Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Kuna hadithi nyingine ni swahihi na nyingine siyo, hivi nitawezaje kuzitofautisha nizisomapo kwamba hii ni swahihi na hii siyo?
Hivi utajuaje juu ya usahihi wa sheria,au vifungu vya katiba ya nchi?
 
Hivi utajuaje juu ya usahihi wa sheria,au vifungu vya katiba ya nchi?
Hadithi na sheria ni tofauti. Hadithi inahadithiwa na mtu ambaye ama alikuwepo kwenye tukio au na yeye kahadithiwa lakini sheria zimetungwa na jopo la watu na "original" yake inakuwepo! Ni kwa uelewa wangu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hadithi na sheria ni tofauti. Hadithi inahadithiwa na mtu ambaye ama alikuwepo kwenye tukio au na yeye kahadithiwa lakini sheria zimetungwa na jopo la watu na "original" yake inakuwepo! Ni kwa uelewa wangu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Utaelewaje na utaamini vipi kama kifungu fulani cha sheria ni sahihi kipo katika katiba pasi na kusoma hiyo katiba?
 
Utaelewaje na utaamini vipi kama kifungu fulani cha sheria ni sahihi kipo katika katiba pasi na kusoma hiyo katiba?
Sheria zetu za kibinAdam tulizojitungia wapo watu maalum wanaozisimamia. Huwezi kuzielewa bila kuzisoma na kama una mashaka na kifungu fulani wapo wataalam wa kukuelewesha. Zingekuwa si sahihi zisingetumika mahakamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna hadithi nyingine ni swahihi na nyingine siyo, hivi nitawezaje kuzitofautisha nizisomapo kwamba hii ni swahihi na hii siyo?
Hadithi ambayo haikuingii akilini au haileti maana yoyote kwako achana nayo, rudi kwenye Qur'an.

Hadithi nje ya zile za kwenye Qur'an wacha zibaki kuwa ni historia njema. Hadithi siyo wahyi.

Baada ya hayo, hadithi zina sayansi na utaalam na wataalam wake kama ilivyo historia yoyote ile.

Mwanazuoni mkubwa kabisa wa hadithi Al Albani, kuna hadithi (chache sana) zilizokuwa zinasemekana sahihi lakini baada ya kuzichunguza kwa tafiti zake amesema siyo sahihi.
 
Sheria zetu za kibinAdam tulizojitungia wapo watu maalum wanaozisimamia. Huwezi kuzielewa bila kuzisoma na kama una mashaka na kifungu fulani wapo wataalam wa kukuelewesha. Zingekuwa si sahihi zisingetumika mahakamani

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ndo nakuuliza,unadhani kwenye uislamu pasi na kuwafuata wanaozijua hadithi wakakufundisha hizo hadithi na wakakupa misingi ya kuzifahamu hadithi sahihi na dhaifu unadhani pasi na kufanya hivyo utajua hadithi sahihi na dhaifu?
 
Hadithi ambayo haikuingii akilini au haileti maana yoyote kwako achana nayo, rudi kwenye Qur'an.

Hadithi nje ya zile za kwenye Qur'an wacha zibaki kuwa ni historia njema. Hadithi siyo wahyi.

Baada ya hayo, hadithi zina sayansi na utaalam na wataalam wake kama ilivyo historia yoyote ile.

Mwanazuoni mkubwa kabisa wa hadithi Al Albani, kuna hadithi (chache sana) zilizokuwa zinasemekana sahihi lakini baada ya kuzichunguza kwa tafiti zake amesema siyo sahihi.
Na hadithi ya kupigwa mawe mwizi ambayo hukmu yake haipo katika Qurani wewe inakuingia akilini,na mwingine haimuingii akilini,au hukmu hiyo haipo nayo kwa kuwa haikutajwa katika Qurani?
 
