Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona kama imekaa kichochezi flaniNi kipi kinachokutatiza hapo mbona aya ipo wazi kabisa?
Wewe unaweza kuamini Freeman Mbowe anaweza kuongea jambo kubwa kama hilo bungeni bila kuwa na ushahidi? Kwanini mpaka wabunge na mawaziri hajatoa tamko kuhusiana na kashfa hiyo wabunge kuhongwa milioni 10 kila mbunge wapitishe muswada wa habari ambao waliupitisha tuhuma za uwongo zikitolewa kuna hatua za kumchukulia muhusika nini kinaendelea kuhusu kashfa hiyo?Nilijibu hivi, nnaona hata kufata link kumekushinda, isiwe tabu, jisomee:
Hizo "millioni kumi" mimi nnazisoma humuhumu JF, sijaona ushahidi wowote kwa hiyo siwezi kuziongelea zaidi ya kupiga porojo za hapa na pale kama ilivyo kawaida ya barza lolote lile. Si kila ukisikiacho ni ukweli, jee mwenzangu ulikuwepo wakigawana hizo "million kumi kumi"?
Je wewe ni Malaria sugu! kwanini ni mdini hivyo?
Wewe unaweza kuamini Freeman Mbowe anaweza kuongea jambo kubwa kama hilo bungeni bila kuwa na ushahidi? Kwanini mpaka wabunge na mawaziri hajatoa tamko kuhusiana na kashfa hiyo wabunge kuhongwa milioni 10 kila mbunge wapitishe muswada wa habari ambao waliupitisha tuhuma za uwongo zikitolewa kuna hatua za kumchukulia muhusika nini kinaendelea kuhusu kashfa hiyo?
Shukrani MkuuTuma PM kwa mmoja kati ya hawa,
Na wananchi hawakumpinga?Alikuwa anaamuwa tu Nyerere.
Naona kama imekaa kichochezi flani
sawa.Ntakujibu baadae tuwape fursa na wengine nje ya maswali ya dini.
Hauna maswali mengine ya "general knowledge" zaidi ya haya ya dini? Maana kuna watu wengine yanawapa mushkel, na ni vyema tukawapa fursa kwa maswali mengine, au unaonaje?
Duh,alikuwa mkali sana?na yeye alikuwa hajaribiwi?Thubutu.
Na wananchi hawakumpinga?
Kila wanaoshindwa wanakuwa magaid?ni kweli chadema inakoelekea inaweza kikawa chama cha kigaidi maana kimeshindwa uchaguzi zaidi ya mara 5