Madam umeniingiza chaka[emoji23] [emoji23]
strawberry tunda mfano wa forosadi
ShukraniNtakujibu, fanya subra kidogo.
Ahsante kwa ufafanuzi madamSikukuingiza chaka na huwa sikisii, furusadi nijuavyo ni tofauti kabisa stroberi, jionee:
Stroberi (Strawberry)
Singular: Stroberi
Plural: Stroberi
Soma zaidi: Common Fruits in Swahili - Spoken Swahili
Bi Faiza...nimemsikiliza huyo jamaa anayetoa somo hapo kwenye video..ila sasa swali langu linakuja
Inakueje anasema 'jihad' limekuwa mis spelled...wakati..hakuna muislamu yeyote na yeye mwenyewe..waliokosoa maana ya neno jihad kwenye dictionaries za kiingereza...kua sio hivo..
Napia hata ukiangalia maana ya Jihad kwa encyclopedias...ina maana hiyo hiyo'islamic holy wars' hapo unasemaje?
Hakuna uhuru wakumuuliza mtu mambo ya sirini kama hayo, wewe ukiulizwa mama yako alibikiriwa lini utafurahieeee, haya kama hujui kamuulize Mama yako uje utwambieWe tulia Mkuu,anayeulizwa hapa ni FF na kila.mtu ana uhuru wa kumuuliza swali lolote. We ungejua angemuuliza swali gani lingine baada ya kujibiwa? Kama angesema anayo,angeulizwa kama umejitunzaje mpaka sasa hujapoteza usichana wako? Hiyo pia ni general knowledge. Tulia mkuu na wala usipanic.
Hii ndiyo namna ya kujipambanua jinsi gani mtu amepevuka kiumri na kifikra, pamoja na kutofautiana na Faiza kwa mambo fulani fulani, lakini namkubali kwa kuonyesha ukomavu wa kiumri na kifikra.Mie kwa sasa sina suali, ila nataka nikuambie tu kuwa ninajifunza mengi kutoka kwenye posts zako. Mola Akubariki kwa hilo.
I love you...
Na wakiwaona na madevu ndio maradh yao huzidiWasiwasi wako ndiyo maradhi yako.
Dhibitisha? Maana yake asikupe majibuKati ya utawala wa rais mstaafu Kikwete na Magufuli ni utawala gani umekithiri kwa rushwa? Dhibitisha majibu yako.
kwa maana hiyo,Isa sio Yesu.Pata ufafanuzi murwa kuhusu hilo, nnatuma lugha ya Kingereza unaifahamu:
.
The above Holy Verses (3:42-45) and (19:17-21) might look like they are contradicting each others from a simple fact that (3:42-45) talk about multiple angels, while (19:17-21) talk about one angel. However, there is no contradiction !. These two sets of Holy Verses took place at two different times.
Let us look at Ayah (verse) 3:47 "She said: 'O my Lord ! how shall I have a son when no man hath touched me?' He (the angel) said: 'Even so: Allah creath what He willeth: When He hath decreed A Plan, He but saith To it, 'Be,' and it is!'"
Hahahahshshs mwantumu mahiza angepata japo robo ya elimu na ilmu ya faiza angekuwa waziri mpaka kesho. Usimfananishe faiza na vitu vya ajabu ajabueti wewe ndio mwantumu mahiza?
swali la nyongeza
kwanni huna mapenzi na serikali hii kama ile iliyopita? wakati wewe ni ccm damu
Huyu mmama ni wa kipekee hapa Tanzania.Hii ndiyo namna ya kujipambanua jinsi gani mtu amepevuka kiumri na kifikra, pamoja na kutofautiana na Faiza kwa mambo fulani fulani, lakini namkubali kwa kuonyesha ukomavu wa kiumri na kifikra.
Kuzivimilia hoja na maswali ya kuudhi na mengine ya matusi si kazi ndogo.
Hongera dada Faiza.
Katika ubora wako my mom, jeshi la mtu mmoja[emoji3] [emoji2] [emoji123] [emoji123] [emoji123]Ni kweli.
Anakaribia kupasukaHivi "udini" maana yake nini?
Hivyo unavyotokwa povu wewe si "udini" huo?
Kama huamini basi kwani umelazimishwa?Staki kuamini kwamba kitabu cha dini kinaweza kuandikwa hivi, basi wale wanao chinja wenzao kwasababu wamefanya dhambi wanafanya kwa kufuata mafundisho haya
Uliza swali lolote, swali lolote...si ndio uzi ulivyo..[emoji47] [emoji15] mama yako alibikiriwa lini, jee unaye muuliza karuhusu umuulize swali lolote [emoji47] [emoji351] kwa nini unamtukana...[emoji47] wewe malezi uliyo lelewa sio mema..Hakuna uhuru wakumuuliza mtu mambo ya sirini kama hayo, wewe ukiulizwa mama yako alibikiriwa lini utafurahieeee, haya kama hujui kamuulize Mama yako uje utwambie
Naomba rudia swali langu ulijibu bila porojo.