Rashda Zunde
JF-Expert Member
- May 28, 2022
- 204
- 231
Hati 4 za makubaliano zilizosainiwa baina ya Wizara za Tanzania na Oman
1. Ushirikiano katika masuala ya nishati ili kukuza taaluma na utaalamu
2. Ushirikiano katika Elimu ya Juu kwa lengo la kubadilishana uzoefu wa wataalamu
3. Ushirikiano katika utalii kwa lengo la kuhamasisha uwekezaji na kuvutia watalii
4. Ushirikiano katika masuala ya Makumbusho ya Taifa ili kubadilishana uzoefu katika nyanja ya historia.
1. Ushirikiano katika masuala ya nishati ili kukuza taaluma na utaalamu
2. Ushirikiano katika Elimu ya Juu kwa lengo la kubadilishana uzoefu wa wataalamu
3. Ushirikiano katika utalii kwa lengo la kuhamasisha uwekezaji na kuvutia watalii
4. Ushirikiano katika masuala ya Makumbusho ya Taifa ili kubadilishana uzoefu katika nyanja ya historia.