Kijana kijana
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 2,546
- 2,621
Mama yangu FaizaFoxy anaweza kuwa mkubwa zaidi ya mama yangu.FaizaFoxy kwa nini wapenda kuumbua watu haswa wanapokosea kiswahili?
unaffikiri ni kwa nini wanajamii forum wanapenda kukushambulia haswa kwenye swala la udini?
kwa nini wewe ni mkali?una stress?how old are you?
@miss natafuta unanikosha na maswali yako matamu haya.loohHUYO HUYO MAMA JE NI KWELI UKOO WAKE NDO UNATAWALA SAUDIA LEO?
Nifindishe basi mama nami nijue kuwa wanawake hawakawiiKweli huyawezi ndiyo maana unaona wanawake wanakawia.
Mama yangu wewe ni mzaliwa wa wapi asili yako?Kweli huyawezi ndiyo maana unaona wanawake wanakawia.
Dar Es Salaam. Asili Kisiju, kwetu Mkuranga.
Soma Qur'an na hadith, mafunzo yetu yote ya namna kuishi, sexuality ikiwemo yapo wazi kabisa. Anzia hapa: Sexual TechniquesNifindishe basi mama nami nijue kuwa wanawake hawakawii
Asante mama ,nikimaliza theory nitakutafuta kwa ajili ya practicalSoma Qur'an na hadith, mafunzo yetu yote ya namna kuishi, sexuality ikiwemo yapo wazi kabisa. Anzia hapa: Sexual Techniques
Marahaba. Hongera.
naweza kukutembelea??Shughuli nifanyazo ni nyingi tu kama kawaida ya binaadam, hakosi cha kufanya.
Nipo Mkuranga, mkoa wa Pwani. Kwa sasa.
Nikiomba unitunuku je dada??Utakubali??Shughuli nifanyazo ni nyingi tu kama kawaida ya binaadam, hakosi cha kufanya.
Nipo Mkuranga, mkoa wa Pwani. Kwa sasa.
Ujinga wa kusomea upo dunia nzima pale ambapo mitaala na malezi ya shuleni hutumika kupandikiza (brainwashing) wayatakayo wanaosimamia hiyo/hizo shule au elimu kwa ujumla.Ni mazingira gani upelekea mtu kwenda shule na kujikuta amejifunza ujinga. kwa uzoefu wako,kwa wastani ni asilimia ngapi ya graduates wa Tanzania wanaangukia katika category hii
Ulishafanya Anal Intercourse??Soma Qur'an na hadith, mafunzo yetu yote ya namna kuishi, sexuality ikiwemo yapo wazi kabisa. Anzia hapa: Sexual Techniques
Sijafanya.