Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Assalaam alaykum, dada FaizaFoxy, matumaini yangu umzima, shikamoo.
Mi napenda kujua historia ya Wagunya, walikotokea, sehemu wanayopatikana kwa sasa na shughuli walizokuwa wakijishughulisha nazo, kwa maana nimesikia mi asili yangu ni mgunya
السلام عليكم.
Jamii Forums mobile app
Mi napenda kujua historia ya Wagunya, walikotokea, sehemu wanayopatikana kwa sasa na shughuli walizokuwa wakijishughulisha nazo, kwa maana nimesikia mi asili yangu ni mgunya
السلام عليكم.
Jamii Forums mobile app