Sasa ndo nakuuliza,unadhani kwenye uislamu pasi na kuwafuata wanaozijua hadithi wakakufundisha hizo hadithi na wakakupa misingi ya kuzifahamu hadithi sahihi na dhaifu unadhani pasi na kufanya hivyo utajua hadithi sahihi na dhaifu?
Huwezi kufundishwa zote, nyingine inabidi ujisomee mwenyewe, ndiyo maana hata darasani mwalimu anakwambia atakufundisha moja ya tatu, mbili ya tatu ujisomee mwenyewe. Kama njia ya kujisomea ndiyo maana tunawauliza watu kama akina FaizaFoxy, sawa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kufundishwa zote, nyingine inabidi ujisomee mwenyewe, ndiyo maana hata darasani mwalimu anakwambia atakufundisha moja ya tatu, mbili ya tatu ujisomee mwenyewe. Kama njia ya kujisomea ndiyo maana tunawauliza watu kama akina FaizaFoxy, sawa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa umeshaenda kusoma alafu ukafikia hatua ya kujisomea mwenyewe au unajisomea kwa kuuliza hapa jamii forum tu mkuu?

Kuziwacha na kuzikataa na kuzikana hadithi ambazo zimethibiti usahihi wake ni katika madhambi makubwa sana ambayo muislamu hatakiwi kuyafanya kwa kukusudia.ndo mana naandika haya.

Lazima ukae usome hizo hadithi mkuu ili upate kuzielewa,Qurani inahitajia zaidi hadithi kwa sababu hadithi ndio mwalimu wa Qurani.yaani Qurani inashuka alafu hadithi(maneno au vitendo vya mtume)ndo vinafafanua hiyo aya ikiwa ina utata au maana yake haijaeleweka n.k
 
Na hadithi ya kupigwa mawe mwizi ambayo hukmu yake haipo katika Qurani wewe inakuingia akilini,na mwingine haimuingii akilini,au hukmu hiyo haipo nayo kwa kuwa haikutajwa katika Qurani?
Siijuwi hiyo.

Bado nasubiri kutoka kwako aya ya Qur'an inayoongelea "maisha ya kaburini".
 
Kwa hivyo hujui adhabu ya mzinifu aliyeko kwenye ndoa ni ipi?
Kwenye ile post yako umeandika "mwizi" hapa unasema "mzinifu" halafu unaniuliza swali.

Mzinifu nafahamu adhabu yake kwenye Qur'an lakini ile ya "mwizi" kupigwa mawe ulioandika juu huko ndiyo siifahamu.

Bado nasubiri kutoka kwako aya za Qur'an zinazoongelea "maisha ya kaburini".
 
Kwenye ile post yako umeandika "mwizi" hapa unasema "mzinifu" halafu unaniuliza swali.

Mzinifu nafahamu adhabu yake kwenye Qur'an lakini ile ya "mwizi" kupigwa mawe ulioandika juu huko ndiyo siifahamu.

Bado nasubiri kutoka kwako aya za Qur'an zinazoongelea "maisha ya kaburini".
Unajua vizuri sana.naona unaikimbia hii mada ya hadithi kwa sababu inakubana kila nynja na bado wewe huwezi kuufata uislamu wako na kutekeleza ibada kama huzikubali hadithi.

Yaani kiufupi mtu asiyezimani na kuzifata hadithi kwa kujua na kufanya makusudi huyo ni mpotevu wa wazi kwa sababu hakuna ibada za faradhi ambszo utazipata kwa uksmilifu wake ndani ya Qurani.

Na hata Qurani inatulszimisha tumfate bwana mtume kwa maana tuyafate mafundisho yake ,sasa wewe unafata Qurani ipi mama yetu?

Qurani ni maneno ya Allah kupitia mtume,hivyo ukiifata Qurani unskuwa umefuata mafundisho Ya Allah.sasa inskuwaje unamuweka mtume pembeni kwa aya ipi insyokufanya uyaweke mafundisho ya mtume pembeni?

Itikadi yako ya kuzikataa hadithi ni nzito sana hatuwezi kuipita hivi hivi tu kuna mengi ya kuhoji kwa sababu hata Qurani inakukataa kwa msimamo huo.

Kuhusu aya ya maisha ya kaburini usiwe na haraka.au uniruhusu tuiwache hii mada ya hadithi kwanza alafu tuende huko alafu turudi tena hapa kwenye hadithi.
 
Unajua vizuri sana.naona unaikimbia hii mada ya hadithi kwa sababu inakubana kila nynja na bado wewe huwezi kuufata uislamu wako na kutekeleza ibada kama huzikubali hadithi.

Yaani kiufupi mtu asiyezimani na kuzifata hadithi kwa kujua na kufanya makusudi huyo ni mpotevu wa wazi kwa sababu hakuna ibada za faradhi ambszo utazipata kwa uksmilifu wake ndani ya Qurani.

