Uchaguzi 2020 Faida zitatazotokana na upinzani kumweka Tundu Lissu au Bernard Membe kugombea Urais

Uchaguzi 2020 Faida zitatazotokana na upinzani kumweka Tundu Lissu au Bernard Membe kugombea Urais

We kweli Tindo. Manake bwana mtu aliye tila-lila akikabiliana na tindo itakuwa ni kwishney. Mie nipo kwetu Idukilo huku Shinyanga kaka! Nirushiane ka milini basi uone kama sijakurudishia!

Na kuheshimu boss, rudisha hela ya mzee wa watu usijepata laana.
 
Kuna wengine ni wana ccm mkisikia hoja hatari kwa ccm mnajifanya mnapinga. Lissu, Nyalandu, Membe wakiwa wamoja mtikisiko utakuwepo.
 
Je chama dola kinajua kuhusu nguvu ya umma?

Watz wanapaswa waelewe mabadiliko ndio maendeleo.

Inatakiwa Safu ya Viongozi wa kisiasa wabadilishwe waje wengine na mawazo mengine. Wapinzani wakichukua madaraka watakuja na Baraza lao la mawaziri na watasafisha wale viongozi ambao wamekuwa wakiteuliwa walewale Kila siku kwa kubadilishiwa vyeo...

Safisha safisha ya uongozi itagusa wakuu wa mikoa, wilaya na Viongozi ktk mashirika na taasisi za serikali... Hapa nchi itapata watu wapya na mawazo mapya ya maendeleo...

Naamin wapinzani wakichukua nchi Tume ya uchaguzi itakuwa huru, katiba mpya ya Warioba itapitishwa...

Mikataba mibovu itafumuliwa na kutafutiwa suluhisho la win win situation...

Ufisadi uliofanywa na makada wa CCM utawekwa adharani na wahusika kuchukuliwa hatua...
 
Watz wanapaswa waelewe mabadiliko ndio maendeleo.

Inatakiwa Safu ya Viongozi wa kisiasa wabadilishwe waje wengine na mawazo mengine. Wapinzani wakichukua madaraka watakuja na Baraza lao la mawaziri na watasafisha wale viongozi ambao wamekuwa wakiteuliwa walewale Kila siku kwa kubadilishiwa vyeo...

Safisha safisha ya uongozi itagusa wakuu wa mikoa, wilaya na Viongozi ktk mashirika na taasisi za serikali... Hapa nchi itapata watu wapya na mawazo mapya ya maendeleo...

Naamin wapinzani wakichukua nchi Tume ya uchaguzi itakuwa huru, katiba mpya ya Warioba itapitishwa...

Mikataba mibovu itafumuliwa na kutafutiwa suluhisho la win win situation...

Ufisadi uliofanywa na makada wa CCM utawekwa adharani na wahusika kuchukuliwa hatua...
Umesema kweli kabisa!
 
Hata kama hakutatokea Vyama vya Upinzani vikashinda lakini kutakuwa na faida kubwa sana kati ya hawa wawili wakipewa kipaumbele cha kugombea Urais hapa nchini. Kwangu mimi wote wakigombea ni sawa au hata mmoja kati ya hao ni sawa. Ukiacha hao hata Zitto Kabwe pia inagwa sijamtaja ila ana uwezo mkubwa sana wa kuleta uimara kwa kambi ya upinzani iwapo hao wawili wanakuwa hawajapewa nafasi.

Tundu Lissu
Huyu anaogopwa sana na CCM na inavyoonesha CCM wanatarajia kutumia dola kumdhibiti na wala hawajiandai kupingana naye kwa maneno au sera. Kwa jinsi Tundu Lissu alivyo na ushawishi na avyojua kuchambua yale ambayao hata CCM wanafikiria ni wameyafanya vizuri Tundu Lissu anaweza akayabadilisha yakaonekana ni mabaya. Mfano mdogo Tundu Lissu aliwahi kuongea kuwa ile taarifa ya makinikia ilikuwa ni taka taka. CCM wana evidence kuwa lile sakata la makinikia limewaletea ushindi upande wao. Tundu Lissu hapa anaweza kuweka msisitizo kuwa ile taarifa kweli ilikuwa ni takataka kwa sababu kiasi kile cha fedha ambazo baada ya makinikia yale kupimwa ilionekana zilikuwa ni trilioni nyingi sana za KiTanzania. Ikasemekeana hata kila MTanzania angenufaika kwa gari aina ya Noar iwapo zingegawanywa kwa WaTanzania wote. Sasa Tundu Lissu alivyo mjuvi wa kuchambua ataweza kuitofautisha vizuri ile taarifa ya makinikia na kilichofanyika. Wakati akifanya hivyo hataacha kuchombeza yae maneno yake ya kejeli ambayo WaTanzania wengi tunayapenda na kuyashangilia. Kwa hili pengine CCM walipaswa warekesbishe kwanza ile taarifa yao ya Makinikia na waseme makosa yalifanyika na figure halisi ni ya sasa ambayo wanategemea kulipwa bilion zaidi ya 700 na tayari bilioni kadhaa zimeshalipwa. Kwa kweli iwapo atakuja Tundu Lissu hoja hii CCM watapigwa nayo kwani wananchi hawajapata majibu ni kwa nini hawajapata noah zao.

