Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Hii tafiti ilifanywa na shirika au taasisi gani ya kuaminika??
Tupe vyanzo vya taarifa yako hii kwanza..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nikuulize Faiza Foxy

1° ndani ya Qur'an kuna aya zaid ya 9 zinamtaja mungu kuwa anasikia na pia anaona
Swali langu je anasikia vipi wakati kwa mijibu wa Qur'an mungu hafanani na kiumbe yeyote?

2° Uwepo wa mungu hutokana na Imani kwanini Uwepo wa shetani utokane na Mungu?

3° nini chanzo cha uhai wa mungu?

4° kwanini mungu matukio yake utokea katika nyakati maalum je mungu anamahusiano na elimu ya science?
 
Mfani; Birika ina mkono, bilauri ina mkono, ndoo inamkono na hata wewe pia unamkono, tukisema mkono wa binadamu haufanani na kiumbe chochote tutakosea kwakuwa kuna viumbe vingine vinamikono kama nilivotaja hapo juu??

Hapo nimejaribu kukufanya ufikirie zaidi, inaposemwa Mungu anasikia basi si lazima ifanane na viumbe wake, usikivu wako wewe unamipaka, usikivu wa Allah hauna mipaka, anasikia sauti za viumbe wake wote kwa wakati mmoja na anajua kila nafsi kwa kila inachowaza na kusema!! Nimejibia namba 1.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We ndie usemae ila mungu asema mwenyewe ktk qur an ( samiu baswyiru) asikia pia anaona ni hakika aona kwa macho na asikia kwa masikio kwa mujibu wa qur an si masikio ya bilika au kitu kingine ni maskio ya kimaumbile sasa mungu iweje asifanane na viumbe wake?
 

1) Ingekuwa vyema sana ukatuwekea hizo aya kwa "context" yake ili tukujibu. Unataka tujibu hewa?

2) "shetani" ni sifa. Inawezekana hata wewe ni shetani.

3) Huyo "mungu hai" si wa Kiislam. Wa Kiislam ni Al Hayy - The ever living.

4) Matukio si sifa ya Allah labda ni Mungu wako huyo.
 

Umekosea hapo. Ni hivi, Al Sami' (السميع) The All Hearing, Al Basir (البصير) The All Seeing.

Macho yako au ya binaadam yeyote yanaona vyote? Na masikio yako au ya binaadam yeyote yanasikia vyote?

Wewe na viumbe wengine wote mnaweza kuwa mnaona "baswir" lakini siyo "Al Basir". Halikadhalika kwa kusikia.
 
kwanini waislamu mmetofautiana katika swala la imani, kila mtu anakuambia lake na ubaguzi wa misikiti
 
kwanini waislamu mmetofautiana katika swala la imani, kila mtu anakuambia lake na ubaguzi wa misikiti

Sijaona hizo tofauti na "ubaguzi wa misikiti". Nijuavyo misikiti yote ni ya Mwenyezi Mungu na si ya watu binafsi.

Toka nizaliwe sijawahi kukatazwa kufanya ibada msikiti wowote ule na yeyote yule. Wewe ni msikiti upi ulienda ukabaguliwa?
 
Sijaona hizo tofauti na "ubaguzi wa misikiti". Nijuavyo misikiti yote ni ya Mwenyezi Mungu na si ya watu binafsi.

Toka nizaliwe sijawahi kukatazwa kufanya ibada msikiti wowote ule na yeyote yule. Wewe ni msikiti upi ulienda ukabaguliwa?
na vipi kuhusu kutumia agano la kale. kwa waislama, maana kuna sheria mpaka sasa hazitakiwi kuwepo katika diniii ya kislam
 
kwa
Hayo ni maneno kama ya kwenye khanga tu. Uislam ni mmoja tu.

Hujanijibu swali langu, hujaliona au umeamuwa kuuchuna tu?
kwa hiyo dini yenu ina ruhusu mtu kupigwa mawe mpaka kufaaa
 
na vipi kuhusu kutumia agano la kale. kwa waislama, maana kuna sheria mpaka sasa hazitakiwi kuwepo katika diniii ya kislam


Waislam wanatumia Qur'an.

Agano la kale na jipya yote yako kwenye biblia. Au huelewi hilo?
 
kwanini mtume alikatta na akalaani kuhusu mtu kuchora au kuweka kumbukumbu ya sura yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…