Faida za Uwekezaji wa DP WORLD Bandarini zaanza kuonekana, Hongera Rais Samia


Umeruka "JOKOM" umekanyaga "VIMA".

Mwanzo ulisema ni uongo halafu kwenye maelezo unasema imepanda kwa mlaji wa mwisho.

Kama mwanzo ilikuwa kutoa dola 2500 na sasa ni 9000 baada ya kuja DP WORLD ,kwanini tusisime imepanda regardless ya hao mazayuni wako.
 
Poyoyo, sasa niliyoyaeleza yanhusiana nini na DP World?

Hauelewi wa Yemeni wabafanya nini baharini huko?

Kama huelewi kwa kukujuza tu, Wayemen wameingia awamu ya nne ya mashambulizi kwa meli za kizayuni na washirika wake, na hiki ndicho wanachokifanya:

View: https://youtu.be/wiWurluiFn4?si=J39-qz4r98uta8ut
 

Sitaki kuyajua hayo kwani hizo gharama zinalipiwa huko yemeni au tanzania? Mfano gharama za kupiga international calls zikiongezeka due to connection fees ina maana anayepiga atasema mtandao wake haujaongeza charges? All in all gharama zimepanda kutoa kontena bandarini hizo sababu zako kaa nazo maana hazipunguzi kupanda kwake maana wanaokata hizo gharama ni TPA na si wayemeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…