Uchaguzi 2020 Faida zitatazotokana na upinzani kumweka Tundu Lissu au Bernard Membe kugombea Urais

Time will tell
 
Time will tell

hakuna haja hata ya time will tell, yaaani kwa saaahv tafuteni tu wabunge! battling magufuli is impossible , sio tz tu even outside tz







ya upinzani staki kuyasema maaana ni aibu, tafuteni tu wabuunge kwa saaahv
 

Tuchukulie kuwa MEMBE na LISSU mmoja wao anasimama kukabiliana na CCM/Magufuli...

Umesema, CCM wamejiandaa kuweka mapingamizi ili abaki "Yesu wao tu"...

Unadhani nini itakuwa msingi wa mapingamizi hayo kwa kila mmoja Membe na Lissu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…