General Knowledge.
Naam, kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Natumia fursa hii ya mtandao adhyim wa JF kuwapa fursa wanamtandao wote wapate fursa ya kuuliza kuhusu mada au jambo lolote ambalo unataka upatiwe majibu.
Si majibu yote yatatoka kwangu binafsi, bali nitajitahidi iwezekenavyo kukupatia majibu murwa na yanayolingana na swali lako na ambapo sina jibu itakuwa fursa kwa wengine kutoa majibu.
Hapa ni kwa ajili ya kuelimishana na kujuzana bila kikomo, iwe swali lolote liwalo.
AlhamduliLlah 7 direct na wengi sana indirect .
Trump mbele kwa mbele.
Mbona maandiko yako wazi kabisa kuhusu vyakula?Sili nguruwe.
“Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao”(Walawi 11: 7 – 8)
Vipi, wewe unakula nguruwe ilhali aya hiyo ya Biblia imekataza tena inasema wazi kabisa kuwa ni najisi?
Ni sahihi. Allah akulipe khairBirth & Name
He is Sayyidina Abu Bakr Siddiq, also spelt ‘Siddique’; his actual name is Abdullah ibn Abi Quhafa. His father’s name was Usman Abu Quhafa, and his mother’s name was Salma, nicknamed Umm al Khayr (mother of goodness).
Soma zaidi: Sayyidina Abu Bakr as-Siddiq | The First Caliph of RasulAllah - BahareMadinah.com
Huyo jamaa ana kiherehere na kujipendekeza kwa FF.Wewe sio Faiza bhana tena ni bora ungenijibu, Faiza jibu Post 56 na 244 tafadhali
Ana Roho ngumu na uvumilivu kama ya LOWASSA.Kabisa mkuu huyu mtu ni mvumilivu sana yaani kuna kiumbe kaandika kitu hapo nimemjibu Mimi na hadi sasa natetemeka kwa hasira laah Mungu nisaidie niwe kama yeye
Usishindane na tahira mkuu.Kwani kukufunza uungwana ni povu au we ulichokiandika unaona ni sahihi?
kwahiyo unafuga sio!= majinni
"majini" ni kwenye maji.
Omba radhi wewe binti wa kiislam, sio bure wewe ni aina ya wale mnaojiona wema na watakatifu kuliko wenzenu.Nililenga hivyo lakini kama hauko hivyo basi unayaacha yapite, au unalo unalolitaka labda!?