Faida za Uwekezaji wa DP WORLD Bandarini zaanza kuonekana, Hongera Rais Samia

Faida za Uwekezaji wa DP WORLD Bandarini zaanza kuonekana, Hongera Rais Samia

Serikali haikupandisha bei yoyote, kilichopanda ni "freight" ambayo ni usafirishaji kutoka nje, yaani gharama za kusafirisha zimepanda kutoka nje. Tanzania haihusiki wala DP World hawahusiki.


Wakulaumiwa na mazqyuni, kimbembe wanachokifanya Wayemeni kuzuia meli za mazayuni kupita kando ya bahari yao maana yake meli zinazopita ni kidogo sana na makampuni na bima yameziongezea bei, gharama siku zote zote zinarudi kwa mlaji.

Umeruka "JOKOM" umekanyaga "VIMA".

Mwanzo ulisema ni uongo halafu kwenye maelezo unasema imepanda kwa mlaji wa mwisho.

Kama mwanzo ilikuwa kutoa dola 2500 na sasa ni 9000 baada ya kuja DP WORLD ,kwanini tusisime imepanda regardless ya hao mazayuni wako.
 
Umeruka "JOKOM" umekanyaga "VIMA".

Mwanzo ulisema ni uongo halafu kwenye maelezo unasema imepanda kwa mlaji wa mwisho.

Kama mwanzo ilikuwa kutoa dola 2500 na sasa ni 9000 baada ya kuja DP WORLD ,kwanini tusisime imepanda regardless ya hao mazayuni wako.
Poyoyo, sasa niliyoyaeleza yanhusiana nini na DP World?

Hauelewi wa Yemeni wabafanya nini baharini huko?

Kama huelewi kwa kukujuza tu, Wayemen wameingia awamu ya nne ya mashambulizi kwa meli za kizayuni na washirika wake, na hiki ndicho wanachokifanya:

View: https://youtu.be/wiWurluiFn4?si=J39-qz4r98uta8ut
 
Poyoyo, sasa niliyoyaeleza yanhusiana nini na DP World?

Hauelewi wa Yemeni wabafanya nini baharini huko?

Kama huelewi kwa kukujuza tu, Wayemen wameingia awamu ya nne ya mashambulizi kwa meli za kizayuni na washirika wake, na hiki ndicho wanachokifanya:

View: https://youtu.be/wiWurluiFn4?si=J39-qz4r98uta8ut


Sitaki kuyajua hayo kwani hizo gharama zinalipiwa huko yemeni au tanzania? Mfano gharama za kupiga international calls zikiongezeka due to connection fees ina maana anayepiga atasema mtandao wake haujaongeza charges? All in all gharama zimepanda kutoa kontena bandarini hizo sababu zako kaa nazo maana hazipunguzi kupanda kwake maana wanaokata hizo gharama ni TPA na si wayemeni.
 
Najuta kwanini nilipinga uwekezaji wa DP WORLD kwenye Bandari zetu, nadhani nilielewa vibaya kutokana na kupotoshwa

View attachment 2998153
Haya muhindi kaingia kapewa miaka 30 nataka nisikie maoni ya wananchi au kwa kuwa hawa sio waarabu basi haina shida???
 

Attachments

  • Screenshot_20240531-220231_Chrome.jpg
    Screenshot_20240531-220231_Chrome.jpg
    275.2 KB · Views: 1
Back
Top Bottom