Nini!!! yaani malavidavi ni upuuuziiiiiiiiiii, aise mkuu Bata pls....hii tuachie sisi i gues mkuu unaandaliwa kuchunga au tayali ni mchunga kondoo tena wa kikatoliki thats why.
wewe hii ya mapenzi tena haina kichwa wala miguu umeona nii ya maana,
be educated,or u better go back to school.
U SEEMS LIKE not matured enough.
ngono kitu gani wewe bosi.....acha ushamba wa mapenzi,utamu utamu kwani kila mtu ana utamu na faida zake ktk ngono.ila wewe umezidi sana huwezi kuandika thread kama hii ya kipuuzi hapa jamvini.
tena ukome kabisa,siitaji umaarufu ila angalia unachoandika.
Think the one needing education here is you broda! any personal issues btn you n The Boss?
We bata naona hata hilo jina la bata halikufai sijui tukuite nani badalal ya mtu. Hapa ni uwanja wa mapenzi, na hii thread ni ya mapenzi au huelewi nini hapa. Mbona umesoma hadi mwisho kama hauna muda husingefungua hii post. Seems u dont have mpenzi, haya maneno yamekugusa ndo maana una-react hivyo. Mwache Boss awe anatutumia mambo ya mapenzi atufafanulie mambo ya mapenzi, umeyataka mwenyewe mpaka tunakufikiria labda wewe ni shoga na unataka kujipendekeza kwa boss. Boss anaye mtu wake hapa na wala hana mpango na wewe. Akupeleke wapi kwanza na kama vipi potezea.
We boss,huna sera,this is the home of great thinkers.
wewe kila kukicha ngono ngono ngono,nimekusoma sana wewe.
acha kuwaza ngono sana,unaonesha upuuzi wako hapa.
hatuna muda wa ngono sisi.
hivi bata ni HE au SHE?
Kiblurey huwa kinafloe nikiwa nimekunywa banta mara moja moja!Hehehe! Binamu muda si mrefu utasajiliwa kwenye ukoo wa blurei! Hahaha! LOL! Umekiangusha chenyewe haswaaaa!
Kiblurey huwa kinafloe nikiwa nimekunywa banta mara moja moja!
unao sana muda wa ngono ndo maana umesoooma weeee na ukacomment. la sivyo ungekuwa kule kwenye si hasa na kwingineko.
We boss,huna sera,this is the home of great thinkers.
wewe kila kukicha ngono ngono ngono,nimekusoma sana wewe.
acha kuwaza ngono sana,unaonesha upuuzi wako hapa.
hatuna muda wa ngono sisi.
sasa unaishije ndoani?kwani ngono ni upuuzi?
hata mie mke wangu hataki kabisa tushirikiane kimwili,
lakini ndio ana stress ile mbaya,
kisirani hakimwishi na ngozi imeanza kuwa kama ana unyafuzi.
mi ninaiprint na kumpelekea mke wangu ili asome faida za tunda la uzima.
big up the boss
Nini!!! yaani malavidavi ni upuuuziiiiiiiiiii, aise mkuu Bata pls....hii tuachie sisi i gues mkuu unaandaliwa kuchunga au tayali ni mchunga kondoo tena wa kikatoliki thats why.
Waaaayi hao wenyewe mbona wanajiiba....hii kitu ni kama kitimoto vile hata walokatazwa wanaibia
I can see my sister in that bold there.