Kuna hoja zingine nyingi ambazo zitanogesha kampeni kwa upande wa Tundu Lissu ikiwepo ubinywaji wa demokrasia, ukatili na atatoa pia ushuhuda kidogo wa shambulio lake ambalo pia litavuta huruma kubwa sana kwa wananchi, bahati mbaya Mwenyekiti wa CCM wala Chama chake hawajawahi kutoa hata kemeo tu kwa kitendo alichofanyiwa Tundu Lissu na wanategemea ubabe wa Polisi labda kumzuia asiongelee jambo ambalo bado wanapeleleza.

Kosa kubwa litakalofanywa na CCM ni maneno ambayo yanawatoka ya kutaka Tundu Lissu akifika akamatwe. Hii ni mbaya sana kwani itauza kwa nguvu hoja za Kampeni kwa upande wa upinzani na inaweza hata ikasababisha kupinduliwa kwa meza au kuleta vurugu. Uchaguzi wa URais na ubunge sio sawa na Serikali za Mitaa ambao wahusika walikuwa ni wananchi wa mtaa huo huo na walikuwa wakifahamiana. Hapa kumbuka hata kampeni za udiwani tu, kabla ya ubunge na URais, zitahusisha vijiji na vijiji au mtaa na mtaa na hapo kutokuoneana hiyana au aibu hakupo kwa sababu watu hawajuani kama ilivyokuwa Serikali za Mitaa. PATACHIMBIKA KWELI KWELI.

Faida za kumsimamisha Tundu itakuwa:
- Watu watakuwa na hisia kali kwa kuamni Mwenyezi Mungu kamponya Tundu Lissu ili aje kuwa Rais na atapata kura kwa kigezo hicho;
- Tundu Lissu atakuwa chanzo cha harakati za wananchi wa WaTanzania kutambua haki zao za Kikatiba na Kijamii na kijamii na hivyo atapandisha sana upinzani na mwisho wa siku haki ya kutofautiana kimawazo itaonekana ni kitu cha kawaida tu nchini mwetu.
- Tundu Lissu ataongeza idadi ya wabunge wa upinzani bungeni na hata kulifanya bunge lijalo kuwa zuri zaidi.
- Tundu Lissu atavutia sana kwenye siasa za kimataifa na kwa kuanzia tu kuerejea kwake nchini itakuwa ni stori kubwa sana.

Bernard Membe
Kwa kweli huyu katika kuelezea mambo anamzidi sana Rais wa sasa. Yupo calm na hana pra -pra -pra . CCM wengi zaidi (wanachama na washabiki) ya asilimia 27 (kwa mujibu wa utafiti wangu mwenyewe nikiwa kama MCCM pia) wanamkubali. Huyu pamoja na kuonekana anapingana na utawala wa sasa lakini utawala umeonesha hali ya kumjenga awe hivyo. Kilichopaswa na utawala ni kummeza ndani kwa nadni - kwa mafano kutangaza hadharani kumpa Ubalozi au nafasi ingine yeyote. Angekataa yeye hapo ingeonakena ana matatizo lakini utawla wenyewe umekuwa ukimkataa bila sababu yeyote na kumfanya yeye sasa awe anajibu mapigo. Majibu yake kweli yana maumivu sana kwa utawala.

Kampeni za Membe kuwania URais zitakuwa tamu sana kwa sababu anawafahamu vema wanaCCM na mpaka hapo alipo kila siku anapata taarifa za ndani kutoka upande huo. Wala sio habari za kuhisi ni kweli Membe ana watu wa system, ambao wenyewe wapo kwa maslahi ya Taifa na sio maslahi ya CCM. Watu wengi hawaelewi maana ya Uslama wa Taifa but wahusika wenyewe wanaelewa. Huko pia watu wamegawanyika na wapo wa kutosha tu wanaomuunga mkono Membe. kwa ujumla Membe anakubalika kwa asilimia 27 na WanaCCM na hivyo kazi yake ambayo sio kubwa sana kushawishi kama asilimia 23 ya wapiga kura wote. Faida kwa Membe kugombea:
- Ataonesha vijana kuacha woga wa kukosa ujasiri wa kutumia haki ya kuwania nafasi.
- Ataonesha CCM ni munguMtu tu na wala sio Mungu kwa maana hiyo mtu yeyote hata Magu mwenyewe anaweza kahama na akagombea kupitia upiznani.
- Ataonesha kuwa kumbe Rais anakosolewa tu.
- Ataonesha ugumu wa maisha ya wananchi wa kawaida ikiwepo vitendo vya kuitangaza Nchi kuwa inakuwa kiuchumi wakati ukweli ni hamna kabisa - atagusia pia mambo ya Benki ya Dunia yaliyoibadili TZ kuwa kwenye nchi ya kipato cha chini cha kati yana maana gani kwetu wananchi wa kawaida.
-Atauchana chana uongozi wa CCM na kuwafanya wale wanachama wa kawaida kuchukua maamuzi ya kukihama, n.k
- Membe pia ana uwezo mkubwa wa kuongeza idadi ya wabunge wa upinzani bugeni kwani ni lazima wapo wagombea ambao wamejiandaa wakikatwa CCM wahamie upinzani.
- Membe kama Tundu Lissu watavutia sana kwenye medani ya siasa za Kimataifa.
Mh Lisu ndo habari ya mjini
 
Watz wanapaswa waelewe mabadiliko ndio maendeleo.

