T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,560
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ulifuta ila aliyekuquote ndio kakuumbuaWeka link hapa. Mnajitengenezea utumbo wenu mnakuja nao hapa?
Mnajihangaisha bure. Tazama quotes zote humu, zipo hivyo?
Eeh watu wanafik nyinyi.
Wewe ni ibilisi
Nitengeneze link ili nipate nini
Lengo lilikuwa kukuonyesha ulivyo kigeugeu, kama hiyo nimetengeneza vipi kuhusu kukana hakuna mkristo anaitwa Abdallah halafu ukageuka kuwa unamfahamu msabato mwenye jina hilo?
Nilete link?
Au utakimbia tena kufuta