Rais wa Marekani Donald Trump alitoa msimamo wake wakati wa kampeni kuhusu mpango wa kuwazuia Waislamu kuingia Marekani kwa muda ................... toa maoni yako.
US inaendeshwa kwa sheria na kanuni zao na si vyema kuwaingilia mambo yao ya ndani.
Sasa sijuwi wale Waislam waliopo ndani ya US na wanaongezeka kwa haraka kuliko dini nyingine yoyote ile atawafanya nini?
Umelifikiria hilo?
Umekosa hoja eeh
Hata mimi siamini kwamba Ndalichako ndo sababu ya kufeli lakini kwa bahati mbaya sana; baadhi ya Waislam walishakuwa na hisia mbaya dhidi ya NECTA! Kama kumbukumbu zangu zipo sawa, inasemekana madudu ya NECTA yaliibuliwa na Marehemu Profesa Kigoma Ally Malima alipopata nafasi ya kuhudumu kama Waziri wa Elimu (kama sikosei).
Kuanzia hapo manung'uniko yakawa yanaendelea mwaka hadi mwaka... kilele cha manung'uniko hayo ni pale NECTA ilipofanya blanda ya kufa mtu kwenye Mtihani wa Islamic Knowledge! Je, unalikumbuka hili? Kama umesahau nitakukumbusha kwa uchache sana!!
Matokeo ya Form VI mwaka 2012 yalipotoka tu; ikaonekana kuna khitilafu kwenye somo la Islamic Knowledge! Khitilafu haikuwa spoted na NECTA la hasha bali na BAKWATA kama sikosei! Malalamiko yakasikika toka huku na huko hadi serikali ikalazimika kuunda tume kuchunguza. Mwisho wa siku, Tume ikatoa ripoti kwamba ni kweli NECTA wamekosea... average marks badala ya kugawanya kwa 2; wao wakadai ni makosa ya system ambayo iligawanya kwa 3... which means; mtu mwenye total marks 150 kwa paper 3 akapata average ya 50% kwavile system imegawanya kwa tatu badala ya kuwa na 75% (150/2)!!!
Sasa hebu twende taratibu... watu kila mwaka wanalalamika na hatimae wale wale wanaolalamika kila mwaka matokeo waliyo na ufahamu nayo yanachakachuliwa na system na tume ina-admit kwamba NI KWELI matokeo yamekosewa! Je, bado unaweza kuendelea kuwa na imani na mtendaji husika hasa ukizingatia mmekuwa hamna imani na taasisi hiyo kwa miaka kadhaa kabla ya kujivua nguo wenyewe?
Je, hivi hapo wakisema hii Islamic Knowledge tumeigundua kwa sababu ni sisi wenyewe ndio tunahusika nayo lakini inawezekana yapo masomo mengine mnachakachua lakini kwavile hayo sisi hatuhusiki nayo moja kwa moja ndo maana tunashindwa ku-spot uchakachuaji... wakitoa hiyo hoja unaweza kuwalaumu?
Ni vile tu hii nchi imetawaliwa na udini lakini wakati ule Ndalichako alistahili kuwa fired ingawaje watu wakaaanza kuhoji kuondolewa kwake licha ya tume kukiri kwamba NECTA imetoa matokeo yasiyo sahihi!!
Umekosa hoja eeh
Umebaki na Aibu
Acha kiherehere.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nakubaliana na wewe kwa kila kitu ila tukubaliane pia kama system ilikosea kwa masomo mengine basi hata wasio waislamu walikua waathirika wa hiyo system kwaiyo tusilibebe kwa dhana hiyo ambayo wachache wanaienezaHata mimi siamini kwamba Ndalichako ndo sababu ya kufeli lakini kwa bahati mbaya sana; baadhi ya Waislam walishakuwa na hisia mbaya dhidi ya NECTA! Kama kumbukumbu zangu zipo sawa, inasemekana madudu ya NECTA yaliibuliwa na Marehemu Profesa Kigoma Ally Malima alipopata nafasi ya kuhudumu kama Waziri wa Elimu (kama sikosei).
Kuanzia hapo manung'uniko yakawa yanaendelea mwaka hadi mwaka... kilele cha manung'uniko hayo ni pale NECTA ilipofanya blanda ya kufa mtu kwenye Mtihani wa Islamic Knowledge! Je, unalikumbuka hili? Kama umesahau nitakukumbusha kwa uchache sana!!
Matokeo ya Form VI mwaka 2012 yalipotoka tu; ikaonekana kuna khitilafu kwenye somo la Islamic Knowledge! Khitilafu haikuwa spoted na NECTA la hasha bali na BAKWATA kama sikosei! Malalamiko yakasikika toka huku na huko hadi serikali ikalazimika kuunda tume kuchunguza. Mwisho wa siku, Tume ikatoa ripoti kwamba ni kweli NECTA wamekosea... average marks badala ya kugawanya kwa 2; wao wakadai ni makosa ya system ambayo iligawanya kwa 3... which means; mtu mwenye total marks 150 kwa paper 3 akapata average ya 50% kwavile system imegawanya kwa tatu badala ya kuwa na 75% (150/2)!!!
Sasa hebu twende taratibu... watu kila mwaka wanalalamika na hatimae wale wale wanaolalamika kila mwaka matokeo waliyo na ufahamu nayo yanachakachuliwa na system na tume ina-admit kwamba NI KWELI matokeo yamekosewa! Je, bado unaweza kuendelea kuwa na imani na mtendaji husika hasa ukizingatia mmekuwa hamna imani na taasisi hiyo kwa miaka kadhaa kabla ya kujivua nguo wenyewe?
