi na marekaniHahahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mchambuzi kutoka tukuyu
Hapa umedanganya..na sipendi watu waongo na uwongo...hakuna hata siku moja familia ya Al Saud imepewa msaada na US ila wananunua cash!US anatoa hela na misaada ya kiulinz na kijesh karibu nchi zote za mashariki ya kati. Zikiongozwa na hiyo familia ya Saudi
Hiv unajua kisa cha Osama kuichukia saudia wewe. Aliwalaumu kwa kuruhusu kuweka kambi za kijesh kwenye ardhi takatifu na wakat huo madona alienda kambin kuwaimbia jeshi uchi. Marekan inamikataba ya ulinz kwa hiyo nchi kwa taarifa yako. Na si hapo tu hata Qatar anayo kambi. UAE oman Bahrain Kuwait kote wenzio wana mikataba ya kiulinz. Kambi za Syria na Iraq kaweka majuzjuz tu. Kama huamin subir nchi yeyote ivamiwe katika hizo utakuja kuniambia. Misri yeye alibanwa baada ya karibu nusu ya jeshi lake kutekwa kule Sinai na Israel. Ndio akalazimishwa mikataba na hiyo misaada ya kijesh. Msaada sio pesa tu Mzee ni ulinz. Hiyo familia imejimilikisha hiyo nchi tangu Babu yake SSM.Hapa umedanganya..na sipendi watu waongo na uwongo...hakuna hata siku moja familia ya Al Saud imepewa msaada na US ila wananunua cash!
Rejea trump alivyosema wamenunua vifaa vya kijeshi vya USD 340
Mbona unatuongopea?US anatoa hela na misaada ya kiulinz na kijesh karibu nchi zote za mashariki ya kati. Zikiongozwa na hiyo familia ya Saudi
Uturuki pasi na kuhongwa kinachombana sana ni NATO.Ni kweli hata mm nina ushahidi misri uturuki na Pakistan majeshi yao huhongwa na marekan ili wawe nyutro kwenye baadhi ya migogoro yenye maslahi na marekani
Asa huo sio msaada bro.Hiv unajua kisa cha Osama kuichukia saudia wewe. Aliwalaumu kwa kuruhusu kuweka kambi za kijesh kwenye ardhi takatifu na wakat huo madona alienda kambin kuwaimbia jeshi uchi. Marekan inamikataba ya ulinz kwa hiyo nchi kwa taarifa yako. Na si hapo tu hata Qatar anayo kambi. UAE oman Bahrain Kuwait kote wenzio wana mikataba ya kiulinz. Kambi za Syria na Iraq kaweka majuzjuz tu. Kama huamin subir nchi yeyote ivamiwe katika hizo utakuja kuniambia. Misri yeye alibanwa baada ya karibu nusu ya jeshi lake kutekwa kule Sinai na Israel. Ndio akalazimishwa mikataba na hiyo misaada ya kijesh. Msaada sio pesa tu Mzee ni ulinz. Hiyo familia imejimilikisha hiyo nchi tangu Babu yake SSM.
Bro hiv unajua maana ya ulinz chief. Unaweza ukatoa hela na ukakosa ulinz. Sio kila mtu anapewa hiyo kitu Mzee na Mzungu sio kila mtu anampa hiyo kitu. Lazima aone hilo eneo kwake lina maslah gani. Hiv unafikiri Taiwan hawatoi pesa kununua silaha marekan. Lakin marekan kawahakikishia ulinz mchina akitia pua kinanuka ndio kibur cha Taiwan na mainland wanajua.Asa huo sio msaada bro.
Ni mkataba huo umewekwa mzee wa kiulinzi na SAUDIA,BAHRAIN,UAE MAMILIONI YA DOLLAR YANAWATOKA KILA MWAKA KWASABABU YA HIYO MIKATABA YA ULINZI.
Utasemaje huo msaada ilhali wenzio pesa zinawatoka kila mwaka??
Asa huo ndio msaada?Bro hiv unajua maana ya ulinz chief. Unaweza ukatoa hela na ukakosa ulinz. Sio kila mtu anapewa hiyo kitu Mzee na Mzungu sio kila mtu anampa hiyo kitu. Lazima aone hilo eneo kwake lina maslah gani. Hiv unafikiri Taiwan hawatoi pesa kununua silaha marekan. Lakin marekan kawahakikishia ulinz mchina akitia pua kinanuka ndio kibur cha Taiwan na mainland wanajua.
Hiv unavyosikia Tanzania imepewa msaada na china unafikiri ni bure au.Asa huo ndio msaada?
Umetumia msamiati msaada vibaya katika huo mnajili.
Ndio USA yuko pale kulinda maslahi yake na anatafuna pesa nyingi za waarabu kila mwaka ila huo sio msaada.
Taiwan kiburi kidogo maana hana uhakika wa usalama licha ya USA kudai anamuunga mkono South China sea Phillipines alipokonywa visiwa na China licha ya kuwa anaungwa mkono na USA.
Doh bro msaada unatolewa na pesa??Hiv unavyosikia Tanzania imepewa msaada na china unafikiri ni bure au.
Misri yupo mstari wa mbele kwenye kutafuta suluhu ya kusitisha vita, hajakaa kimya hata kidogoMgogoro wa, Israel na Palestine Una faida kwa taifa la Misri. Ukweli ni kwamba Misri ana mkataba wa kutoingilia huo mgogoro na anapata billions of dollars kama hongo from USA.
Ndiyo maana huoni Misri akihangaika sana na huo mgogoro. Kufa kufaana.
Kwa wale wenye maswali kwa nini Misri ananyamaza kimya kwenye mgogoro, huo hapo ndiyo ukweli. Watu wanaangalia maslahi.
Hujui chochote,50% ya budget ya misri inatolewa na U.S.A lengo,lengo ni misri isiingilie mgogoro/isiunge mkono hamas.Unajaza Server za Jf Kuanzisha uzi utumbo usio na kichwa wala miguu.
We km hapo mbagala nyanya hazina wateja nenda Buza.
Unaujua mkataba wa camp David?Mbona unatuongopea?
Misaada inatolewa Israel tu usitake kutudanganya.
Kwingine huko ameanzisha mahusiano ya kidiplomasia tu.
Hakuna taifa lolote analolipa msaada zaidi ya Israel.
Misri anapewa hongo ila mataifa yalobaki kama Saudia ,Bahrain ameweka nayo mikataba ya ulinzi na uuzaji silaha anatafuna pesa za hao waarabu.
Mbona hata Saudia ni hivyo hivyo..Mgogoro wa, Israel na Palestine Una faida kwa taifa la Misri. Ukweli ni kwamba Misri ana mkataba wa kutoingilia huo mgogoro na anapata billions of dollars kama hongo from USA.
Ndiyo maana huoni Misri akihangaika sana na huo mgogoro. Kufa kufaana.
Kwa wale wenye maswali kwa nini Misri ananyamaza kimya kwenye mgogoro, huo hapo ndiyo ukweli. Watu wanaangalia maslahi.