Mvina
JF-Expert Member
- Aug 2, 2009
- 998
- 34
Nini!!! yaani malavidavi ni upuuuziiiiiiiiiii, aise mkuu Bata pls....hii tuachie sisi i gues mkuu unaandaliwa kuchunga au tayali ni mchunga kondoo tena wa kikatoliki thats why.
Alikuwa hajui kama hili ndo jukwaa la wala bata nini? Mapenzi ndo maisha bila mapenzi hata kazi nahisi watu wasinge jituma vile..