Je, hivi hapo wakisema hii Islamic Knowledge tumeigundua kwa sababu ni sisi wenyewe ndio tunahusika nayo lakini inawezekana yapo masomo mengine mnachakachua lakini kwavile hayo sisi hatuhusiki nayo moja kwa moja ndo maana tunashindwa ku-spot uchakachuaji... wakitoa hiyo hoja unaweza kuwalaumu?
Ni vile tu hii nchi imetawaliwa na udini lakini wakati ule Ndalichako alistahili kuwa fired ingawaje watu wakaaanza kuhoji kuondolewa kwake licha ya tume kukiri kwamba NECTA imetoa matokeo yasiyo sahihi!!
Kama ungepata nafasi ya kumshauri Rais Magufuli kuhusu sera ya kuelekea katika Tanzania anayoitaka ya Viwanda, Nini ungekua ushauri wako?
Hakulipiwa na baba yake ni katika ule utaratibu wa scholarshipYule Rubani aliusomea urubani Tanzania?
Hapana, Ripoti ya Tume ilisema wazi kwamba matokeo ambayo yalikosewa ni yaa Islamic Knowledge peke yake! Katika utetezi wao, NECTA wakadai kwamba hapo zamani, Islamic Knowledge ilikuwa na paper 3 kwahiyo system formular ndo hiyo ilikuwa divide by 3. However, mwaka 2012, Islamic Knowledge ilikuwa na paper na paper 2... which means, system formular haikubadilishwa! Sasa hivi kweli ni utetezi wenye mantiki huo?! Nani alikuwa na wajibu wa kubadilisha fomula kama sio wao?!!Nakubaliana na wewe kwa kila kitu ila tukubaliane pia kama system ilikosea kwa masomo mengine basi hata wasio waislamu walikua waathirika wa hiyo system kwaiyo tusilibebe kwa dhana hiyo ambayo wachache wanaieneza
Si kweli.
Uislam haufundishi ugaidi wala haufungamani na kundi lolote la kigaidi.
Uislam unafundisha:
Qur'an 5:
32. Kwa sababu ya hayo tuliwaandikia Wana wa Israili ya kwamba aliye muuwa mtu bila ya yeye kuuwa, au kufanya uchafuzi katika nchi, basi ni kama amewauwa watu wote. Na mwenye kumuokoa mtu na mauti ni kama amewaokoa watu wote. Na hakika waliwajia Mitume wetu na hoja zilizo wazi. Kisha wengi katika wao baada ya haya wakawa waharibifu katika nchi.
33.Basi malipo ya wale wanao mpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakawania kufanya uchafuzi katika nchi, ni kuuwawa, au kusalibiwa, au kukatwa mikono yao na miguu yao kwa mabadilisho, au kutolewa nchi. Hii ndiyo hizaya yao katika dunia; na katika Akhera watapata adhabu kubwa.
Yaliyopita yawe funzo kujenga yajayoHapana, Ripoti ya Tume ilisema wazi kwamba matokeo ambayo yalikosewa ni yaa Islamic Knowledge peke yake! Katika utetezi wao, NECTA wakadai kwamba hapo zamani, Islamic Knowledge ilikuwa na paper 3 kwahiyo system formular ndo hiyo ilikuwa divide by 3. However, mwaka 2012, Islamic Knowledge ilikuwa na paper na paper 2... which means, system formular haikubadilishwa! Sasa hivi kweli ni utetezi wenye mantiki huo?! Nani alikuwa na wajibu wa kubadilisha fomula kama sio wao?!!
Namkubali JPM ila kumpa Ndalichako wizara ya elimu,binafsi naona ni kuwabeza na dharau kwa waislamuHapana, Ripoti ya Tume ilisema wazi kwamba matokeo ambayo yalikosewa ni yaa Islamic Knowledge peke yake! Katika utetezi wao, NECTA wakadai kwamba hapo zamani, Islamic Knowledge ilikuwa na paper 3 kwahiyo system formular ndo hiyo ilikuwa divide by 3. However, mwaka 2012, Islamic Knowledge ilikuwa na paper na paper 2... which means, system formular haikubadilishwa! Sasa hivi kweli ni utetezi wenye mantiki huo?! Nani alikuwa na wajibu wa kubadilisha fomula kama sio wao?!!
Je Mungu anatoa adhabu mara mbili? Kwa nini Afrika hatukuletewa mtume wetu kwa lugha yetu, Je ni kweli lugha itakayotumika akhera ni Kiarabu ? yangu ni hayo tu Faiza Fox
Hakulipiwa na baba yake ni katika ule utaratibu wa scholarship
Ahsante kwa kunikumbusha huu mjadala, naukumbuka vyema tangu ulipotoka kwa mara ya kwanza miaka michache iliyopita!!!
Unalikumbuka swali lako lakini, jikumbushe "nani mtoto wa mwalimu alivuka mpaka kusoma?".
Naomba niishie hapo nimeshindwa. Andrew atakujibu kama anapenda. Adios
Mmmh....hakika akijibu hili basi yeye ndo mtumeJe Mungu anatoa adhabu mara mbili? Kwa nini Afrika hatukuletewa mtume wetu kwa lugha yetu, Je ni kweli lugha itakayotumika akhera ni Kiarabu ? yangu ni hayo tu Faiza Fox