Inatakiwa Safu ya Viongozi wa kisiasa wabadilishwe waje wengine na mawazo mengine. Wapinzani wakichukua madaraka watakuja na Baraza lao la mawaziri na watasafisha wale viongozi ambao wamekuwa wakiteuliwa walewale Kila siku kwa kubadilishiwa vyeo...

Safisha safisha ya uongozi itagusa wakuu wa mikoa, wilaya na Viongozi ktk mashirika na taasisi za serikali... Hapa nchi itapata watu wapya na mawazo mapya ya maendeleo...

Naamin wapinzani wakichukua nchi Tume ya uchaguzi itakuwa huru, katiba mpya ya Warioba itapitishwa...

Mikataba mibovu itafumuliwa na kutafutiwa suluhisho la win win situation...

Ufisadi uliofanywa na makada wa CCM utawekwa adharani na wahusika kuchukuliwa hatua...
Wanao faidi keki ya Taifa mzunguko wake ni uleule 'mnyororo unao zunguka'
 
Sure
Kwenye uzi wako namba moja, nakuunga mkono sana kuhusu uliyosema kwa Lissu, na umepatia kwa kiwango kikubwa mno. Lakini jana nilikuambia kama umechukua hela ya Membe, mrudishie haraka sana msije mkagombana. Membe hafai kwa namna yoyote kuwa mgombea wa upinzani wa kweli, na hilo halihitaji mjadala. Alichokifanya Lowassa kinatutosha. Kama Membe anataka kugombea mshauri akagombee kupitia TADEA, lakini sio kinyume chake.
Sure, halafu MATAGA ndio wanaandika na kutoa huu ushauri.Nadhani kuna watu "mbongo" zao zilikosa virutubisho vya maziwa ya mama.

CDM bora isimamishe mgombea hata asie popular,kuliko kuchukua kichomi kama Membe....hawa walipokuwa CCM hawakuwahi kupigania ustawi wa demokrasia,leo huo ufinyu wa demokrasia unawatafuna wanataka kuja kutaka kupenyea huku.😃
 
CHADEMA wame-implode, kama ambavyo NCCR baada ya 1995 na CUF baada ya 2010 walivyopitia.
 
6 July 2020
Lindi, Tanzania

MEMBE baada ya kurudisha kadi ya CCM/tutajiunga na chama tutagombea uongozi wa juu tutashinda
Bernard Carmillus Membe akiwa kijijini kwake Rondo mkoani Lindi kusini mwa Tanzania aongea mazito baada ya kuiacha CCM kwa kurudisha kadi ya uanachama.


Alihudumu chini ya Rais Jakaya Kikwete kama Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania kwa miaka 10. Pia alipata kuwa mbunge wa CCM jimbo la Mtama mkoani Lindi. Alihudumu kama afisa mwambata wa ubalozi wa Tanzania kwa miaka 10 huko Canada ktk bara la Marekani ya Kaskazini. Pia alipata kuwa Afisa Mchambuzi wa ripoti ktk Kurugenzi ya Usalama na Intelejensia wa Taifa TISS katika Ofisi ya Rais.

Hali ya kisiasa mikoa ya Lindi na Mtwara na kwingineko Tanzania kwa ujumla inaonesha waTanzania wapo tayari kwenda na Bernard Membe ili kuweza kuweka sawa masuala ya kama kilimo, uvuvi, mifugo, gesi na Maendeleo ya Watu.
Source : Gilly Bonny Online TV
 
Hata kama hakutatokea Vyama vya Upinzani vikashinda lakini kutakuwa na faida kubwa sana kati ya hawa wawili wakipewa kipaumbele cha kugombea Urais hapa nchini. Kwangu mimi wote wakigombea ni sawa au hata mmoja kati ya hao ni sawa. Ukiacha hao hata Zitto Kabwe pia inagwa sijamtaja ila ana uwezo mkubwa sana wa kuleta uimara kwa kambi ya upinzani iwapo hao wawili wanakuwa hawajapewa nafasi.

