Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Hiyo lugha uliyoitumia ni ya mtu aliyeuona ukweli ukamuuuma. Siiishangai.

Ningekuwa muongo nisinge ku tag. Kumbuka hilo.

Licha ya hayo, pia nataka umsaidie kijana mwenzako kuhusu hadith ili darsa atalolipata hapa nawe likuingie.
 
Haina maana nimekudharau mama yangu,ila nilifanya vile kuepuka mabishano ila sio kwamba ushahidi sina.

Labda nikupe nambari za hadithi.

ﻫﺬﺍ ﺍﻟﺤﺪﻳﺚ ﺭﻭﺍﻩ ﺍﻟﺒﺨﺎﺭﻱ ‏( 4802 ‏) ﻭﻣﺴﻠﻢ ‏( 1466 ‏) ﻋَﻦْ ﺃَﺑِﻲ ﻫُﺮَﻳْﺮَﺓَ ﺭَﺿِﻲَ ﺍﻟﻠَّﻪُ ﻋَﻨْﻪُ ﻋَﻦْ ﺍﻟﻨَّﺒِﻲِّ ﺻَﻠَّﻰ ﺍﻟﻠَّﻪُ ﻋَﻠَﻴْﻪِ ﻭَﺳَﻠَّﻢَ ﻗَﺎﻝَ : ‏( ﺗُﻨْﻜَﺢُ ﺍﻟْﻤَﺮْﺃَﺓُ ﻟِﺄَﺭْﺑَﻊٍ : ﻟِﻤَﺎﻟِﻬَﺎ ، ﻭَﻟِﺤَﺴَﺒِﻬَﺎ ، ﻭَﻟِﺠَﻤَﺎﻟِﻬَﺎ ، ﻭَﻟِﺪِﻳﻨِﻬَﺎ ، ﻓَﺎﻇْﻔَﺮْ ﺑِﺬَﺍﺕِ ﺍﻟﺪِّﻳﻦِ ﺗَﺮِﺑَﺖْ ﻳَﺪَﺍﻙَ ‏) .


Ukienda katika swahihu al bukhaariy hadithi ya 4802 siio tu kwamba ipo kwa bukhari bali kwa muslim hadith nambari 1466.

Ukienda katika vitabu utakuta na sanadi za hadithi na uhakika wake.

Mtume katumia neno "tunkahu" kwa maana ya wazni wa "tuf'alu" yaani mtendwa.

Na hapo hasa katika swarfu inafahamika ya kuwa tufalu na tunkahu ni mtendwa sasa anatendewa nini ndo huko kuolewa.

Sasa ukisema iwe kuowana lingetumika neno gani hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naona kakuita mama yetu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naongezea hapo, tena wanazuoni wanapo isherehesha hiyo hadithi huanza kwa kusema bali ndio maana aliyo ikusudia mtume wa Allah amani iwe juu yale ya kuwa "Kwa kawaida na ilivyo zoeleka mwanamke huolewa kwa moja kati ya hayo mambo manne ...." ndio maana mtume mwisho akasema izingatiwe dini ili mikono yako isije kushika mchanga kwa maana ukapomoka yaani ukapoteza.
 
Mkuu naona kakuita mama yetu.



Sent using Jamii Forums mobile app

Huyu bi mkubwa mwepesi tatizo mbishi mno, na hajui matumizi ya maneno,hapo umemueleza haki kabisa lakini kwa kujitia "Umakame nguvu" ana kataa na hoja za kielimu hana, una shangaa inakuwake anataguliza maana ya kilugha mbele ya maana ya kisheria ? Hakui kama mtume alivyokuja aliwafundisha maana za maneno waarabu kwa mujibu wa sheria imavyotaka japo wao walikuwa wanajua maana nyingine ?
 
Nadhani umemaanisha. "arkisus".

Hata mimi nimesoma humu humu JF kuhusu hilo.

Niijuavyo arkisus wazee wetu zamani wakitupa tukiumwa na jino. Sasa kama kuna watu wamevumbua matumizi mengine, binafsi sina ujuzi huo.
 
Saidianeni kwanza kutafsiri neno hili inapoanza hiyo hadithi...
ﻫﺬﺍ ﺍﻟﺤﺪﻳﺚ ﺭﻭﺍﻩ ﺍﻟﺒﺨﺎﺭﻱ

Semeni Kiswahili chake nini?
 

Kwa maandiko yako hayo umeshajidhihirisha wazi kuwa mjadala huuwezi.

Umeacha mjadala unanivaa mimi binafsi, inahusu nini?

Sikushangai, nafahamu ndipo uwezo wako ulipoishia.
 
Tena huko usiende kabisa kwa kuwa wewe kule tulipoanzia na hapa napo unajaribu kulitafsiri neno "Nikah" Kwa Kiswahili na kulifanya ni 'kuoa". Wakati aya haijaandika Kiswahili.