Na hata Qurani inatulszimisha tumfate bwana mtume kwa maana tuyafate mafundisho yake ,sasa wewe unafata Qurani ipi mama yetu?

Qurani ni maneno ya Allah kupitia mtume,hivyo ukiifata Qurani unskuwa umefuata mafundisho Ya Allah.sasa inskuwaje unamuweka mtume pembeni kwa aya ipi insyokufanya uyaweke mafundisho ya mtume pembeni?

Itikadi yako ya kuzikataa hadithi ni nzito sana hatuwezi kuipita hivi hivi tu kuna mengi ya kuhoji kwa sababu hata Qurani inakukataa kwa msimamo huo.

Kuhusu aya ya maisha ya kaburini usiwe na haraka.au uniruhusu tuiwache hii mada ya hadithi kwanza alafu tuende huko alafu turudi tena hapa kwenye hadithi.
Ohooo. Naona umekwepa la "mwizi", kitu ambacho umeandika wewe mwenyewe. Naona pia umekwepa la "maisha ya kaburini" kitu ambacho ukinishutumu kutokukifata, unarudi na porojo ambazo nimeshazijibu huko.

Bado nasubiri kutoka kwako aya za Qur'an zinazoongelea "maisha ya kaburini".

Sasa nasuburi pia ya " mwizi" kupigwa mawe. Au ulikosea?
 
Ohooo. Naona umekwepa la "mwizi", kitu ambacho umeandika wewe mwenyewe. Naona pia umekwepa la "maisha ya kaburini" kitu ambacho ukinishutumu kutokukifata, unarudi na porojo ambazo nimeshazijibu huko.

Bado nasubiri kutoka kwako aya za Qur'an zinazoongelea "maisha ya kaburini".

Sasa nasuburi pia ya " mwizi" kupigwa mawe. Au ulikosea?
Unasubiri ya kupogwa mwizi mawe hadithi au aya?
Kama unasubiri aya hutoipata ndani ya Qurani.zipo hadithi zinathibitisha jambo hilo.

Ninachokuambia kwamba kuzikataa hadithi ni upotevu na kwenda kinyume na Qurani,na wewe unazikataa hadithi na mafundisho ya mtume huyataki jambo ambalo limekemewa na Qurani.

Qurani ni mafundisho ya Allah na hadithi ni mafundisho ya mtumi,wewe huzitaki unadhani una salama hapo,sasa hivi ninachokuambia ni ujumla wa mambo kwamba kuzikataa hadithi sahihi ni upotevu.

Wewe si ndo unakataa mafundisho ya mtume yaliyothibiti,au huyakatai wewe?

Mfano wa hadithi inayosema mzinifu aliyeowa auwawe ni hii

ﻦِ ﻣَﺴْﻌُﻮﺩٍ ﺭﺿﻲ ﺍﻟﻠﻪُ ﻋﻨﻪ ﻗﺎﻝَ : ﻗﺎﻝَ ﺭﺳُﻮﻝُ ﺍﻟﻠﻪ ﺻﻠﻰ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻠﻴﻪ ﻭﺳﻠﻢ : ‏( ‏( ﻻَ ﻳَﺤِﻞُّ ﺩَﻡُ ﺍﻣْﺮِﺉٍ ﻣُﺴْﻠِﻢٍ ﺇﻻّ ﺑﺈﺣْﺪَﻯ ﺛَﻼَﺙٍ : ﺍﻟﺜَّﻴِّﺐُ ﺍﻟﺰَّﺍﻧﻲ، ﻭَﺍﻟﻨَّﻔْﺲُ ﺑﺎﻟﻨّﻔْﺲِ، ﻭَﺍﻟﺘَّﺎﺭِﻙُ ﻟِﺪِﻳِﻨِﻪِ ﺍﻟْﻤُﻔَﺎﺭِﻕُ ﻟِﻠْﺠَﻤﺎﻋَﺔِ ‏) ‏) . ﺭَﻭَﺍﻩُ ﺍﻟْﺒُﺨَﺎﺭِﻱّ ﻭَﻣُﺴْﻠِﻢٌ

toka kwa Ibn Mas'uud ﺭﺿﻲ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻨﻪ ambaye alisema: Mtume ﺻﻠﻰ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻠﻴﻪ ﻭﺳﻠﻢ kasema:
((Damu ya Muislamu haipasi kumwagwa isipokuwa katika hali tatu: Mzinzi Muolewa (Mtu mzima aliyeoa/olewa), uhai kwa uhai (nafsi kwa nafsi) na kwa yule anaeeacha dini na akajifarikisha na jama’ah (kundi) (amejitenga na watu wa dini yake))

