Kwa trend inavyo kwenda, naona vile vyama mapandikizi vimesha anza kuonyesha muelekeo wao. TLP, na UDP wamesha vaa miwani mweusi na kutoka hadharani kwamba chaguo lao ni Ccm. Wamesha vutiwa zao, NCCR wao ni muda tuu una subiriwa na wao waonyeshe unafiki wao wa kiwango cha changarawe, kama tunavyo subiria CUF na wengine.
Baada ya hayo kutimia watabaki CHADEMA na ACT WAZALENDO, wakipeleka majina ya wagombea wa urais, Ccm ita wawekea pingamizi, na Tume ya Magufuli itawapiga panga abaki Yesu wa Ccm peke yake. Huo ndio mchezo unao andaliwa sasa hivi.
Upinzani kaeni macho sana. Tume haiko upandw wenu..