Candidate index number za wakristo zimeandikwa kwa kikristo na za waislamu zimeandikwa kiislamu !!!??? Hivyo kurahisisha kufelishwa waislam !!!?? Ujinga na uzezeta ni kama bahari kwa baadhi ya viumbe !! Sijajua kwa upande WA wanadamu !!!!Wewe ni mtetezi wa waislamu au wananchi wote
Kwanini walisema kompyuta imekosea na kurudisha points za Waislam, baada ya maandamano?Candidate index number za wakristo zimeandikwa kwa kikristo na za waislamu zimeandikwa kiislamu !!!??? Hivyo kurahisisha kufelishwa waislam !!!?? Ujinga na uzezeta ni kama bahari kwa baadhi ya viumbe !! Sijajua kwa upande WA wanadamu !!!!
How FaizaFoxy?Candidate index number za wakristo zimeandikwa kwa kikristo na za waislamu zimeandikwa kiislamu !!!??? Hivyo kurahisisha kufelishwa waislam !!!?? Ujinga na uzezeta ni kama bahari kwa baadhi ya viumbe !! Sijajua kwa upande WA wanadamu !!!!
Hahahahh,,, haya subiri nikutagiMjinga kama mama yako
Kuandikwa kwa kikristo su Kiislam kukoje, hizi si lugha!Candidate index number za wakristo zimeandikwa kwa kikristo na za waislamu zimeandikwa kiislamu !!!??? Hivyo kurahisisha kufelishwa waislam !!!?? Ujinga na uzezeta ni kama bahari kwa baadhi ya viumbe !! Sijajua kwa upande WA wanadamu !!!!
mbona magaidi ya ISIS HUWA YANASOMA KURAN KABLA YA KICHINJA WATU?Si kweli.
Uislam haufundishi ugaidi wala haufungamani na kundi lolote la kigaidi.
Uislam unafundisha:
Qur'an 5:
32. Kwa sababu ya hayo tuliwaandikia Wana wa Israili ya kwamba aliye muuwa mtu bila ya yeye kuuwa, au kufanya uchafuzi katika nchi, basi ni kama amewauwa watu wote. Na mwenye kumuokoa mtu na mauti ni kama amewaokoa watu wote. Na hakika waliwajia Mitume wetu na hoja zilizo wazi. Kisha wengi katika wao baada ya haya wakawa waharibifu katika nchi.
33.Basi malipo ya wale wanao mpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakawania kufanya uchafuzi katika nchi, ni kuuwawa, au kusalibiwa, au kukatwa mikono yao na miguu yao kwa mabadilisho, au kutolewa nchi. Hii ndiyo hizaya yao katika dunia; na katika Akhera watapata adhabu kubwa.
Abdurahmaani bin abii KuhaafaAbubakar wapo wengi, lakini kama unamaanisha Abubakar Abdallah Bin Quhafah As-Siddiq, huyu alikuwa ni swahaba na baba mkwe wa Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam kwa Bi Aisha na pia alikuwa Muislam wa kwanza kutangaza wazi Uislam wake wakati wa Mtume nje ya familia ya Mtume.
Licha ya hayo, pia alikuwa ni mshauri muaminifu wa Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam na kaja kuwa kiongozi mkuu (khalifa) wa Waislam wa kwanza baada ya Mtume.
Kwani wewe umekuja kurejea kichwa cha Habari au umekuja kujibu hoja? Kwaiyo kwa kua mimi sio faiza hata Faiza akijibu kwa kupotosha tukubali tu! Sasa Faiza kasema Ndalichako na baraza la mitihani lilifelisha waislam je wewe unakubali? Toa maoni yakoMkuu samahani..wewe ni Faiza Foxy?...
Rejea kichwa cha habari
mnafundishana karate ndii mtegemee mtafaulu? endeleen kusubiri meli airportMbona walikiri kuwa eti waliweka wrong command kwenye kompyuta ndiyo ikawafelisha?
Au hawajuwi kuwa wengine tunaelewa kuwa kompyuta ni dumb na itafanya utavyoiamrisha ifanye (program).
Walvyokiri hilo kosa nani alikuwa mkubwa wa NECTA? Na kwanini kwanza alikataa?
Unafikiri zile habari watu waliota kama anavyoota Lema? For your information, zilivuja kutoka hukohuko kwa Ndalichako ndiyo zikajulikana.
jihadi n ugaidi kadanganye wajinga waloishia LA 3 wachexa judo1- Jihad ni kujitahidi. Kwa Muislam anatakiwa ajitahidi katika kila jambo alifanyalo. Iwe kusoma, kufanya kazi, kufanya biashara, kulingania mema na kukataza mabaya. Kwa kifupi, kila tulifanyajo tuwe tunajitahidi sana kulifanya katika njia zilizo bora na tulizowekewa wazi na Allah.
2. Jihad kwa maana hiyo kwenye namba moja, ina faida kubwa sana.
3. Kwa mtu yeyote yule ni lazima awe na jitihada kama ilivyo kwenye namba moja hapo juu.
4. Jihad ni kujitahidi, ugaidi ni "terror" kutisha watu (nielewavyo mimi).
Lengo kuu la Jihad ni kuwa na maisha bora kama uonavyo kwenye namba moja.