Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Najuta kwanini nilipinga uwekezaji wa DP WORLD kwenye Bandari zetu, nadhani nilielewa vibaya kutokana na kupotoshwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UCHIZI SIYO LAZIMA UVUE NGUO BARABARANI HATA HUU NAO NI UGONJWA WA AKILINajuta kwanini nilipinga uwekezaji wa DP WORLD kwenye Bandari zetu, nadhani nilielewa vibaya kutokana na kupotoshwa
View attachment 2998153
Wewe hata kuagiza box la toothpicks hujui unataka source.Mkuu toa source ya taarifa hii
Source ya taarifa iko wapi?Najuta kwanini nilipinga uwekezaji wa DP WORLD kwenye Bandari zetu, nadhani nilielewa vibaya kutokana na kupotoshwa
View attachment 2998153
Mimi mwenyeweMkuu toa source ya taarifa hii
Ni mpumbavu tu anayeweza kusaini mkataba wa namna hii, nasema uongo ndugu zangu
Mo Cargo 😂😂Source ya taarifa iko wapi?
Bei za bidhaa zitakapoanza kuparama ndiyo source yenyeweMkuu toa source ya taarifa hii
Babachadema kwa kuokoteza porojo hapana kwa kweli
Wewe housegirl wa Mbowe acha upotoshaji. Kilichopanda sio utaoaji wa mizigo bali ni gharama za usafirishaji mizigo hadi bandari ya Dsm. DP world hawahusiki na kupanda kwa gharama za shipping. Hilo ni tatizo la dunia nzima ambalo limetokea wiki hii. Pia lilionekana kutokea. Sababu kubwa inayotajwa kupandisha bei za shipping ni uharamia baharini. Nimekuwekea link hapo ukasome.Najuta kwanini nilipinga uwekezaji wa DP WORLD kwenye Bandari zetu, nadhani nilielewa vibaya kutokana na kupotoshwa
View attachment 2998153
Kazi ya vyombo vya ulinzi na usalama vya duniani kote kazi yake ni ipi hadi maharamia waathiri maisha ya dunia nzima?.Wewe housegirl wa Mbowe acha upotoshaji. DP world hawahusiki na kupanda kwa gharama za shipping. Hilo ni tatizo la dunia nzima ambalo limetokea wiki hii. Pia lilionekana kutokea. Sababu kubwa inayotajwa kupandisha bei za shipping ni uharamia baharini. Nimekuwekea link hapo ukasome.
View attachment 2998169
Unajishushia heshima yako kidogo uliyo nayo. Shipping costs zimepanda dunia nzima. Kama ni hivyo wamarekani, waingereza, wafaransa na mataifa mengine wanatakiwa wailaumu CCM na DP World kupandisha gharama za shipping duniani kote.Mimi mwenyewe