Faida za sex kwa mwanamke....

Faida za sex kwa mwanamke....

Nini!!! yaani malavidavi ni upuuuziiiiiiiiiii, aise mkuu Bata pls....hii tuachie sisi i gues mkuu unaandaliwa kuchunga au tayali ni mchunga kondoo tena wa kikatoliki thats why.

Alikuwa hajui kama hili ndo jukwaa la wala bata nini? Mapenzi ndo maisha bila mapenzi hata kazi nahisi watu wasinge jituma vile..
 
wewe hii ya mapenzi tena haina kichwa wala miguu umeona nii ya maana,

be educated,or u better go back to school.

U SEEMS LIKE not matured enough.

ngono kitu gani wewe bosi.....acha ushamba wa mapenzi,utamu utamu kwani kila mtu ana utamu na faida zake ktk ngono.ila wewe umezidi sana huwezi kuandika thread kama hii ya kipuuzi hapa jamvini.

tena ukome kabisa,siitaji umaarufu ila angalia unachoandika.

Think the one needing education here is you broda! any personal issues btn you n The Boss?
 
Think the one needing education here is you broda! any personal issues btn you n The Boss?

Hehehe! Binamu muda si mrefu utasajiliwa kwenye ukoo wa blurei! Hahaha! LOL! Umekiangusha chenyewe haswaaaa!
 
We bata naona hata hilo jina la bata halikufai sijui tukuite nani badalal ya mtu. Hapa ni uwanja wa mapenzi, na hii thread ni ya mapenzi au huelewi nini hapa. Mbona umesoma hadi mwisho kama hauna muda husingefungua hii post. Seems u dont have mpenzi, haya maneno yamekugusa ndo maana una-react hivyo. Mwache Boss awe anatutumia mambo ya mapenzi atufafanulie mambo ya mapenzi, umeyataka mwenyewe mpaka tunakufikiria labda wewe ni shoga na unataka kujipendekeza kwa boss. Boss anaye mtu wake hapa na wala hana mpango na wewe. Akupeleke wapi kwanza na kama vipi potezea.

loud n clear! Hu hu huuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
We boss,huna sera,this is the home of great thinkers.

wewe kila kukicha ngono ngono ngono,nimekusoma sana wewe.

acha kuwaza ngono sana,unaonesha upuuzi wako hapa.

hatuna muda wa ngono sisi.

unao sana muda wa ngono ndo maana umesoooma weeee na ukacomment. la sivyo ungekuwa kule kwenye si hasa na kwingineko.
 
Hehehe! Binamu muda si mrefu utasajiliwa kwenye ukoo wa blurei! Hahaha! LOL! Umekiangusha chenyewe haswaaaa!
Kiblurey huwa kinafloe nikiwa nimekunywa banta mara moja moja!
 
unao sana muda wa ngono ndo maana umesoooma weeee na ukacomment. la sivyo ungekuwa kule kwenye si hasa na kwingineko.

yote yanaanzia hapa hapa....kama hapa hapawezi huko kwingine ndio chalii maani hapa ndo mizizi....tumeshikilia kila kitu...'the source'
 
We boss,huna sera,this is the home of great thinkers.

wewe kila kukicha ngono ngono ngono,nimekusoma sana wewe.

acha kuwaza ngono sana,unaonesha upuuzi wako hapa.

hatuna muda wa ngono sisi.

kwani ngono ni upuuzi?
hata mie mke wangu hataki kabisa tushirikiane kimwili,
lakini ndio ana stress ile mbaya,
kisirani hakimwishi na ngozi imeanza kuwa kama ana unyafuzi.
mi ninaiprint na kumpelekea mke wangu ili asome faida za tunda la uzima.
big up the boss
 
kwani ngono ni upuuzi?
hata mie mke wangu hataki kabisa tushirikiane kimwili,
lakini ndio ana stress ile mbaya,
kisirani hakimwishi na ngozi imeanza kuwa kama ana unyafuzi.
mi ninaiprint na kumpelekea mke wangu ili asome faida za tunda la uzima.
big up the boss
sasa unaishije ndoani?
 
Nini!!! yaani malavidavi ni upuuuziiiiiiiiiii, aise mkuu Bata pls....hii tuachie sisi i gues mkuu unaandaliwa kuchunga au tayali ni mchunga kondoo tena wa kikatoliki thats why.

Waaaayi hao wenyewe mbona wanajiiba....hii kitu ni kama kitimoto vile hata walokatazwa wanaibia
 
Achani ushamba nyieeeeeeeeeeeee anachosema ni ukweli mtupu according to science, sasa nyie washamba msiofuatilia mambo kwa kina mnakasirika, mna matatizo gani wa tz? Seems not educated enough men
 
Jamani kama mlivyoona namba 9 hapo juu ina apply, inawezekana mamaa kamgomea ndo maana analeta kisirani chake hapa, let him go off here
 
kwere za nini tena, sema BATA umechemka kuponda kiasi hicho, mapenzi ni sehemu ya life mtu wangu,kubali usikubali unatafuta hela kwa ajili ya maisha yako na familia yako..so you can not avoid love labda uwe ******* au askofu..

so be easy bro.
 
Back
Top Bottom