dangadunguri
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 1,276
- 1,309
Hahahahahaha, mkuu chige nashkuru kwa kunielewa, mama yangu mulhat alimuuliza mama yetu faiza yeye ndiye mwantumu mwahiza, mm maadam namfahamu sana mamayangu mahiza nikaona isiwe tabu nimjibu mama mulhat kuwa mwantumu siye huyu mama faiza, mwantumu hakusoma canada those years na lau angelipata hiyo bahati asingeli kuwa mwalimu, mwantumu amepata bahati yakufahamiana na mama salma na familia yake lakini pia mumewe mzee mahiza amehudumu serikalini position ya juu kifogo so system ilimbeba na kujuana pia.Aisee... sasa ndo nimekuelewa manake mjadala wako na Mulhat Mpunga niliukutia katikati kwahiyo nikadhani ni wewe ndie unadai FF ndie Mwantum kwahiyo hana cha digrii wala nini bali diploma!!!! Ahsante kwa ufafanuzi