Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

FaizaFoxy kwa nini wapenda kuumbua watu haswa wanapokosea kiswahili?

unaffikiri ni kwa nini wanajamii forum wanapenda kukushambulia haswa kwenye swala la udini?

kwa nini wewe ni mkali?una stress?how old are you?
Mama yangu FaizaFoxy anaweza kuwa mkubwa zaidi ya mama yangu.

Si chini ya 50 miaka yake.
 
Hapa nauliza tena mama yangu,lakini pia nataka kama tujadili mama.

Unadhani mtu pasi na kuwa na ushabiki wa chama chochote inawezekana?
Na jee faida ni nyingi au hasara ni nyingi za kutokuwa mwanachama wa chama chochote?

Je
Marahaba. Hongera.
 
Ni mazingira gani upelekea mtu kwenda shule na kujikuta amejifunza ujinga. kwa uzoefu wako,kwa wastani ni asilimia ngapi ya graduates wa Tanzania wanaangukia katika category hii
 
Ni mazingira gani upelekea mtu kwenda shule na kujikuta amejifunza ujinga. kwa uzoefu wako,kwa wastani ni asilimia ngapi ya graduates wa Tanzania wanaangukia katika category hii
Ujinga wa kusomea upo dunia nzima pale ambapo mitaala na malezi ya shuleni hutumika kupandikiza (brainwashing) wayatakayo wanaosimamia hiyo/hizo shule au elimu kwa ujumla.
 
shekh nakuuliza. katika uislamu mwanamme inaaa kunyonya k. na je mwanamke inaaa kunyonya D.
 
shekh nakuuliza. katika uislamu mwanamme inaaa kunyonya k. na je mwanamke inaaa kunyonya D.
Ruksa; lazima iwe ya halali, ndani ya ndoa inayokubalika Kiislam na si ya zinaa au uasherati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…