Kwanini nisiujue?Unaujua mkataba wa camp David?
Tuanzie hapo kwanza.
Wewe ndo hujui, Marekani hutoa misaada ya fedha Kwa Israel na misri zinatofautiana kiwango tu, hizo nchi zingine Wana mikataba ya ulinzi tu.Mbona unatuongopea?
Misaada inatolewa Israel tu usitake kutudanganya.
Kwingine huko ameanzisha mahusiano ya kidiplomasia tu.
Hakuna taifa lolote analolipa msaada zaidi ya Israel.
Misri anapewa hongo ila mataifa yalobaki kama Saudia ,Bahrain ameweka nayo mikataba ya ulinzi na uuzaji silaha anatafuna pesa za hao waarabu.
kwann usipinge kwa hoja badala ya kumshambulia mtoa mada , hii JF imekuwa ma wehu siku hzUnajaza Server za Jf Kuanzisha uzi utumbo usio na kichwa wala miguu.
We km hapo mbagala nyanya hazina wateja nenda Buza.
kwan msaada mpk upewe pesa ? omba omba mshaanza jipangia namna ya kupewa misaadaMbona unatuongopea?
Misaada inatolewa Israel tu usitake kutudanganya.
Kwingine huko ameanzisha mahusiano ya kidiplomasia tu.
Hakuna taifa lolote analolipa msaada zaidi ya Israel.
Misri anapewa hongo ila mataifa yalobaki kama Saudia ,Bahrain ameweka nayo mikataba ya ulinzi na uuzaji silaha anatafuna pesa za hao waarabu.
🤣🤣🤣🤣🤣.Wewe ndo hujui, Marekani hutoa misaada ya fedha Kwa Israel na misri zinatofautiana kiwango tu, hizo nchi zingine Wana mikataba ya ulinzi tu.
Mbona ulichojibu ni nje ya maudhui?kwan msaada mpk upewe pesa ? omba omba mshaanza jipangia namna ya kupewa misaada