Tundu Lissu
Huyu anaogopwa sana na CCM na inavyoonesha CCM wanatarajia kutumia dola kumdhibiti na wala hawajiandai kupingana naye kwa maneno au sera. Kwa jinsi Tundu Lissu alivyo na ushawishi na avyojua kuchambua yale ambayao hata CCM wanafikiria ni wameyafanya vizuri Tundu Lissu anaweza akayabadilisha yakaonekana ni mabaya. Mfano mdogo Tundu Lissu aliwahi kuongea kuwa ile taarifa ya makinikia ilikuwa ni taka taka. CCM wana evidence kuwa lile sakata la makinikia limewaletea ushindi upande wao. Tundu Lissu hapa anaweza kuweka msisitizo kuwa ile taarifa kweli ilikuwa ni takataka kwa sababu kiasi kile cha fedha ambazo baada ya makinikia yale kupimwa ilionekana zilikuwa ni trilioni nyingi sana za KiTanzania. Ikasemekeana hata kila MTanzania angenufaika kwa gari aina ya Noar iwapo zingegawanywa kwa WaTanzania wote. Sasa Tundu Lissu alivyo mjuvi wa kuchambua ataweza kuitofautisha vizuri ile taarifa ya makinikia na kilichofanyika. Wakati akifanya hivyo hataacha kuchombeza yae maneno yake ya kejeli ambayo WaTanzania wengi tunayapenda na kuyashangilia. Kwa hili pengine CCM walipaswa warekesbishe kwanza ile taarifa yao ya Makinikia na waseme makosa yalifanyika na figure halisi ni ya sasa ambayo wanategemea kulipwa bilion zaidi ya 700 na tayari bilioni kadhaa zimeshalipwa. Kwa kweli iwapo atakuja Tundu Lissu hoja hii CCM watapigwa nayo kwani wananchi hawajapata majibu ni kwa nini hawajapata noah zao.

Kuna hoja zingine nyingi ambazo zitanogesha kampeni kwa upande wa Tundu Lissu ikiwepo ubinywaji wa demokrasia, ukatili na atatoa pia ushuhuda kidogo wa shambulio lake ambalo pia litavuta huruma kubwa sana kwa wananchi, bahati mbaya Mwenyekiti wa CCM wala Chama chake hawajawahi kutoa hata kemeo tu kwa kitendo alichofanyiwa Tundu Lissu na wanategemea ubabe wa Polisi labda kumzuia asiongelee jambo ambalo bado wanapeleleza.

Kosa kubwa litakalofanywa na CCM ni maneno ambayo yanawatoka ya kutaka Tundu Lissu akifika akamatwe. Hii ni mbaya sana kwani itauza kwa nguvu hoja za Kampeni kwa upande wa upinzani na inaweza hata ikasababisha kupinduliwa kwa meza au kuleta vurugu. Uchaguzi wa URais na ubunge sio sawa na Serikali za Mitaa ambao wahusika walikuwa ni wananchi wa mtaa huo huo na walikuwa wakifahamiana. Hapa kumbuka hata kampeni za udiwani tu, kabla ya ubunge na URais, zitahusisha vijiji na vijiji au mtaa na mtaa na hapo kutokuoneana hiyana au aibu hakupo kwa sababu watu hawajuani kama ilivyokuwa Serikali za Mitaa. PATACHIMBIKA KWELI KWELI.

Faida za kumsimamisha Tundu itakuwa:
- Watu watakuwa na hisia kali kwa kuamni Mwenyezi Mungu kamponya Tundu Lissu ili aje kuwa Rais na atapata kura kwa kigezo hicho;
- Tundu Lissu atakuwa chanzo cha harakati za wananchi wa WaTanzania kutambua haki zao za Kikatiba na Kijamii na kijamii na hivyo atapandisha sana upinzani na mwisho wa siku haki ya kutofautiana kimawazo itaonekana ni kitu cha kawaida tu nchini mwetu.
- Tundu Lissu ataongeza idadi ya wabunge wa upinzani bungeni na hata kulifanya bunge lijalo kuwa zuri zaidi.
- Tundu Lissu atavutia sana kwenye siasa za kimataifa na kwa kuanzia tu kuerejea kwake nchini itakuwa ni stori kubwa sana.

Bernard Membe
Kwa kweli huyu katika kuelezea mambo anamzidi sana Rais wa sasa. Yupo calm na hana pra -pra -pra . CCM wengi zaidi (wanachama na washabiki) ya asilimia 27 (kwa mujibu wa utafiti wangu mwenyewe nikiwa kama MCCM pia) wanamkubali. Huyu pamoja na kuonekana anapingana na utawala wa sasa lakini utawala umeonesha hali ya kumjenga awe hivyo. Kilichopaswa na utawala ni kummeza ndani kwa nadni - kwa mafano kutangaza hadharani kumpa Ubalozi au nafasi ingine yeyote. Angekataa yeye hapo ingeonakena ana matatizo lakini utawla wenyewe umekuwa ukimkataa bila sababu yeyote na kumfanya yeye sasa awe anajibu mapigo. Majibu yake kweli yana maumivu sana kwa utawala.

