Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Si kweli.

Uislam haufundishi ugaidi wala haufungamani na kundi lolote la kigaidi.

Uislam unafundisha:


Qur'an 5:
32. Kwa sababu ya hayo tuliwaandikia Wana wa Israili ya kwamba aliye muuwa mtu bila ya yeye kuuwa, au kufanya uchafuzi katika nchi, basi ni kama amewauwa watu wote. Na mwenye kumuokoa mtu na mauti ni kama amewaokoa watu wote. Na hakika waliwajia Mitume wetu na hoja zilizo wazi. Kisha wengi katika wao baada ya haya wakawa waharibifu katika nchi.

33.Basi malipo ya wale wanao mpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakawania kufanya uchafuzi katika nchi, ni kuuwawa, au kusalibiwa, au kukatwa mikono yao na miguu yao kwa mabadilisho, au kutolewa nchi. Hii ndiyo hizaya yao katika dunia; na katika Akhera watapata adhabu kubwa.
Staki kuamini kwamba kitabu cha dini kinaweza kuandikwa hivi, basi wale wanao chinja wenzao kwasababu wamefanya dhambi wanafanya kwa kufuata mafundisho haya
 
Hapana, si mimi, huyo ni Lisa Valentine na nimempenda sana msimamo wake nilipokisoma kisa chake, jisomee:

Judge Throws Muslim Woman In Jail For Refusing To Remove Headscarf In Court
In the past eight days, a judge in Georgia has sparked controversy after barring two Muslim women wearing Islamic headscarves from entering his courtroom, and landing one of them behind bars. Now, he has prompted an inquiry from the civil rights officer at the U.S. Department of Justice.

Judge Keith Rollins of Douglasville, Georgia reportedly ordered 41-year-old Lisa Valentine to jail after she refused to remove her scarf before entering the courtroom. Judge Rollins pointed to rules that governed appropriate dress as listed by the state.

This is not the first time Rollins had made the controversial call. Last week, Sabreen Abdulrahmaan was forced to leave his court before her son’s probation hearing because she would not remove her scarf.

Valentine was handcuffed by security and sentenced to 10 days in jail when she declined to defend her actions at the security checkpoint, her husband Omar Hall reports.

“It’s an issue of religious freedom,” Ibrahim Hooper, a spokesman for the Council on American-Islamic Relations old reports. “It’s an issue of access to the American legal system.”

Soma zaidi: Judge Throws Muslim Woman In Jail For Refusing To Remove Headscarf In Court - World Politicus
Lisa-Valentine.jpg
 
Ulichojibu ni Yale yale ambayo tumeyazoea kutoka ktk midomo yenu kua mlifelishwa makusudi kwasababu ya Imani yenu kwamba hawataki msome sn.

Haya haya ndio hua mnadai ata ccm ina mfumo Kristo na wakati huo huo kuacha ccm hamtaki na ni wanazi wakubwa Wa ccm lkn wakati mwingine mnakuja ooooh ccm ni mfumo Kristo.

Ni udhaifu huo tena mnapaswa mbadilike sn.


Hakuna binaadam anaependa kulalamika bila sababu.

Tumeyajadili sana hayo hapa hapa JF, jikumbushe: Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu
 
FaizaFoxy Hapa nchini pametokea kudorora sana kwa elimu yetu kuanzia ngazi ya msingi hadi elimu ya juu. Leo hii kijana anayehitimu elimu ya darasa la saba hawezi hata kuandika barua ya kirafiki vijana wanaomaliza elimu ya juu wanaonekana hawana ujuzi ukilinganisha na vyeti vyao. Hili limekuja zaidi miaka kuanzia ya 2000 na kupanda juu
1. Unakubaliana na hili?
2. Nini sababu ya hili
3. Nini mapendekezo yako kunusuru hali hii?

Asante sana.
 
Kumbe msomi mzuri.

Swali la 1: Je, elimu yako imelisaidiaje/inalisaiaje taifa la Tanzania katika nyanja hiyo ya 'Telecommunications'?

Swali la pili: Je, kwa sasa unaishi Tanzania au nje ya Tanzania?

Swali la 3 na la mwisho kwa sasa: Je, hiyo picha/avator ni ya kwako?


Napenda uelewe kuwa, Fax machine ya kwanza Ikulu wakati wa Mzee Ali Hassan Mwinyi ilikuwa ni zao la elimu yangu.

Nnaishi Tanzania na nje. Inategemea na mood.

Hilo la avatar, pitia hapa: Faidika na darsa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa
 
Hongera mkuu!
tuambie umekulia mazingira gani, familia yako inauwezo kiasi gani maana miaka hiyo mtanzania kwenda kusoma nje ya nchi (canada) si haba!
au wewe ni mtoto wa kiongozi mkubwa katika nchi hii

Nimekulia Kariakoo Dar.

