Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Hakuna katazo la kulala bila nguo.

Allah hata uvae nguo anakuona kila sehemu,wanandoa ni halali kwao kulala uchi ikiwa hakuna anayewaona wapo chumbani.

Kwa sababu hakuna ubaya juu ya hilo,unamfichia nani?

Allah anasema
Habar madam
Napenda kujua je kulala bila nguo kwa wanandoa ni sawa na je ina faida gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
أُحِلَّ لَكُمْ لَيْلَةَ الصِّيَامِ الرَّفَثُ إِلَىٰ نِسَائِكُمْ ۚ هُنَّ لِبَاسٌ لَّكُمْ وَأَنتُمْ لِبَاسٌ لَّهُنَّ ۗ ع

[ AL - BAQARA - 187 ]
Mmehalalishiwa usiku wa Saumu kuingiliana na wake zenu. Wao ni vazi kwenu, na nyinyi ni vazi kwao.


Allah amehalalisha kuwaingilia wake,unawaingilia na nguo ama ukiwa uchi?

Lakini pia tumeambiwa wanandoa ni MAVAZI kila mmoja kwa mwenzie kwa maana vazi ndo linakusitiri linakuona kila aibu yako.

Hakuna katazo la kulala uchi na mkeo madhali mupo wawili.
 
Ni kwa nini Kenya imekuwa muhanga wa vitendo vya kigaidi vya Al shababu mara kwa mara?
 
Kama walikatana viganja ndicho walichokuta walichokuta wapi?

Kama walichokuta katika vitabu vya kale ina maana mtume alikuwa hafati Qurani?

Kama walichokuta kwenye Qurani si ndo tunarudi pale pale kwamba wewe hadithi unazikubali kishingo upande kwa sababu hujanipa dalili ya kuonyesha kwamba hakuna tofauti ya kiganja na mkono.

Bali unazungumza vile ubongo unavokutuma.
Qurani imeshushwa ifuatwe na huyo mtume,hukmu ya kukata kiganja haimo katika Qurani na wewe unaikubali.

Sasa unaikubali vipi hiyo hikmu ambayo imo kwenye hadithi ilhali hadithi huzikubali?

Alafu usikimbilie hiyo mada kwa kuikwepa kwepa hii,huko tutafika,naona una hamu sana tufike huko.hapa kwanza.
Naona sasa unaleta ubishi wa kuzunguka hapo hapo. Majibu yangu ndiyo hayo, kama hukuyapenda au hayakuingii akilini achana nayo. Sikulazimishi kukubali wala usinilazimishe kukubali.

La unataka kuendeleza ubishi kuna uzi nimeuweka spesho kwa kubishana, pitia hapa: Kwa wanaopenda na wasio penda ubishi. - JamiiForums

Mimi na wewe uelewa wetu tofauti.

Bado nasubiri aya ya Qur'an kuhusu "maisha ya kaburini" kutoka kwako.
 
Tupu zetu inapaswa zisitiriwe wakati wote kasoro wakati wa kuoga, kwenda haja au kuingiliana wanandoa.

Madhara ya kulala bila kujistiri ni pamoja na wadudu, mtu akaingia kwako ghafla, binaadam unaweza kuumwa ghafla wanaokuja kukusaidia ukawatia huzuni.

Pia inabidi tuone haya kwa viumbe wanaotuona na tusiowaona kama malaika na majinni.

Na kikubwa zaidi ni kumuonea haya Mwenyezi Mungu Muumba wetu anaetuona.
Asante madam sasa itabd nmnunule nightdress nzur mke wang maam mm mwanaume n bukta tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna katazo la kulala bila nguo.

Allah hata uvae nguo anakuona kila sehemu,wanandoa ni halali kwao kulala uchi ikiwa hakuna anayewaona wapo chumbani.

Kwa sababu hakuna ubaya juu ya hilo,unamfichia nani?

Allah anasemaأُحِلَّ لَكُمْ لَيْلَةَ الصِّيَامِ الرَّفَثُ إِلَىٰ نِسَائِكُمْ ۚ هُنَّ لِبَاسٌ لَّكُمْ وَأَنتُمْ لِبَاسٌ لَّهُنَّ ۗ ع

[ AL - BAQARA - 187 ]
Mmehalalishiwa usiku wa Saumu kuingiliana na wake zenu. Wao ni vazi kwenu, na nyinyi ni vazi kwao.


Allah amehalalisha kuwaingilia wake,unawaingilia na nguo ama ukiwa uchi?

Lakini pia tumeambiwa wanandoa ni MAVAZI kila mmoja kwa mwenzie kwa maana vazi ndo linakusitiri linakuona kila aibu yako.

Hakuna katazo la kulala uchi na mkeo madhali mupo wawili.
Asantee mkuu nmepata jib zur kabsaa..asante kwa udadaviluaji mzur

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah! Kutoka post # 1 mpaka 2506 cjui kwann huu uzi umenivutia kiasi hiki

Ila uzi umetekwa na na maswali ya kiitikadi zaid ina maana hamna wanaosomea alichosomea Faizafoxy ili wanufaike na fursa hii?

Uchaguzi Mbaya sana huu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikia ata kabla Kenya hawajapeleka jeshi Somalia hawa Al Shabab walishafanya matukio Kenya.

Pili ata Tanzania tuna jeshi Somalia.
Sasa kama "unasikia" unataka nijibu nini tena? Ya kusikia changanya na yako.
 
Weka aya.
[bold]2:53[/bold] kumbukeni tulipo..., [bold]2:38[/bold] tukamwambia Adam...., [bold]2:56[/bold] kisha tukakusameheni...., [bold]2:34[/bold] na kumbuka ewe Nabii tulipowaambia Malaika..., [bold]2:23[/bold] Na ikiwa mna shaka kusadiki hii Qur'an tunayomteremshia... nk, ziko nyingi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[bold]2:53[/bold] kumbukeni tulipo..., [bold]2:38[/bold] tukamwambia Adam...., [bold]2:56[/bold] kisha tukakusameheni...., [bold]2:34[/bold] na kumbuka ewe Nabii tulipowaambia Malaika..., [bold]2:23[/bold] Na ikiwa mna shaka kusadiki hii Qur'an tunayomteremshia... nk, ziko nyingi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu fanya editing.

Naam, Qur'an imeteremshwa na Jibril kutoka kwa Allah.

Jibril ni malaika ambae nyinyi mnamwita Gabriel.

Tatizo nini hapo?
 
Back
Top Bottom