Tafsiri ya Kiswahili ni kusaidia tu wasiofahamu Kiarabu na si lugha ya Qur'an. Kumbuka hilo.

Kwa kukujuza tu hata Kwa Kiswahili, neno "kuoa" haliwezakani kuwa na maana mpaka kiwepo hicho cha kuoana nacho.

Huwezi kuvaa kamdambili na makubadhi ukasema vimeoana.

Kwa Kiarabu ndio kabisa ﺗُﻨْﻜَﺢُ. "tunkahu" haliendi peke yake ni uwingi. Tena Kwa kukujuza tu, neno hilo kwa Kiarabu nje ya Qur'an hutumika kama tafsida ya kujamiiana.

Huwezi kupata "aqd" (mkataba) wa "Nikah" kama hakuna mwenza wa kisheria.

Hiyo "nikah" utaifanyaje peke yako?

Neno kuoana ndiyo sahihi Kiswahili.

Mimi sijaolewa, nimeoana na mume wangu. "Zawaj".

Na Kwa kuwa wewe na mwwenzako anaejiita Zurri mnajidai mnakijuwa Kiarabu Kwa kupachika pachika vineno vya Kiarabu kutaka kunijaribu, sasa nawaambia hivi, tuuendeshe huu mjadala Kiarabu. Ya nini tuandikie mate na wino upo?

Naanza...

منذ الموضوع هو في القرآن الكريم، ونحن جميعا نعرف اللغة العربية دعونا نواصل هذه المناقشة باللغة العربية مع جميع الاحترام الواجب
 
Kwa maandiko yako hayo umeshajidhihirisha wazi kuwa mjadala huuwezi.

Umeacha mjadala unanivaa mimi binafsi, inahusu nini?

Sikushangai, nafahamu ndipo uwezo wako ulipoishia.
Ulivyo nitag ulinivaa na wenzangu au dhati yangu ?
 
Sababu za kuku "tag" niimeshakujulisha juu hapo. Nikukumbushe namba ya post?
Na kile ulichoni tag kwacho mimi nimekiendeleza. Na niliyo yasema kuhusu wewe sijakuzulia hata kimoja na nimekupa stahiki yako.
 
Na kile ulichoni tag kwacho mimi nimekiendeleza. Na niliyo yasema kuhusu wewe sijakuzulia hata kimoja na nimekupa stahiki yako.
Na nikakujibu. Hukuliona jibu lako nikuwekee namba ya post?

Naona unajitahidi sana kuukwepa mjadala kwa kuendelea kunivaa binafsi.

Sikushangai, nafahamu ndipo uwezo wako ulipoishia.
 
Na nikakujibu. Hukuliona jibu lako nikuwekee namba ya post?

Naona unajitahidi sana kuukwepa mjadala kwa kuendelea kunivaa binafsi.

Sikushangai, nafahamu ndipo uwezo wako ulipoishia.

Bi mkubwa naona tamko "binafsi" linakushinda kulitumia. Nakukumbusha ya kuwa nilikukirimu kama ulivyokuja kwa kunitag na kile ulichokisema na mimi nikakukirimu kwa mtindo ule ule.

Ulipo nituhumu ya kuwa mimi hutumia ile kauli baada ya kuona nimeshindwa hoja kitendo kile kwangu kina tofauti gani na mimi kukufichua wewe ? Ukishindwa kutoa tofauti, nakuja kukuelekeza namna ya kumjeruhi mtu kwa mambo yake binafsi na kumjeruhi mtu kinyume chake. Nasisitiza hivi sijagusa mambo yako binafsi yaani sijaku jeruhi kwa binafsi yako.
 
Saidianeni kwanza kutafsiri neno hili inapoanza hiyo hadithi...
ﻫﺬﺍ ﺍﻟﺤﺪﻳﺚ ﺭﻭﺍﻩ ﺍﻟﺒﺨﺎﺭﻱ

Semeni Kiswahili chake nini?
Hadithi umepewa na marejeo na nambari ya hadithi wataka nini tena?


Kwani hadithi ilo iwe ya mtume unataka iweje mama angu?

Mbona huwi mzuri wa kutafakari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mada imekushinda unaleta ubishi wa kitoto. Waarabu wanasema...

فمن الأسهل للتنافس مع تسعة عشر غطيرة بدلا من طفل واحد

 
Hadithi umepewa na marejeo na nambari ya hadithi wataka nini tena?


Kwani hadithi ilo iwe ya mtume unataka iweje mama angu?

Mbona huwi mzuri wa kutafakari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetaka tafsiri ya neno hili,
ﻫﺬﺍ ﺍﻟﺤﺪﻳﺚ ﺭﻭﺍﻩ ﺍﻟﺒﺨﺎﺭﻱ
mbona linakupa kizunguzungu,kulikoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…