mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Ngoja ntakupandishaSource ya taarifa iko wapi?
Tulia hapo hapo
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja ntakupandishaSource ya taarifa iko wapi?
Kamuulize mamakoKazi ya vyombo vya ulinzi na usalama vya duniani kote kazi yake ni ipi hadi maharamia waathiri maisha ya dunia nzima?.
ccm
KUTOA kontena moja $9000 badala ya $2500? Kwahio kontena la vitenge,la pombe,la vipuri vya magari yote ni bei moja? Ndugu zetu upinzani wenu ni kituko kabisa.Najuta kwanini nilipinga uwekezaji wa DP WORLD kwenye Bandari zetu, nadhani nilielewa vibaya kutokana na kupotoshwa
View attachment 2998153
Bora ukose vyote lakini siyo akiliKamuulize mamako
😂😂😂Wewe hata kuagiza box la toothpicks hujui unataka source.
Mzanzibari ametuletea dhahama. Tanganyika kama kichwa cha mwendawazimu, kila mtu ananyoa tu. NonsenseNajuta kwanini nilipinga uwekezaji wa DP WORLD kwenye Bandari zetu, nadhani nilielewa vibaya kutokana na kupotoshwa
View attachment 2998153
Na BADO.Najuta kwanini nilipinga uwekezaji wa DP WORLD kwenye Bandari zetu, nadhani nilielewa vibaya kutokana na kupotoshwa
View attachment 2998153
Acha kujidharaulisha kwa kushindwa kujua gharama za shipping zimeongezeka dunia nzima na hazina uhusiano wowote na DP World wala serikali ya Tanzania.And the best thing kuhusu all these Shenanigans ? Ni kwamba hapo hio pesa sio yetu yote 100 Percent yaani tunajikamua kunufaisha wengine ?
Alafu tunapoteza muda kuhangaika na mikia (kina Makonda) wakati vichwa huku zinafanya yao kwa kuleta Havocs !!!!
It gonna get worse and worse..., na sijui kama it will ever get better in our lifetime....
Chanzo chako cha taarifa ulichoweka hapa kinasema container shipping rates zimepanda kwa 30%..Wewe housegirl wa Mbowe acha upotoshaji. DP world hawahusiki na kupanda kwa gharama za shipping. Hilo ni tatizo la dunia nzima ambalo limetokea wiki hii. Pia lilionekana kutokea. Sababu kubwa inayotajwa kupandisha bei za shipping ni uharamia baharini. Nimekuwekea link hapo ukasome.
View attachment 2998169
Mtanikumbuka.Ni mpumbavu tu anayeweza kusaini mkataba wa namna hii, nasema uongo ndugu zangu
Bandari tulikopa Benki ya Dunia, kuiboresha. Ili tuwagawie wajomba watukamue, huku tukilipa deni!And the best thing kuhusu all these Shenanigans ? Ni kwamba hapo hio pesa sio yetu yote 100 Percent yaani tunajikamua kunufaisha wengine ?
Alafu tunapoteza muda kuhangaika na mikia (kina Makonda) wakati vichwa huku zinafanya yao kwa kuleta Havocs !!!!
It gonna get worse and worse..., na sijui kama it will ever get better in our lifetime....
Kwamba hiyo bei imepanda ambako DP World ana operate au? Maana msije potosha hapa.Najuta kwanini nilipinga uwekezaji wa DP WORLD kwenye Bandari zetu, nadhani nilielewa vibaya kutokana na kupotoshwa
View attachment 2998153
Wewe mpumbavu kusafirisha mzigo toka Dar hadi Morogoro gharama itakuwa sawa na kusafirisha kutoka Dar hadi Bukoba? Halafu DP world ni shipping line? Ficheni upumbavu wenu.Chanzo chako cha taarifa ulichoweka hapa kinasema container shipping rates zimepanda kwa 30%..
Hiyo rate ya DPW kwa bandari za Tz, kwa mujibu ya mtoa mada, imepanda kwa 260% !!!
Kwa hiyo majibu yako hayatoshelezi
Wewe kenge, chawa wahed, jinga kabisa. Unaleta uchawa kwenye mambo serious?!Wewe mpumbavu kusafirisha mzigo toka Dar hadi Morogoro gharama itakuwa sawa na kusafirisha kutoka Dar hadi Bukoba? Halafu DP world ni shipping line? Ficheni upumbavu wenu.
Tuache utani. Pesa ya Abdul ni balaa na janga kubwa.Najuta kwanini nilipinga uwekezaji wa DP WORLD kwenye Bandari zetu, nadhani nilielewa vibaya kutokana na kupotoshwa
Chawa pro maxNajuta kwanini nilipinga uwekezaji wa DP WORLD kwenye Bandari zetu, nadhani nilielewa vibaya kutokana na kupotoshwa
View attachment 2998153