Faida ya ziara ya Rais Samia Suluhu nchini Oman

Faida ya ziara ya Rais Samia Suluhu nchini Oman

Hati 4 za makubaliano zilizosainiwa baina ya Wizara za Tanzania na Oman

1. Ushirikiano katika masuala ya nishati ili kukuza taaluma na utaalamu
2. Ushirikiano katika Elimu ya Juu kwa lengo la kubadilishana uzoefu wa wataalamu
3. Ushirikiano katika utalii kwa lengo la kuhamasisha uwekezaji na kuvutia watalii
4. Ushirikiano katika masuala ya Makumbusho ya Taifa ili kubadilishana uzoefu katika nyanja ya historia.

Taja na hasara zake kabisa ili sijirudie pahala. Penye Pros kuna cons
 
Nonsense..unaacha kushirikiana na nchi za maana kama usa,UK, Japan na Israel. Unaenda kushirikiana na upumbavu huo ambao we are almost the same!
RIP Magufuli,Nyerere and Mkapa

Dah Dadadeki !!!!!!!!!!!!
 
Oman nchi tajiri wala hatulingani nayo kiuchumi. Labda wewe hujawahi kufika kule.
Kuwa tajiri kiuchumi si kigezo cha kusema tukajifunze utalaam wao,labda useme elimu watakayotuletea ni ile ya 1991-1995 aliyoileta Mwinyi ya kujenga misikiti nchi nzima.
 
Back
Top Bottom