Kampeni za Membe kuwania URais zitakuwa tamu sana kwa sababu anawafahamu vema wanaCCM na mpaka hapo alipo kila siku anapata taarifa za ndani kutoka upande huo. Wala sio habari za kuhisi ni kweli Membe ana watu wa system, ambao wenyewe wapo kwa maslahi ya Taifa na sio maslahi ya CCM. Watu wengi hawaelewi maana ya Uslama wa Taifa but wahusika wenyewe wanaelewa. Huko pia watu wamegawanyika na wapo wa kutosha tu wanaomuunga mkono Membe. kwa ujumla Membe anakubalika kwa asilimia 27 na WanaCCM na hivyo kazi yake ambayo sio kubwa sana kushawishi kama asilimia 23 ya wapiga kura wote. Faida kwa Membe kugombea:
- Ataonesha vijana kuacha woga wa kukosa ujasiri wa kutumia haki ya kuwania nafasi.
- Ataonesha CCM ni munguMtu tu na wala sio Mungu kwa maana hiyo mtu yeyote hata Magu mwenyewe anaweza kahama na akagombea kupitia upiznani.
- Ataonesha kuwa kumbe Rais anakosolewa tu.
- Ataonesha ugumu wa maisha ya wananchi wa kawaida ikiwepo vitendo vya kuitangaza Nchi kuwa inakuwa kiuchumi wakati ukweli ni hamna kabisa - atagusia pia mambo ya Benki ya Dunia yaliyoibadili TZ kuwa kwenye nchi ya kipato cha chini cha kati yana maana gani kwetu wananchi wa kawaida.
-Atauchana chana uongozi wa CCM na kuwafanya wale wanachama wa kawaida kuchukua maamuzi ya kukihama, n.k
- Membe pia ana uwezo mkubwa wa kuongeza idadi ya wabunge wa upinzani bugeni kwani ni lazima wapo wagombea ambao wamejiandaa wakikatwa CCM wahamie upinzani.
- Membe kama Tundu Lissu watavutia sana kwenye medani ya siasa za Kimataifa.
kwa katiba hii ya sasa, upinzani msijisumbue.
Mngekaa kando tu kama mlivyofanya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
Hamtashinda chochote labda Zanzibar tu
 
kwa katiba hii ya sasa, upinzani msijisumbue.
Mngekaa kando tu kama mlivyofanya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
Hamtashinda chochote labda Zanzibar tu
Hapana waache wafurukute, ccm hawatakiwi kuokota ushindi sebuleni hawana budi waupiganie.
Joto lipashwe jingi tu angalau watu wapate adabu.
 
Kwenye uzi wako namba moja, nakuunga mkono sana kuhusu uliyosema kwa Lissu, na umepatia kwa kiwango kikubwa mno. Lakini jana nilikuambia kama umechukua hela ya Membe, mrudishie haraka sana msije mkagombana. Membe hafai kwa namna yoyote kuwa mgombea wa upinzani wa kweli, na hilo halihitaji mjadala. Alichokifanya Lowassa kinatutosha. Kama Membe anataka kugombea mshauri akagombee kupitia TADEA, lakini sio kinyume chake.

Yaani katika pita pita zangu huku forum kwa leo hii ndo pointi ya msingi sana kwa wapinzani, sielewi na hainingii akilini unamruhusu membe kugombea na sio mpinzani, yaani kama upinzani ndo utendelea ivi ivi mnachukua watu wa ccm alafu wanagombea kutakua hamna maaana halisi ya upinzani
 
Hata kama hakutatokea Vyama vya Upinzani vikashinda lakini kutakuwa na faida kubwa sana kati ya hawa wawili wakipewa kipaumbele cha kugombea Urais hapa nchini. Kwangu mimi wote wakigombea ni sawa au hata mmoja kati ya hao ni sawa. Ukiacha hao hata Zitto Kabwe pia inagwa sijamtaja ila ana uwezo mkubwa sana wa kuleta uimara kwa kambi ya upinzani iwapo hao wawili wanakuwa hawajapewa nafasi.

Tundu Lissu
Huyu anaogopwa sana na CCM na inavyoonesha CCM wanatarajia kutumia dola kumdhibiti na wala hawajiandai kupingana naye kwa maneno au sera. Kwa jinsi Tundu Lissu alivyo na ushawishi na avyojua kuchambua yale ambayao hata CCM wanafikiria ni wameyafanya vizuri Tundu Lissu anaweza akayabadilisha yakaonekana ni mabaya. Mfano mdogo Tundu Lissu aliwahi kuongea kuwa ile taarifa ya makinikia ilikuwa ni taka taka. CCM wana evidence kuwa lile sakata la makinikia limewaletea ushindi upande wao. Tundu Lissu hapa anaweza kuweka msisitizo kuwa ile taarifa kweli ilikuwa ni takataka kwa sababu kiasi kile cha fedha ambazo baada ya makinikia yale kupimwa ilionekana zilikuwa ni trilioni nyingi sana za KiTanzania. Ikasemekeana hata kila MTanzania angenufaika kwa gari aina ya Noar iwapo zingegawanywa kwa WaTanzania wote. Sasa Tundu Lissu alivyo mjuvi wa kuchambua ataweza kuitofautisha vizuri ile taarifa ya makinikia na kilichofanyika. Wakati akifanya hivyo hataacha kuchombeza yae maneno yake ya kejeli ambayo WaTanzania wengi tunayapenda na kuyashangilia. Kwa hili pengine CCM walipaswa warekesbishe kwanza ile taarifa yao ya Makinikia na waseme makosa yalifanyika na figure halisi ni ya sasa ambayo wanategemea kulipwa bilion zaidi ya 700 na tayari bilioni kadhaa zimeshalipwa. Kwa kweli iwapo atakuja Tundu Lissu hoja hii CCM watapigwa nayo kwani wananchi hawajapata majibu ni kwa nini hawajapata noah zao.