[Imesimuliwa na Al-Bukhaariy na Muslim]


Hii hadithi sahihi haijapatapo kudhoofishwa na mwanachuoni yeyote yule juu ya usahihi wake na inatueleza kwamba mzinifu aliyeowa adhabu yake ni kifo,lakini Qurani huikuti hii hukmu,ipo ya bakora mia.

Wewe unaweza kuipinga hii hukmu ya hadithi kwa kuwa haipo kwenye Qurani?

Ukiikataa basi jua wewe ni katika waleee waliotajwa na aya hii

ومن يشاقق الرسول من بعد ما تبين له الهدى ويتبع غير سبيل المؤمنين نوله ما تولى ونصله جهنم وساءت مصيرا

[ AN-NISAAI - 115 ]
Na anaye mpinga Mtume baada ya kumdhihirikia uwongofu, na akafuata njia isiyo kuwa ya Waumini, tutamuelekeza aliko elekea, na tutamuingiza katika Jahannamu. Na hayo ni marejeo maovu.

Uongofu wa hadithi umedhihiri wazi wazi juu ya usahihi wake na himmu yake.
 
Unasubiri ya kupogwa mwizi mawe hadithi au aya?
Kama unasubiri aya hutoipata ndani ya Qurani.zipo hadithi zinathibitisha jambo hilo.

Ninachokuambia kwamba kuzikataa hadithi ni upotevu na kwenda kinyume na Qurani,na wewe unazikataa hadithi na mafundisho ya mtume huyataki jambo ambalo limekemewa na Qurani.

Qurani ni mafundisho ya Allah na hadithi ni mafundisho ya mtumi,wewe huzitaki unadhani una salama hapo,sasa hivi ninachokuambia ni ujumla wa mambo kwamba kuzikataa hadithi sahihi ni upotevu.

Wewe si ndo unakataa mafundisho ya mtume yaliyothibiti,au huyakatai wewe?

Mfano wa hadithi inayosema mzinifu aliyeowa auwawe ni hii

ﻦِ ﻣَﺴْﻌُﻮﺩٍ ﺭﺿﻲ ﺍﻟﻠﻪُ ﻋﻨﻪ ﻗﺎﻝَ : ﻗﺎﻝَ ﺭﺳُﻮﻝُ ﺍﻟﻠﻪ ﺻﻠﻰ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻠﻴﻪ ﻭﺳﻠﻢ : ‏( ‏( ﻻَ ﻳَﺤِﻞُّ ﺩَﻡُ ﺍﻣْﺮِﺉٍ ﻣُﺴْﻠِﻢٍ ﺇﻻّ ﺑﺈﺣْﺪَﻯ ﺛَﻼَﺙٍ : ﺍﻟﺜَّﻴِّﺐُ ﺍﻟﺰَّﺍﻧﻲ، ﻭَﺍﻟﻨَّﻔْﺲُ ﺑﺎﻟﻨّﻔْﺲِ، ﻭَﺍﻟﺘَّﺎﺭِﻙُ ﻟِﺪِﻳِﻨِﻪِ ﺍﻟْﻤُﻔَﺎﺭِﻕُ ﻟِﻠْﺠَﻤﺎﻋَﺔِ ‏) ‏) . ﺭَﻭَﺍﻩُ ﺍﻟْﺒُﺨَﺎﺭِﻱّ ﻭَﻣُﺴْﻠِﻢٌ

toka kwa Ibn Mas'uud ﺭﺿﻲ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻨﻪ ambaye alisema: Mtume ﺻﻠﻰ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻠﻴﻪ ﻭﺳﻠﻢ kasema:
((Damu ya Muislamu haipasi kumwagwa isipokuwa katika hali tatu: Mzinzi Muolewa (Mtu mzima aliyeoa/olewa), uhai kwa uhai (nafsi kwa nafsi) na kwa yule anaeeacha dini na akajifarikisha na jama’ah (kundi) (amejitenga na watu wa dini yake))

[Imesimuliwa na Al-Bukhaariy na Muslim]


Hii hadithi sahihi haijapatapo kudhoofishwa na mwanachuoni yeyote yule juu ya usahihi wake na inatueleza kwamba mzinifu aliyeowa adhabu yake ni kifo,lakini Qurani huikuti hii hukmu,ipo ya bakora mia.

