Faida za sex kwa mwanamke....

Faida za sex kwa mwanamke....

waswahili bana,ivi we bata ni lazima kusoma thread za mapenzi?kama kwako suala hili sio muhimu basi soma thread nyingine mbona zipo nyingi tu haya ya huku tuachie wenyewe.....mimi nafikiri si bure huyu jamaa kuna kitu anataka toka kwa mtoa mada wetu labda aulizwe hii ni dunia ya ukweli na uwazi......nawasilisha

You Can Say it again. Kuna kitu kinatafutwa hapa. Kwa sisi watu wa mahaba wala hatuoni ubaya wowote wa hii thread wala wa mtoa thread. The boss; endelea kumwaga mavituz ya malavidavi kama kawaida. Wapwa tuko na wewe, siasa tuwaachie ma-Legends.
 
We boss,huna sera,this is the home of great thinkers.

wewe kila kukicha ngono ngono ngono,nimekusoma sana wewe.

acha kuwaza ngono sana,unaonesha upuuzi wako hapa.

hatuna muda wa ngono sisi.

Unataka mtu akutukane afungiwe basi ufurahi, The Boss mpotezee huyu wala usijibizane nae, ukiona mwanamke anapinga ngono aliwahi kubakwa na mateja.
 
Unataka mtu akutukane afungiwe basi ufurahi, The Boss mpotezee huyu wala usijibizane nae, ukiona mwanamke anapinga ngono aliwahi kubakwa na mateja.

Hahaha! Mpwa umeua! Na mwanamke anayebakwa na mateja naye ni teja vilevile. LOL!
 
We boss,huna sera,this is the home of great thinkers.

wewe kila kukicha ngono ngono ngono,nimekusoma sana wewe.

acha kuwaza ngono sana,unaonesha upuuzi wako hapa.

hatuna muda wa ngono sisi.

by the way hujalazimishwa kusoma thred hii..
 
who are u??????
umetazama thread zangu zote ukaona ngono???
wewe ni member hapa since when??????
usitafute umaarufu kwa nguvu....
u dont know me.
nakushauri go get a life,
hasa sex life which seems to be missing in your life
since u believe sex is upuuzi.

Boss!!!! Pentium 4 wote potezeaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!! siaende huko kwa malegend basi ka yeye anajiona wa kivile....hapa fulu mapendo na urafiki!!!

I dont even see him fitting there anyway!!! Anafikiri thinking politics ndo thinking great!!!!!

Life isnt all about politcs and economics and technology...!!!! there is more than that!!!!!
 
Kweli bana,ingefaa wadada wote waione...nadhani ingeturahisishia ..Wadada think of the benefits!!!
 

wewe ulimi UMEACHAA USHOGA maana kuna mshikaji anakuuliziaga kweli yani.wewe na bosi hamna sera.

You have options Bata!!! Tuachie sisi huu 'UPUUZI' wetu na wewe kaendelee na thread zako za 'maana'

acha kuropoka hovyo hovyo na kutufanya tudivert from the original post of a VERY VERY INTERSTING thread!!

Goodbye Bata dear!!
 
Hivi kwa nini wanawake wengi wa kitanzania
wanafikiri sex ni kwa ajili ya kumfurahisha
mwanaume,kama vile haina faida yeyote kwao???

Mara nyingine utasikia mwanamke anamnyima sex
mpenzi wake kama njia yakumkomoa why???

Kuna faida nyingi kwa mwanamke anapofanya sex
mara kwa mara hizi ni baadhi tu

1.ngozi inakuwa nzuri na laini.
2.nywele zinakuwa nzuri na zina shine.
3.unapata usingizi mzuri..
4.unapata hamu ya kula vizuri..
5.unaondoa stress kichwani.
6.unaongeza confidence ...na self esteem
7.unapata amani ya moyo...
8.unapunguza kasi ya kuzeeka...
9.unapunguza kisirani kwa ujumla..
10.........etc, etc.

Hasa kwa wale wenyendoa,Bible imesema.......MSINYIMANE........ Naomba wachungaji nisaidieni kutafuta kifungu chake.
 
Mh! Bata na Boss wana lao jambo. Bata unabwata vipi kwa thread ya mwenzio. Hapa hulazimishwi kuchangia ni hiari yako. kama wenye mtandao hawajblock thread yake inaonyesha inahitajika.

mapenzi hayana shule for your infomation, ukisema hana elimu kwa sababu katoa thread ya mapenzi unakosea, nakushauri tu umtake radhi ili mambo yaendelee, what i can see wewe si mpenzi wa mapenzi so acha kutembelea thread za mapenzi.
 
We boss,huna sera,this is the home of great thinkers..

We una sera za kutoa ajira milioni 1?
Umesikia magreat thinkers hawamegi/megwa we vp bana? Bila hii kitu ww ungezaliwa?
 
Hapo unaposema unapunguza kasi ya kuzeeka sikubaliani nawe, hapo hakuna ukweli wowote kama kungekuwa na ukweli dada na kaka zetu wanajiuza wasingekuwa wanazeeka haraka kwa sababu virutubisho wanavyovipata kwa siku ni balaa halafu vinatoka kwa watu tofautitofauti.
....Mh!! Kwani wale wadada hawaweki maturabai wakati wa kutoa uroda?? Haya mambo ya virutubisho direct ndio wanaingiaga kwenye gridi ya taifa!!!!
 
We una sera za kutoa ajira milioni 1?
Umesikia magreat thinkers hawamegi/megwa we vp bana? Bila hii kitu ww ungezaliwa?

aende zake huyo pentium 4....sisi si wale tunaongea vitu ambavo havitekelezeki!!!

we are IN DEED GREAT THINKERS!!! we are more prwactically here!!!
 
....Mh!! Kwani wale wadada hawaweki maturabai wakati wa kutoa uroda?? Haya mambo ya virutubisho direct ndio wanaingiaga kwenye gridi ya taifa!!!!
hahaaa i hope grid hii ya taifa si ile ya 'tenesco' inazimika hovyo hovyo tuu
 
Mh! Bata na Boss wana lao jambo. Bata unabwata vipi kwa thread ya mwenzio. Hapa hulazimishwi kuchangia ni hiari yako. kama wenye mtandao hawajblock thread yake inaonyesha inahitajika.

mapenzi hayana shule for your infomation, ukisema hana elimu kwa sababu katoa thread ya mapenzi unakosea, nakushauri tu umtake radhi ili mambo yaendelee, what i can see wewe si mpenzi wa mapenzi so acha kutembelea thread za mapenzi.

and caroline if that is so jamaa is not normal basi...anakaupungufu!!!

hivi wasomi ndo hawataki mapenzi!!!?? wa wapi huyu??
 
and caroline if that is so jamaa is not normal basi...anakaupungufu!!!

hivi wasomi ndo hawataki mapenzi!!!?? wa wapi huyu??

Wasomi? What do you mean? Ambaye hapendi mapenzi wala hausiani na usomi. Ni ugonjwa!
 
Back
Top Bottom