Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Means? Riba izivuke 9%?Pesa tu ya kuzungusha inafaa ikopewe na single Digit achana na hao wanaokopa bila kuzungusha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Means? Riba izivuke 9%?Pesa tu ya kuzungusha inafaa ikopewe na single Digit achana na hao wanaokopa bila kuzungusha
Hapa ni pagumu kwa mtumishi mkuu,huo muda wa kufanya hiyo biashara ni saa ngapi,unatoka nyumbani saa 12 asubuhi unarudi saa 2 usiku,ndio maana watumishi wengi mikopo yao wananunulia magari au kujenga nyumba,hao unaozungumzia wewe ni wafanyabiashara...Wataalam wa mikopo wanakwambia usikope kununua gari ya kutembelea maana gari liability haliingizi chochote Bali litakufanya pia utoe hela mfukoni ili kulihudumia kwa hiyo litakunyonya zaidi, kama unataka kununua gari basi nunua ya biashara eg hiace, coaster, kirikuu, tipper etc ili ilete hesabu pia hata kujenga nyumba ya kuishi kwa mkopo hawashauri pia labda ujenge ya biashara let say guest house, vyumba vya biashara n.k. Jana niliiona video moja ya MO anasema watu wanakosea kwa kukopa hela then wanajenga nyumba ya kuishi kwa nin hiyo hela usiifanyie biashara na wewe ukaendelea kupanga nyumba yenye gharama ndogo then biashara ikikua na kuanza kuingiza faida ya kutosha ndio unajenga nyumba kwa kutumia faida unayoipata
Kwa hiyo hapo na wewe umetoa ushauri?Kimfaacho mtu chake.
Kopa mzee hata ukiinywa sawa tu maana kesho yako huijui. Tena usisahau kuita chawa wakutosha ili ukifulia tusiache kukuita tajiri.
Oooh hapo Sawa nimekupata nadhani huwezi chukua zaidi ya mara nne ulichowekaRiba ya mkopo full
Hiyo 5% ni riba ya mkopo utakaochukua kwa muda wote wa marejesho yako..
Ni saccoss ya ofisi hiyo ndo tunakopeshwa kwa riba ya 5%
Mf. Nakopa 10M
10,000,000 riba ya 5% ni 500,000.. so nitakuwa nina jumla ya deni la 10,500,000/= machaguzi ya kukatwa kwa muda wa miezi 12/18/24 ni yako.
Cc Financial Freedom
NdiyoOooh hapo Sawa nimekupata nadhani huwezi chukua zaidi ya mara nne ulichoweka
Wewe una undugu na mpwayungu village maanaNina mtu wa karibu ni mwalimu anakopa kusomesha watoto english medium, mshahara baada ya makato anapokea 200000
Hapo bado mikopo umiza hivyo anabaki na 50 tu
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
ndio maana watumishi wengi mikopo yao wananunulia magari au kujenga nyumba
Mmmmh!!!Sijajua ni kwanini watu wanaona kama mtu akikopa akajenga nyumba ya kuishi au kununua gari anakua amefanya kitu kibaya? Nyumba na gari ni BASIC NEEDS kwa maisha ya sasa, ni sawa na simu.
Mtu aliekopa akajenga nyumba ya kuishi, au akanunua gari ya kutembelea, na yule alie invest kwenye biashara, wote wanakua wamefanya mambo ya maana kimaisha!
Mhh me naona nyingi jamani
Kwetu ni 5%
Na bado naikwepa nikikwama najikopea salary adv
Labda bado sijakolezwa vizuri na majukumu
Yakinikolea hata 18% itakuwa ndogo [emoji1787]
Ni only staffsKwenu wapi huko mnakopeshwa/kopesha kwa riba ya 5% nami nije kuchukua kibunda?
Ni only staffs
Una taasisi nzuri. 5% ni heri sana.Mhh me naona nyingi jamani
Kwetu ni 5%
Na bado naikwepa nikikwama najikopea salary adv
Labda bado sijakolezwa vizuri na majukumu
Yakinikolea hata 18% itakuwa ndogo 🤣
Mmmmh!!!
Na hapo utakuta watu wala hawahangaiki kukopa wanajivuta vuta mpaka wabembelezwee..!😀😀 Sisi huku mtaani tunanyukwa 17% na tumekomaa na mikopoUna taasisi nzuri. 5% ni heri sana.
Ila ukichukua mkopo halafu ukanunua gari unapata faida gani? Ni kujiongezea umasikini tu.Kwa mtumishi wa umma, hakuna kitu chochote unachoweza kufanya bila kukopa. Hata gari tu ya milioni 8 huwezi kusema ukusanye mishahara mpaka itimie hiyo hela. Cha maana ni kuwa na malengo na kuhakikisha unapokopa pesa hiyo unaipeleka kwenye lengo husika.
Naona amejisahau huyu. Hata huyo anayepata mshahara mkubwa basi milioni 8 ni nyingiMil 8 ni pesa ndogo kwa nani? Mkuu, hebu panua mawazo kidogo acha kujifungia kwenye box. Usidhani kwamba kwa vile wewe umebahatika kuwa na vijihela basi watu wote ni kama wewe. Kwa taarifa yako mil 8 ni hela nyingi sana kwa majority ya watanzania..!
Penye miti hapana wajenzi Mkuu.Na hapo utakuta watu wala hawahangaiki kukopa wanajivuta vuta mpaka wabembelezwee..!😀😀 Sisi huku mtaani tunanyukwa 17% na tumekomaa na mikopo