Faida za sex kwa mwanamke....

Faida za sex kwa mwanamke....

Wasomi? What do you mean? Ambaye hapendi mapenzi wala hausiani na usomi. Ni ugonjwa!


mhh hapa wamekufikisha, wakitaka kukuchokoza wakutengue kwenye sekta ya malavu, haya we hebu niambie faida zako ulizopata kuanzia ulivyoanzaga kufanya hii kitu.
 
Wasomi? What do you mean? Ambaye hapendi mapenzi wala hausiani na usomi. Ni ugonjwa!

ndo unisaidie kumshangaa huyu the Bata mwenyewe!!!!!!!! he/she is sick
 
Jamani imetosha atajifunza jinsi ya kukosoa mada, hatarudia tena!
 
mhh hapa wamekufikisha, wakitaka kukuchokoza wakutengue kwenye sekta ya malavu, haya we hebu niambie faida zako ulizopata kuanzia ulivyoanzaga kufanya hii kitu.
hahaaaaaaaa Nyamayao umeshika palepale penye utamu!!!!!!!!
 
hahaaaaaaaa Nyamayao umeshika palepale penye utamu!!!!!!!!

ndio hivyo bht.... we taniana nae lakini ukitaka kumkorofisha muengeu kwenye matuc....mtagombana.
 
Ameshakimbia huyu!
We unacheza na sekta inayotufanya watu tutafute hela hapa duniani... wacha hii mambo kabisa...Robbot mwenyewe kaweka jukwaa maalum la hii makitu, we unaisemea vibaya...usirudie bana!
 
Ameshakimbia huyu!
We unacheza na sekta inayotufanya watu tutafute hela hapa duniani... wacha hii mambo kabisa...Robbot mwenyewe kaweka jukwaa maalum la hii makitu, we unaisemea vibaya...usirudie bana!

sheee!!! harudiii tena huyu!!
 
ndio hivyo bht.... we taniana nae lakini ukitaka kumkorofisha muengeu kwenye matuc....mtagombana.

heheeeeee jamani we unaifurahisha sana...kumbe ndo mabo za xpin hizo eeeh, ZD na ujeuri wote kwa lijamaa hili bado kazi ipo!!!
 
hahaaaaaaaa Nyamayao umeshika palepale penye utamu!!!!!!!!

HEEE!
icon12.gif
 
who are u??????
umetazama thread zangu zote ukaona ngono???
wewe ni member hapa since when??????
usitafute umaarufu kwa nguvu....
u dont know me.
nakushauri go get a life,
hasa sex life which seems to be missing in your life
since u believe sex is upuuzi.

hongera mzungu kwa kujua kiswahili. Umejifunza lini, sir?
 
Nyie wote bata na boss hamna maana.Mnalumbana mambo ya ajabu kama watoto.
 
wewe hii ya mapenzi tena haina kichwa wala miguu umeona nii ya maana,

be educated,or u better go back to school.

U SEEMS LIKE not matured enough.

ngono kitu gani wewe bosi.....acha ushamba wa mapenzi,utamu utamu kwani kila mtu ana utamu na faida zake ktk ngono.ila wewe umezidi sana huwezi kuandika thread kama hii ya kipuuzi hapa jamvini.

tena ukome kabisa,siitaji umaarufu ila angalia unachoandika.

We bata naona hata hilo jina la bata halikufai sijui tukuite nani badalal ya mtu. Hapa ni uwanja wa mapenzi, na hii thread ni ya mapenzi au huelewi nini hapa. Mbona umesoma hadi mwisho kama hauna muda husingefungua hii post. Seems u dont have mpenzi, haya maneno yamekugusa ndo maana una-react hivyo. Mwache Boss awe anatutumia mambo ya mapenzi atufafanulie mambo ya mapenzi, umeyataka mwenyewe mpaka tunakufikiria labda wewe ni shoga na unataka kujipendekeza kwa boss. Boss anaye mtu wake hapa na wala hana mpango na wewe. Akupeleke wapi kwanza na kama vipi potezea.
 
Jamani eh, tuchangie mada tuwaache Boss na Bata na yao. Ukiingia Thread hii unategemea kukuta mambo ya mapenzi na vikorombwezo vyake, kama humind huna haja kujimuvuzisha hapa.

Inawezekana wanawake wengi hawafahamu faida za sex na wanahitaji kuelimishwa, kama ilivyo kwa baadhi ya wanaume ambao wanadhani mke ukishamtolea mahari inabaki kumrukia tu bila hata kumbembeleza kimahaba na kumuandaa kwa tendo.

Kwa kuwa ni mara chache sana wanawake wa Kibongo kuwaaproach wanaume, wanakuwa na hisia kwamba wananume ndo wanawahitaji wao. Ndo maana hata inapofikia tendo ni mara chache kukuta mwanamke anamuanza mwanaume hata kama yuko kwenye heat. Ikitokea kutoelewana kidogo mwanamke anafanya 'mgao' kama Tanesco akijua kamkomesha mwanaume. Ni muhimu wanawake watambue haki na wajibu wao kwa mwanaume na watekeleze.
 
Binafsi naweza kushuhudia kuwa hakuna kitu kitamu kama ngono duniani, sijawahi kukutana nacho. Lakini pia naweza kushuhudia kuwa, kibao kikigeuka kubaya, hakuna kitu kinachoweza kukosesha amani kama ngono. The line is so thin.
 
Nini!!! yaani malavidavi ni upuuuziiiiiiiiiii, aise mkuu Bata pls....hii tuachie sisi i gues mkuu unaandaliwa kuchunga au tayali ni mchunga kondoo tena wa kikatoliki thats why.
 
Back
Top Bottom