Kuna hoja zingine nyingi ambazo zitanogesha kampeni kwa upande wa Tundu Lissu ikiwepo ubinywaji wa demokrasia, ukatili na atatoa pia ushuhuda kidogo wa shambulio lake ambalo pia litavuta huruma kubwa sana kwa wananchi, bahati mbaya Mwenyekiti wa CCM wala Chama chake hawajawahi kutoa hata kemeo tu kwa kitendo alichofanyiwa Tundu Lissu na wanategemea ubabe wa Polisi labda kumzuia asiongelee jambo ambalo bado wanapeleleza.

Kosa kubwa litakalofanywa na CCM ni maneno ambayo yanawatoka ya kutaka Tundu Lissu akifika akamatwe. Hii ni mbaya sana kwani itauza kwa nguvu hoja za Kampeni kwa upande wa upinzani na inaweza hata ikasababisha kupinduliwa kwa meza au kuleta vurugu. Uchaguzi wa URais na ubunge sio sawa na Serikali za Mitaa ambao wahusika walikuwa ni wananchi wa mtaa huo huo na walikuwa wakifahamiana. Hapa kumbuka hata kampeni za udiwani tu, kabla ya ubunge na URais, zitahusisha vijiji na vijiji au mtaa na mtaa na hapo kutokuoneana hiyana au aibu hakupo kwa sababu watu hawajuani kama ilivyokuwa Serikali za Mitaa. PATACHIMBIKA KWELI KWELI.

Faida za kumsimamisha Tundu itakuwa:
- Watu watakuwa na hisia kali kwa kuamni Mwenyezi Mungu kamponya Tundu Lissu ili aje kuwa Rais na atapata kura kwa kigezo hicho;
- Tundu Lissu atakuwa chanzo cha harakati za wananchi wa WaTanzania kutambua haki zao za Kikatiba na Kijamii na kijamii na hivyo atapandisha sana upinzani na mwisho wa siku haki ya kutofautiana kimawazo itaonekana ni kitu cha kawaida tu nchini mwetu.
- Tundu Lissu ataongeza idadi ya wabunge wa upinzani bungeni na hata kulifanya bunge lijalo kuwa zuri zaidi.
- Tundu Lissu atavutia sana kwenye siasa za kimataifa na kwa kuanzia tu kuerejea kwake nchini itakuwa ni stori kubwa sana.

Bernard Membe
Kwa kweli huyu katika kuelezea mambo anamzidi sana Rais wa sasa. Yupo calm na hana pra -pra -pra . CCM wengi zaidi (wanachama na washabiki) ya asilimia 27 (kwa mujibu wa utafiti wangu mwenyewe nikiwa kama MCCM pia) wanamkubali. Huyu pamoja na kuonekana anapingana na utawala wa sasa lakini utawala umeonesha hali ya kumjenga awe hivyo. Kilichopaswa na utawala ni kummeza ndani kwa nadni - kwa mafano kutangaza hadharani kumpa Ubalozi au nafasi ingine yeyote. Angekataa yeye hapo ingeonakena ana matatizo lakini utawla wenyewe umekuwa ukimkataa bila sababu yeyote na kumfanya yeye sasa awe anajibu mapigo. Majibu yake kweli yana maumivu sana kwa utawala.

Kampeni za Membe kuwania URais zitakuwa tamu sana kwa sababu anawafahamu vema wanaCCM na mpaka hapo alipo kila siku anapata taarifa za ndani kutoka upande huo. Wala sio habari za kuhisi ni kweli Membe ana watu wa system, ambao wenyewe wapo kwa maslahi ya Taifa na sio maslahi ya CCM. Watu wengi hawaelewi maana ya Uslama wa Taifa but wahusika wenyewe wanaelewa. Huko pia watu wamegawanyika na wapo wa kutosha tu wanaomuunga mkono Membe. kwa ujumla Membe anakubalika kwa asilimia 27 na WanaCCM na hivyo kazi yake ambayo sio kubwa sana kushawishi kama asilimia 23 ya wapiga kura wote. Faida kwa Membe kugombea:
- Ataonesha vijana kuacha woga wa kukosa ujasiri wa kutumia haki ya kuwania nafasi.
- Ataonesha CCM ni munguMtu tu na wala sio Mungu kwa maana hiyo mtu yeyote hata Magu mwenyewe anaweza kahama na akagombea kupitia upiznani.
- Ataonesha kuwa kumbe Rais anakosolewa tu.
- Ataonesha ugumu wa maisha ya wananchi wa kawaida ikiwepo vitendo vya kuitangaza Nchi kuwa inakuwa kiuchumi wakati ukweli ni hamna kabisa - atagusia pia mambo ya Benki ya Dunia yaliyoibadili TZ kuwa kwenye nchi ya kipato cha chini cha kati yana maana gani kwetu wananchi wa kawaida.
-Atauchana chana uongozi wa CCM na kuwafanya wale wanachama wa kawaida kuchukua maamuzi ya kukihama, n.k
- Membe pia ana uwezo mkubwa wa kuongeza idadi ya wabunge wa upinzani bugeni kwani ni lazima wapo wagombea ambao wamejiandaa wakikatwa CCM wahamie upinzani.
- Membe kama Tundu Lissu watavutia sana kwenye medani ya siasa za Kimataifa.
Nadhani chadema kama chama cha siasa walisha jipanga vizuri huwa wanatumia utafiti kufikia maamuzi mengi. 'They have gone through the ups and downs Tundu Lissu is the best optin'
 
