Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Wewe ni mtetezi wa waislamu au wananchi wote
Candidate index number za wakristo zimeandikwa kwa kikristo na za waislamu zimeandikwa kiislamu !!!??? Hivyo kurahisisha kufelishwa waislam !!!?? Ujinga na uzezeta ni kama bahari kwa baadhi ya viumbe !! Sijajua kwa upande WA wanadamu !!!!
 
Wambieni watoe mikopo kwa wanafunz ao mnaoona viongoz bora
 
Candidate index number za wakristo zimeandikwa kwa kikristo na za waislamu zimeandikwa kiislamu !!!??? Hivyo kurahisisha kufelishwa waislam !!!?? Ujinga na uzezeta ni kama bahari kwa baadhi ya viumbe !! Sijajua kwa upande WA wanadamu !!!!
Kwanini walisema kompyuta imekosea na kurudisha points za Waislam, baada ya maandamano?
 
Candidate index number za wakristo zimeandikwa kwa kikristo na za waislamu zimeandikwa kiislamu !!!??? Hivyo kurahisisha kufelishwa waislam !!!?? Ujinga na uzezeta ni kama bahari kwa baadhi ya viumbe !! Sijajua kwa upande WA wanadamu !!!!
How FaizaFoxy?
 
Candidate index number za wakristo zimeandikwa kwa kikristo na za waislamu zimeandikwa kiislamu !!!??? Hivyo kurahisisha kufelishwa waislam !!!?? Ujinga na uzezeta ni kama bahari kwa baadhi ya viumbe !! Sijajua kwa upande WA wanadamu !!!!
Kuandikwa kwa kikristo su Kiislam kukoje, hizi si lugha!
 
Unaweza kunipa kipande cha shamba kati ya mashamba yako yale
 
Kwanini wengi wenu ni magaidi?
Kwanini bado unaipenda ccm na walikuzalisha wakakuacha?
 
ni kweli chadema inakoelekea inaweza kikawa chama cha kigaidi maana kimeshindwa uchaguzi zaidi ya mara 5
 
mbona magaidi ya ISIS HUWA YANASOMA KURAN KABLA YA KICHINJA WATU?
 
Abdurahmaani bin abii Kuhaafa
 
Mkuu samahani..wewe ni Faiza Foxy?...
Rejea kichwa cha habari
Kwani wewe umekuja kurejea kichwa cha Habari au umekuja kujibu hoja? Kwaiyo kwa kua mimi sio faiza hata Faiza akijibu kwa kupotosha tukubali tu! Sasa Faiza kasema Ndalichako na baraza la mitihani lilifelisha waislam je wewe unakubali? Toa maoni yako
 
mnafundishana karate ndii mtegemee mtafaulu? endeleen kusubiri meli airport
 
Je ni kweli wewe FaizaFoxy una support TOHARA kwa WANAWAKE? na je, wewe ULIKEKETWA ukiwa na umri gani!?

NB: Nimeongea kutokana na experience, kuna post yako ulisema raha ya "K" iliyokeketwa ni murua sana!
 
Unalichukuliaje swala la wanafunzi wengi waliomaliza kidato cha sita mwaka huu na wanaoendelea na masomo kukosa mikopo au kupata kiasi kidogo kisichokidhi mahitaji tofauti na miaka mingine iliyopita?

Unahisi kwamba kigezo cha mwanafunzi kusomea shule ya binafsi (either a'level, o'level au kote, bila kujali kama amepewa ufadhili) ni sahihi kuzingatiwa ili mwanafunzi aweze kukopeshwa? (Kwa maana ndicho kigezo kikuu ambacho bodi ya mikopo wametumia)

Je umelifurahia jambo hilo au limekusikitisha na kwanini?

Je una maoni gani au ushauri upi kwa serikali ya ccm kuhusiana na jambo hilo?
 
jihadi n ugaidi kadanganye wajinga waloishia LA 3 wachexa judo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…