Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajidhalilisha..Mimi mwenyewe
Watanzania tukatae jamani huu wizi wa bandari yetu. Ni uongo mtupu wanatumia. Walipoona tumejua ukweli ile concession ya dubai ilivyo haifai hata kulumangia ugali wakaja na ulaghai huu wa mkataba wa DP wakisema umezingatia maoni ya wananchi na kwamba ni kwa gati 2 tu. Sasa wametuambia ni gati namba 1 hadi gati namba 7. Bado tutaambiwa wamepewa bandari zote sawa na lile kwa umoja tulikataa. Mjue hii DP pamoja tunaambiwa ni ya dubai humo ni mabebru watupu wakishirikiana na mamwinyi wafalme wa UAE. Kwa wale tunafuatilia mitandaoni kuna taarifa UAE wananunua ardhi kote afrika tutakuja kujikuta inabidi kupambana kujikomboa. Kuna nchi ardhi zao zimenunuliwa hadi asilimia 40. Sisi wanasema asilimia 8 wamekwisha nunua. Bia shaka itakua ni pamoja na loliondo.Najuta kwanini nilipinga uwekezaji wa DP WORLD kwenye Bandari zetu, nadhani nilielewa vibaya kutokana na kupotoshwa
View attachment 2998153
Kwahiyo waliopandisha ni DP World? Acha upotoshaji wa makusudi. Kuweni fair kwasababu mkienda kwa style hiyo ya kisiasa msilaumu CCM nao wakijibu mapigo.Basi nikajua utasema haijapanda
Kwa hili hata mie najuta kupinga , mama tupo pamojaNajuta kwanini nilipinga uwekezaji wa DP WORLD kwenye Bandari zetu, nadhani nilielewa vibaya kutokana na kupotoshwa
View attachment 2998153
Naam vipi haliBaba
Ni kichaa tu anayeweza kusaini mkataba wa namna hii, nasema uongo ndugu zangu
Hii nchi kila kitu siasa. Mmeambiwa sababu za kupanda gharama za usafirishaji ni kutokana na meli kuzunguka njia ndefu kutokana na mambo ya Yemen huko redsea ila sasa kutokana na ujinga wetu wengi wataambiwa sababu no DP-WORLD
Ila we jamaa hua ni mpuuzi flani wa chinichini. Kwahiyo kontena haijalishi ina bidhaa gani zote hua zina bei moja?Najuta kwanini nilipinga uwekezaji wa DP WORLD kwenye Bandari zetu, nadhani nilielewa vibaya kutokana na kupotoshwa
View attachment 2998153
Umesoma sababu za kupanda bei ya hayo makontena ni nini?Ndio kutoka mil 7had 23 ??
Una level gan ya elimu wewe KIAZI MBATATA
Michuma yangu naanza kuishushia mombassa port.Najuta kwanini nilipinga uwekezaji wa DP WORLD kwenye Bandari zetu, nadhani nilielewa vibaya kutokana na kupotoshwa
View attachment 2998153
Ni kwa faida ya mwekezaji ili apate faida kwa ajili ya kutoa gawio. Serikali imeona itafute wa kushare naye faida ya bandari.Najuta kwanini nilipinga uwekezaji wa DP WORLD kwenye Bandari zetu, nadhani nilielewa vibaya kutokana na kupotoshwa
View attachment 2998153
Umesoma sababu za kupanda bei ya hayo makontena ni nini?
Na mimi nakutupa kwenye trash can right away maana huna akili.Ninakuweka kwenye Ignore list
Huwa I don’t deal with small minds.
One plus one equal to two , does not equal to anything else even if there can be thousands of answers
Kwahiyo kabla ya DP World Serikali ilikuwa inakoseshwa mapato ?Najuta kwanini nilipinga uwekezaji wa DP WORLD kwenye Bandari zetu, nadhani nilielewa vibaya kutokana na kupotoshwa
View attachment 2998153
Salama…miss youNaam vipi hali
nami pia si unajua tena uzee,majukumu ya hapa na pale ila niponipoSalama…miss you