Wasomi? What do you mean? Ambaye hapendi mapenzi wala hausiani na usomi. Ni ugonjwa!
Wasomi? What do you mean? Ambaye hapendi mapenzi wala hausiani na usomi. Ni ugonjwa!
hahaaaaaaaa Nyamayao umeshika palepale penye utamu!!!!!!!!mhh hapa wamekufikisha, wakitaka kukuchokoza wakutengue kwenye sekta ya malavu, haya we hebu niambie faida zako ulizopata kuanzia ulivyoanzaga kufanya hii kitu.
hahaaaaaaaa Nyamayao umeshika palepale penye utamu!!!!!!!!
Ameshakimbia huyu!
We unacheza na sekta inayotufanya watu tutafute hela hapa duniani... wacha hii mambo kabisa...Robbot mwenyewe kaweka jukwaa maalum la hii makitu, we unaisemea vibaya...usirudie bana!
ndio hivyo bht.... we taniana nae lakini ukitaka kumkorofisha muengeu kwenye matuc....mtagombana.
HEEE!
cha kushangaza honey bunny???
who are u??????
umetazama thread zangu zote ukaona ngono???
wewe ni member hapa since when??????
usitafute umaarufu kwa nguvu....
u dont know me.
nakushauri go get a life,
hasa sex life which seems to be missing in your life
since u believe sex is upuuzi.
Nyie wote bata na boss hamna maana.Mnalumbana mambo ya ajabu kama watoto.
wewe hii ya mapenzi tena haina kichwa wala miguu umeona nii ya maana,
be educated,or u better go back to school.
U SEEMS LIKE not matured enough.
ngono kitu gani wewe bosi.....acha ushamba wa mapenzi,utamu utamu kwani kila mtu ana utamu na faida zake ktk ngono.ila wewe umezidi sana huwezi kuandika thread kama hii ya kipuuzi hapa jamvini.
tena ukome kabisa,siitaji umaarufu ila angalia unachoandika.
Fidel yuko wapi ampe DISIPLINE...naona****inamuwasha.Kuna kitu anakitafuta kama hujamstukia.