Ndengaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,831
- 14,259
Jibu swali acha mabango 😀😀Wewe hata kuagiza box la toothpicks hujui unataka source.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu swali acha mabango 😀😀Wewe hata kuagiza box la toothpicks hujui unataka source.
Imepanda Kwa asilimia ngapiUnajishushia heshima yako kidogo uliyo nayo. Shipping costs zimepanda dunia nzima. Kama ni hivyo wamarekani, waingereza, wafaransa na mataifa mengine wanatakiwa wailaumu CCM na DP World kupandisha gharama za shipping duniani kote.
Basi nikajua utasema haijapandaUnajishushia heshima yako kidogo uliyo nayo. Shipping costs zimepanda dunia nzima. Kama ni hivyo wamarekani, waingereza, wafaransa na mataifa mengine wanatakiwa wailaumu CCM na DP World kupandisha gharama za shipping duniani kote.
SAFI SANA MAENDELEO YATAPATIKANA KWA KASI YA 6GNajuta kwanini nilipinga uwekezaji wa DP WORLD kwenye Bandari zetu, nadhani nilielewa vibaya kutokana na kupotoshwa
View attachment 2998153
😆😆😆😆Tuache utani. Pesa ya Abdul ni balaa na janga kubwa.
Nilistuka sana kuona hayo maneno uliyo andika kabla sijaona yaliyofuata chini yake. Nikajuwa "maridhiano" yanaendelea!
who are you by the way mpaka uwe source ya taarifa muhimu kama hiyo inayohusu taifa wewe unazijuwa za mbowe tu na lisuMimi mwenyewe
😆😆😆😆who are you by the way mpaka uwe source ya taarifa muhimu kama hiyo inayohusu taifa wewe unazijuwa za mbowe tu na lisu
je shipping line wameongeza gharama kwa sababu ya DP WORLD au kuna issue zingine?Bandari gharama anazo charge zipo fixed kwa kila huduma, gharama kubwa kwa sasa ni kwenye kusafirisha ambapo shipping line wameongeza
sasa mbona freight charge hzihusiani kabisa na dp world huu uzushi wa erythrocyte unaletwa na nini ? hebu ajaribu kuficha ujinga wake anatia aibu kuwa na taifa lenye watu mbumbumbu kama huyuNi kweli freight charges zimeongezeka.
Kama ongezeko la 30% ni standard ya dunia . Kwanini Tanzania gharama inaongezeka kwa 260% ? Au 260% ni uzushi .Bandari gharama anazo charge zipo fixed kwa kila huduma, gharama kubwa kwa sasa ni kwenye kusafirisha ambapo shipping line wameongeza
huio ni uzushi hakuna kitu kama hichoKama ongezeko la 30% ni standard ya dunia . Kwanini Tanzania gharama inaongezeka kwa 260% ? Au 260% ni uzushi .
Kama linatoka Once In..then delivered to businesses ni sawa tu.Najuta kwanini nilipinga uwekezaji wa DP WORLD kwenye Bandari zetu, nadhani nilielewa vibaya kutokana na kupotoshwa
View attachment 2998153
Hata wewe umejitoa akili bila kutarajia. Mtoa mada kasema gharama za kutoa mzigo wa kontainer moja na si kusafirisha toka Huko hadi Dsm port. Yaani wharfage and handling charges na si container freight charges.Wewe housegirl wa Mbowe acha upotoshaji. DP world hawahusiki na kupanda kwa gharama za shipping. Hilo ni tatizo la dunia nzima ambalo limetokea wiki hii. Pia lilionekana kutokea. Sababu kubwa inayotajwa kupandisha bei za shipping ni uharamia baharini. Nimekuwekea link hapo ukasome.
View attachment 2998169
MMMMMMHNajuta kwanini nilipinga uwekezaji wa DP WORLD kwenye Bandari zetu, nadhani nilielewa vibaya kutokana na kupotoshwa
View attachment 2998153
Nimeipenda hiiHii nchi kila kitu siasa. Mmeambiwa sababu za kupanda gharama za usafirishaji ni kutokana na meli kuzunguka njia ndefu kutokana na mambo ya Yemen huko redsea ila sasa kutokana na ujinga wetu wengi wataambiwa sababu no DP-WORLD