Familia yangu ni ya kawaida sana kama familia yoyote ya Kariakoo. AlhamduliLlah nahisi babu na bibi zangu walifanya vyema sana kwa kujijengea nyumba Kariakoo na sehemu zingine za Dar kila wapatapo wasaa na zimekuwa ni assets kubwa sana kwetu.

Wazee wangu hawajawahi kuwa viongozi zaidi ya kuongoza familia zao na biashara zao.
 
Rudi darasani kasome dini yako vema mkuu.
Acha kupotosha jamii maana hii ni dhima mbele ya Allah kesho Akhera.
JANABA si kutoka kwa manii. Janaba ni kitendo cha uume kuingia kwenye uke. Ata kama manii hayakutoka hiyo inabaki kuwa janaba.
Again rudi darasani mkuu!
Upo sahihi kabisa uume ukiingia tu kwenye uke AU ukiugusa tu uke hata Kama manii hayakutoka itakulazimu kuoga janaba
 
Faiza acha kumshutumu Ndalichako kuwa ni sababu ya kufeli kwa waislam
Waislam wanafeli kwa upumbavu wao wa kujali elimu Akhera zaidi na kupuuzia elimu Dunia, mtoto wa kiislam yuko tayari akakeshe Madrasa usiku mzimaa au akakeshe kwenye maulidi lakini si kukesha kujisomea (baadhi ambao ni the Most) Mfano mzur hapa kwetu ni kule visiwani Pemba watu wengi hawajasoma kule japo karibu woote ni waislamu halikadharika pwani pia, kwaiyo kufeli kwa Waislamu wala halikua ni jambo la Ndalichako na tunakuomba kama wewe ni Muislam safi futa hizo kauli kuwa NECTA chini ya Ndalichako ilikua ikiwahujumu waislamu, Kwanza NECTA haina jukumu hilo la kuweza kuwahujumu maana kazi ya NECTA ni kuandaa mitihani (Ambayo hufanywa na dini zote na hata waso Dini) Kusimamia shughuli nzima za ufanyaji wa Mitihani (hapa hushirikiana na baadhi ya walimu +Polisi kwa ajili ya usalama), usahihishaji wa Mitihani (hapa pia baadhi ya walimu huusika +usalama wa Taifa) na utoaji wa matokeo haya kwa mtililko huo tuambie ni wapi Ndalichako anaweza kuingiza kwato zake na kuwchukia Waislam na kuwapangia matokeo ya peke yenu mabaya mabaya mabovu mabovu!
NI DHAMBI KWA MTOTO WA KIISLAM KUONGEA VITU VYA UONGO USIVYO NA UHAKIKA NAVYO, LAKINI KUBWA ZAIDI KUONYESHA CHUKI ZA WAZI WAZI JUU YA MTU FULANI KUTOKANA NA JINA LAKE Joyce Ndalichako.


Tumejadili sana hayo humuhumu JF, jisomee: Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu
 
Kwanza hongera sana kwa uzi mzuri dada faiza
Mimi nina maswali haya;
Umeolewa???

Una watoto wangapi???
Kabila gani au umetokea mkoa gani maana napenda sana post zako
Una watoto wangapi???
Inshaallah

Sijaolewa isipokuwa tumeoana na mume wangu.

Nimetokea Dar na Pwani.

AlhamduliLlah, watano.
 
Sina chuki na Joyce Ndalichako bali nnauhakika si kiongozi mzuri, alivurunda kama mkuu wa NECTA mpaka baadhi ya Waislam wa Tanzania wakaandamana kumkataa. Jikumbushe:

DSC08684.jpg
Waislamu wengi wakifaulu na makafiri wakifeli utampenda enhee?
 
Sijakupa masharti bali nimekupa darasa.
Hii haina tofauti na kusengenya.
Na hayo mafundisho ndio ujuzi wenyewe.
Kama huna ujuzi au elimu ya kuchangia hoja ni bora kukaa kimya!!!
Kikweli siwez kukaa kimya! Na naomba tuishie hapa maana tunakokwenda siko nilidhani nilitumia uungwana zaidi sasa kama unanilazimisha nikae kimya ntakuona mpumbavu sana
 
Umewahi kuingia katika ulingo wa siasa kugombea nafasi yotote? Je,ushawahi kuteuliwa kushika nyadhifa yoyote ya Kiserikali nchini mwetu?


Sijawahi kwa yote mawili.
 
Lakini uislam umekaa kimya.. Haukemei wazi wazi hili suala.. Vp maoni yako Kweny hili.


Uislam haujakaa kimya kwa baya lolote.

Sikiliza Radio Imaan ujisikilizie jinsi Uisla unavyokatazza na kukemea mabaya na kuamrisha mema siku zote, Pitia miskitini siku ya Ijumaa, hata kama hutaki kuingia ndani kaa nje ya msikiti usikilize Uislam unavyokataza mabaya na kuamrisha mema.

Nnakushangaa sana unaposema Uislam "umekaa kimya...haukemei". Ajib.
 
Back
Top Bottom