Hata kama hakutatokea Vyama vya Upinzani vikashinda lakini kutakuwa na faida kubwa sana kati ya hawa wawili wakipewa kipaumbele cha kugombea Urais hapa nchini. Kwangu mimi wote wakigombea ni sawa au hata mmoja kati ya hao ni sawa. Ukiacha hao hata Zitto Kabwe pia inagwa sijamtaja ila ana uwezo mkubwa sana wa kuleta uimara kwa kambi ya upinzani iwapo hao wawili wanakuwa hawajapewa nafasi.

Tundu Lissu
Huyu anaogopwa sana na CCM na inavyoonesha CCM wanatarajia kutumia dola kumdhibiti na wala hawajiandai kupingana naye kwa maneno au sera. Kwa jinsi Tundu Lissu alivyo na ushawishi na avyojua kuchambua yale ambayao hata CCM wanafikiria ni wameyafanya vizuri Tundu Lissu anaweza akayabadilisha yakaonekana ni mabaya. Mfano mdogo Tundu Lissu aliwahi kuongea kuwa ile taarifa ya makinikia ilikuwa ni taka taka. CCM wana evidence kuwa lile sakata la makinikia limewaletea ushindi upande wao. Tundu Lissu hapa anaweza kuweka msisitizo kuwa ile taarifa kweli ilikuwa ni takataka kwa sababu kiasi kile cha fedha ambazo baada ya makinikia yale kupimwa ilionekana zilikuwa ni trilioni nyingi sana za KiTanzania. Ikasemekeana hata kila MTanzania angenufaika kwa gari aina ya Noar iwapo zingegawanywa kwa WaTanzania wote. Sasa Tundu Lissu alivyo mjuvi wa kuchambua ataweza kuitofautisha vizuri ile taarifa ya makinikia na kilichofanyika. Wakati akifanya hivyo hataacha kuchombeza yae maneno yake ya kejeli ambayo WaTanzania wengi tunayapenda na kuyashangilia. Kwa hili pengine CCM walipaswa warekesbishe kwanza ile taarifa yao ya Makinikia na waseme makosa yalifanyika na figure halisi ni ya sasa ambayo wanategemea kulipwa bilion zaidi ya 700 na tayari bilioni kadhaa zimeshalipwa. Kwa kweli iwapo atakuja Tundu Lissu hoja hii CCM watapigwa nayo kwani wananchi hawajapata majibu ni kwa nini hawajapata noah zao.

Kuna hoja zingine nyingi ambazo zitanogesha kampeni kwa upande wa Tundu Lissu ikiwepo ubinywaji wa demokrasia, ukatili na atatoa pia ushuhuda kidogo wa shambulio lake ambalo pia litavuta huruma kubwa sana kwa wananchi, bahati mbaya Mwenyekiti wa CCM wala Chama chake hawajawahi kutoa hata kemeo tu kwa kitendo alichofanyiwa Tundu Lissu na wanategemea ubabe wa Polisi labda kumzuia asiongelee jambo ambalo bado wanapeleleza.

Kosa kubwa litakalofanywa na CCM ni maneno ambayo yanawatoka ya kutaka Tundu Lissu akifika akamatwe. Hii ni mbaya sana kwani itauza kwa nguvu hoja za Kampeni kwa upande wa upinzani na inaweza hata ikasababisha kupinduliwa kwa meza au kuleta vurugu. Uchaguzi wa URais na ubunge sio sawa na Serikali za Mitaa ambao wahusika walikuwa ni wananchi wa mtaa huo huo na walikuwa wakifahamiana. Hapa kumbuka hata kampeni za udiwani tu, kabla ya ubunge na URais, zitahusisha vijiji na vijiji au mtaa na mtaa na hapo kutokuoneana hiyana au aibu hakupo kwa sababu watu hawajuani kama ilivyokuwa Serikali za Mitaa. PATACHIMBIKA KWELI KWELI.