Wewe unaweza kuipinga hii hukmu ya hadithi kwa kuwa haipo kwenye Qurani?

Ukiikataa basi jua wewe ni katika waleee waliotajwa na aya hii

ومن يشاقق الرسول من بعد ما تبين له الهدى ويتبع غير سبيل المؤمنين نوله ما تولى ونصله جهنم وساءت مصيرا

[ AN-NISAAI - 115 ]
Na anaye mpinga Mtume baada ya kumdhihirikia uwongofu, na akafuata njia isiyo kuwa ya Waumini, tutamuelekeza aliko elekea, na tutamuingiza katika Jahannamu. Na hayo ni marejeo maovu.

Uongofu wa hadithi umedhihiri wazi wazi juu ya usahihi wake na himmu yake.

Ni vyema umekiri kuwa ni porojo na hakuna kwenye Qur'an.

Hiyo hadithi "imesimuliwa" na nani?

Bado nasubiri kutoka kwako aya za Qur'an zinazoongelea "maisha ya kaburini"?
 
Nguruwe ameharamishwa katika Qur'an. Na sisi Allah akituharamisha kitu huwa hatukifanyi, tuna tii na kunyenyekea amri za Allah...

2_173.gif

173. Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.173

Kwenye biblia pia amekatazwa...

Hakika ni kuwa Agano la Kale katika Biblia imekataza ulaji wa nguruwe na akafanywa kuwa ni haramu: “Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao” (Walawi 11: 7 – 8).
Agizo hilo limerudiwa katika Kumbukumbu la Shari’ah 14: 7 – 8 na pia Isaya 66: 17. Na katika Agano Jipya, Yesu naye amesema kuwa hakuja kutangua shari’ah na mafundisho ya manabii bali kukamilisha (Mathayo 5: 17). Kwa ibara hiyo ni kuwa Yesu pia aliharamisha ulaji wa nguruwe.
Chanzo: Wapi Katika Biblia Kumetajwa Kuhusu Kuharamishwa Kula Nguruwe? | Alhidaaya.com
Good answers mama

Swali: unadhani Ni ipi dini sahihi Kati ya ukristo na uislam!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Good answers mama

Swali: unadhani Ni ipi dini sahihi Kati ya ukristo na uislam!?

Sent using Jamii Forums mobile app

Uislam.

Kwanini Uislam?

Kwanza nnaamini mkristo wa kweli ni Muislam. Mkristo kwa maana ya kumfata Yesu Kristo na si kufata maneno ya watu waliomzushia Yesu. Hakuna Muislam asiyemkubali Yesu kama mtume wa Mwenyeezi Mungu. Na hakuna pahali Yesu kwa maneno yake kasema "Mimi Mungu" au "niabuduni".

Uislam ni kujisalimisha kwa Mwenyeezi Mungu, nani asiyetaka kujisalimisha kwa Mwenyeezi Mungu mmoja Muumba wa ardhi na mbingu?

Kwa kifupi dini sahihi ni Uislam.
 
Uislam.

Kwanini Uislam?

Kwanza nnaamini mkristo wa kweli ni Muislam. Mkristo kwa maana ya kumfata Yesu Kristo na si kufata maneno ya watu waliomzushia Yesu. Hakuna Muislam asiyemkubali Yesu kama mtume wa Mwenyeezi Mungu. Na hakuna pahali Yesu kwa maneno yake kasema "Mimi Mungu" au "niabuduni".

Uislam ni kujisalimisha kwa Mwenyeezi Mungu, nani asiyetaka kujisalimisha kwa Mwenyeezi Mungu mmoja Muumba wa ardhi na mbingu?

Kwa kifupi dini sahihi ni Uislam.
Kwanini mnamwamini kristo na bado hamumfwati ila mnamfwata mtume Muhammad !?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom