FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Katazame bandarini.Tupe ukweli mkuu
Unadanganywa na mtu ambae hata bandari haijuwi? Kwanini uandikie mate na wino upo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katazame bandarini.Tupe ukweli mkuu
HayaNdio utaandika hilo bango lako la uongoo?
MwafaIli tuweze kuchangia hoja yako Kwa uelewa, ilifaa ungeambatisha na chanzo cha taarifa yako mtoa mada.
Japo Kwa hali ya maisha ilivyo, kuongeza Kodi bandarini kutafanya gharama za maisha kuwa juu zaidi
Jana bei tu ya 💲1 ilikuwa ni sawa na shilingi 2,605 ya Tanzania.
Hali ikiendelea hivi, maisha yatazidi kuwa ghali 🙌
Kasheshe 😅😅Wewe hata kuagiza box la toothpicks hujui unataka source.
ufupi ni kwamba Dunia Kwa Sasa inatawaliwa na wahalifu .Kazi ya vyombo vya ulinzi na usalama vya duniani kote kazi yake ni ipi hadi maharamia waathiri maisha ya dunia nzima?.
ccm
Wewe punguani ungekaa kimya.Nyinyi ndio wale mlikua hamuwezi kusoma bila kuletewa notes na kushikiwa fimbo na mwalimu
Mkuu hebu jiongeze kidogo
Serikali haikupandisha bei yoyote, kilichopanda ni "freight" ambayo ni usafirishaji kutoka nje, yaani gharama za kusafirisha zimepanda kutoka nje. Tanzania haihusiki wala DP World hawahusiki.Tupe ukweli mkuu
Is it true????????? Seriously???Najuta kwanini nilipinga uwekezaji wa DP WORLD kwenye Bandari zetu, nadhani nilielewa vibaya kutokana na kupotoshwa
View attachment 2998153
Kiongozi atakwambia kwetu ni nafuu maana USA fedha wanalipa container $5000Ili tuweze kuchangia hoja yako Kwa uelewa, ilifaa ungeambatisha na chanzo cha taarifa yako mtoa mada.
Japo Kwa hali ya maisha ilivyo, kuongeza Kodi bandarini kutafanya gharama za maisha kuwa juu zaidi
Jana bei tu ya 💲1 ilikuwa ni sawa na shilingi 2,605 ya Tanzania.
Hali ikiendelea hivi, maisha yatazidi kuwa ghali 🙌
It's not true, he's twisting words.Is it true????????? Seriously???
Wewe hata huelewi unachokiandika.Kiongozi atakwambia kwetu ni nafuu maana USA fedha wanalipa container $5000
Basi sawaWewe hata huelewi unachokiandika.
Hatari sana Mkuu 🙌Kiongozi atakwambia kwetu ni nafuu maana USA fedha wanalipa container $5000
Maisha yatazidi kuwa ghali kwetu sisi Kajamba nani🙌Mwafa
Ushamba mzigoNajuta kwanini nilipinga uwekezaji wa DP WORLD kwenye Bandari zetu, nadhani nilielewa vibaya kutokana na kupotoshwa
View attachment 2998153
Watu wa Lissu unawaamini?Mkuu toa source ya taarifa hii
Ok sawa angalau umetoa ufafanuzi unaoelewekaSerikali haikupandisha bei yoyote, kilichopanda ni "freight" ambayo ni usafirishaji kutoka nje, yaani gharama za kusafirisha zimepanda kutoka nje. Tanzania haihusiki wala DP World hawahusiki.
Wakulaumiwa na mazqyuni, kimbembe wanachokifanya Wayemeni kuzuia meli za mazayuni kupita kando ya bahari yao maana yake meli zinazopita ni kidogo sana na makampuni na bima yameziongezea bei, gharama siku zote zote zinarudi kwa mlaji.
Usije kuwataja panya chawa tuuu kwani ni kama woteee😁wezi na mapanya buku wanazidi kushika kasi kwenye gala la taifa