Faida za kumsimamisha Tundu itakuwa:
- Watu watakuwa na hisia kali kwa kuamni Mwenyezi Mungu kamponya Tundu Lissu ili aje kuwa Rais na atapata kura kwa kigezo hicho;
- Tundu Lissu atakuwa chanzo cha harakati za wananchi wa WaTanzania kutambua haki zao za Kikatiba na Kijamii na kijamii na hivyo atapandisha sana upinzani na mwisho wa siku haki ya kutofautiana kimawazo itaonekana ni kitu cha kawaida tu nchini mwetu.
- Tundu Lissu ataongeza idadi ya wabunge wa upinzani bungeni na hata kulifanya bunge lijalo kuwa zuri zaidi.
- Tundu Lissu atavutia sana kwenye siasa za kimataifa na kwa kuanzia tu kuerejea kwake nchini itakuwa ni stori kubwa sana.

Bernard Membe
Kwa kweli huyu katika kuelezea mambo anamzidi sana Rais wa sasa. Yupo calm na hana pra -pra -pra . CCM wengi zaidi (wanachama na washabiki) ya asilimia 27 (kwa mujibu wa utafiti wangu mwenyewe nikiwa kama MCCM pia) wanamkubali. Huyu pamoja na kuonekana anapingana na utawala wa sasa lakini utawala umeonesha hali ya kumjenga awe hivyo. Kilichopaswa na utawala ni kummeza ndani kwa nadni - kwa mafano kutangaza hadharani kumpa Ubalozi au nafasi ingine yeyote. Angekataa yeye hapo ingeonakena ana matatizo lakini utawla wenyewe umekuwa ukimkataa bila sababu yeyote na kumfanya yeye sasa awe anajibu mapigo. Majibu yake kweli yana maumivu sana kwa utawala.

Kampeni za Membe kuwania URais zitakuwa tamu sana kwa sababu anawafahamu vema wanaCCM na mpaka hapo alipo kila siku anapata taarifa za ndani kutoka upande huo. Wala sio habari za kuhisi ni kweli Membe ana watu wa system, ambao wenyewe wapo kwa maslahi ya Taifa na sio maslahi ya CCM. Watu wengi hawaelewi maana ya Uslama wa Taifa but wahusika wenyewe wanaelewa. Huko pia watu wamegawanyika na wapo wa kutosha tu wanaomuunga mkono Membe. kwa ujumla Membe anakubalika kwa asilimia 27 na WanaCCM na hivyo kazi yake ambayo sio kubwa sana kushawishi kama asilimia 23 ya wapiga kura wote. Faida kwa Membe kugombea:
- Ataonesha vijana kuacha woga wa kukosa ujasiri wa kutumia haki ya kuwania nafasi.
- Ataonesha CCM ni munguMtu tu na wala sio Mungu kwa maana hiyo mtu yeyote hata Magu mwenyewe anaweza kahama na akagombea kupitia upiznani.
- Ataonesha kuwa kumbe Rais anakosolewa tu.
- Ataonesha ugumu wa maisha ya wananchi wa kawaida ikiwepo vitendo vya kuitangaza Nchi kuwa inakuwa kiuchumi wakati ukweli ni hamna kabisa - atagusia pia mambo ya Benki ya Dunia yaliyoibadili TZ kuwa kwenye nchi ya kipato cha chini cha kati yana maana gani kwetu wananchi wa kawaida.
-Atauchana chana uongozi wa CCM na kuwafanya wale wanachama wa kawaida kuchukua maamuzi ya kukihama, n.k
- Membe pia ana uwezo mkubwa wa kuongeza idadi ya wabunge wa upinzani bugeni kwani ni lazima wapo wagombea ambao wamejiandaa wakikatwa CCM wahamie upinzani.
- Membe kama Tundu Lissu watavutia sana kwenye medani ya siasa za Kimataifa.
Amini nakwambia, upinzaniukimsimamisha TUNDU ANTIPASS LISSU, CCM wanakimbia ikulu. Amini maneno yangu. Hoja na hulka ya Lissu CCM hawawezi kukabilana nazo, narudia HAWAWEZI
 
Amini nakwambia, upinzaniukimsimamisha TUNDU ANTIPASS LISSU, CCM wanakimbia ikulu. Amini maneno yangu. Hoja na hulka ya Lissu CCM hawawezi kukabilana nazo, narudia HAWAWEZI

Tundu lissu anaweza kua hazina lakini baada ya magufuli, unajua waatu hawana imani na ccm ila watu wanampenda magufuli ina maaana baada ya magufuli kumaliza mda wake, itakua ni ngumu sana ccm kupata mwenye hio spidi ya magu! ina maaana upinzani mkicheza karata zenu vizuri kujiimarisha hiki kipindi magu anamalizia mda wake 2025 mkimnyanyua lissu mmemaliza mchezo ila kama mnawaza kuchukua nchi hii oktoba hio sahau na wala usipoteza mda wako! watu wako kwenye mpango wa kumlazimisha aongeze mda hata awamu ya pili haijaanza
 
Back
Top Bottom